Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

I'm not fan of him(lemutuz) but ukiangalia vizuri ile comment ya Instagram inatia mashaka, kuna tatizo kwenye grammar ambapo mtoto aliyezaliwa na kukisoma tangu miaka ya mwanzo wa maisha yake kingereza hawezi kufanya.
Black American English ile JOMBA ......Hata ukiona wasanii wa Marekani especially black english yao ni shida wanaelewana wao kwa wao ........
 
I'm not fan of him(lemutuz) but ukiangalia vizuri ile comment ya Instagram inatia mashaka, kuna tatizo kwenye grammar ambapo mtoto aliyezaliwa na kukisoma tangu miaka ya mwanzo wa maisha yake kingereza hawezi kufanya.
Kwahiyo unawasiwasi na kiingereza cha mtu aliyekulia marekani?? Wale wanajitoa akili na lugha ya ki gang
 
I'm not fan of him(lemutuz) but ukiangalia vizuri ile comment ya Instagram inatia mashaka, kuna tatizo kwenye grammar ambapo mtoto aliyezaliwa na kukisoma tangu miaka ya mwanzo wa maisha yake kingereza hawezi kufanya.

Naona wewe kingereza cha Kimarekani ndio kimekuchanganya hasa cha hao Black! Hizo “was” ndivyo wanavyozitumia mkuu!
 
Is it worth ku poison akili ya mtoto kwa baba ake hivi-yaani nimetoka goosebumps.Breakup ya marriage should never be this bitter
 
True hustler 👏 big up brother.Ila baada ya yote hayo hukustahili kuwa kibaraka wa mchoma mkaa wa Mbezi Luis Bashite
 
aisee nimesoma kipandee tuu nimevutiwa na hadithi yake sijui ndio somo ila ni stori nzuri sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…