King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mambo yote ni AGAPEO ni Fireeeeeeeeee!!! You FAT UGLY MAZAFANTA SVCK MY D!<K.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo yote ni AGAPEO ni Fireeeeeeeeee!!! You FAT UGLY MAZAFANTA SVCK MY D!QUOTE]Dogo mjinga nimem DM nimempa ushauri.mambo ya US yabaki huko huko bongo hatutukani mzazi
Black American English ile JOMBA ......Hata ukiona wasanii wa Marekani especially black english yao ni shida wanaelewana wao kwa wao ........I'm not fan of him(lemutuz) but ukiangalia vizuri ile comment ya Instagram inatia mashaka, kuna tatizo kwenye grammar ambapo mtoto aliyezaliwa na kukisoma tangu miaka ya mwanzo wa maisha yake kingereza hawezi kufanya.
Kwahiyo unawasiwasi na kiingereza cha mtu aliyekulia marekani?? Wale wanajitoa akili na lugha ya ki gangI'm not fan of him(lemutuz) but ukiangalia vizuri ile comment ya Instagram inatia mashaka, kuna tatizo kwenye grammar ambapo mtoto aliyezaliwa na kukisoma tangu miaka ya mwanzo wa maisha yake kingereza hawezi kufanya.
Labda mida hii ila 3 hours ago nilim DM .kamkosea sana le baharia, ila nadhani mama yake naye ka play role ya kuweka chuki kwa watotoKapiga lock mpaka DM
I'm not fan of him(lemutuz) but ukiangalia vizuri ile comment ya Instagram inatia mashaka, kuna tatizo kwenye grammar ambapo mtoto aliyezaliwa na kukisoma tangu miaka ya mwanzo wa maisha yake kingereza hawezi kufanya.
Mjibu basi mtoto, kakuambia umemblock Insta, unapata taabu sana- Salute Boss, guys ukiona sijakujibu ujue ni below my level, thanks!
le Mutuz
Akijibu unistue niko mitaa ya ngabomoa nakunywa mbegeMjibu basi mtoto, kakuambia umemblock Insta, unapata taabu sana
Mtoto kakosa adabu yule sio mchezo.anamuambia baba yake amsuck dick kweli.tena anamuita mavi?Simpendi Le mutuz!
kabisa!
ILA SIJFURAHISHWA POPOTE NA MATUSI ALIYOTUKANWA NA MWANAE!
no!hapana!
sio sawa!
Huenda ndiyo kimekifanya kiwe kiduchu, dunia hiiMtoto kakosa adabu yule sio mchezo.anamuambia baba yake amsuck dick kweli.tena anamuita mavi?
Hapa mama mtu anahusika-haiwezekani mtoto afike this stage-I have never seen this-unless this boy is a drug addictMtoto kakosa adabu yule sio mchezo.anamuambia baba yake amsuck dick kweli.tena anamuita mavi?
True hustler 👏 big up brother.Ila baada ya yote hayo hukustahili kuwa kibaraka wa mchoma mkaa wa Mbezi Luis Bashite- Ok nilikua natoka Shuleni Saa Nne za usiiku, ninaenda kazi yangu ya USiku kwenye Jumba la Cinema la Co-op City/Bronx ninaingia kazini Saa Tano usiku, nikifika ninalala mpaka Movie ziishe katika ya Saa Saba, ninasafisha Ukumbi kwa lisaa Limoja au Mawili depending na uzuri wa Movie cause kuna siku ukumbi unakua msafi kwa kukosa waangaliaji wengi, Ninalala Kuanzia Saa Tisa naamka Saa Kumi na Moja na Nusu naingia kazini kuendesha Malori,
- Ninatoka kazini Saa Tisa mchana ninarudi nyumbani kulalaa, Saa Kumi na Mbili Jioni naingia Shuleni mpaka Saa Nne, hiyo ndio iliyokua routine ya maisha yangu kwa Miaka karibu 8, ndio maana mpaka leo siwezi kulala zaidi ya masaa 4 na ninaweza kulala mahali popote pale bila tatizo na saa yoyote ile, kwenye my story nimeandika niliyoyapitia tu so ni vigumu sana kwako kutafuta makosa cause hayapo ni maisha niliyoyaishi.
- Ningekua nimeandika uongo popote pale ungewaona Diaspora nilioishi nao USA wangeshajitokeza hapa au my ex, umeona kajaribu jaribu kakimbia!
Thanks.
le Mutuz
Ndo nini hii tufungue mkuuHii issue ya AGAPEO mbona naona imezimwa kila sehemu kuanzia JF hadi kwa Mange post zimefutwa kama ZOTE.