Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Huyu babu alirudi na kende zke plus kibamia hata 500$$ hakurudi nayo,inaonekana hakua na kazi ya maana zaidi ya kuzibua mifereji
 
Umemjibu vyema sana.
 
O level na A level hakusema kasoma wapi,ila primary na chuo kataja isije kua ni darasa la 7 tu huyu mwenzetu
 
Anhaaa daah!!!kumbe ni kebehi!!ni kama watoto wanavyosema fyoko.fyokooooo uku kabana pua[emoji23]
Ni hivyo sasa baharia hapa sijui kalipata wapi , maana nimelijua hilo neno kutoka kwa torture mkubwa wa Idd Amin Dada ni jirani yangu .
Tukipiga vyombo anaconfess kila kitu.
 
Ni hivyo sasa baharia hapa sijui kalipata wapi , maana nimelijua hilo neno kutoka kwa torture mkubwa wa Idd Amin Dada ni jirani yangu .
Tukipiga vyombo anaconfess kila kitu.
Wengine wanasemaga ng'e ng'e ng'e
Hehee lekokobanga katembea nchi nying kasema so huenda ilkua rahis kulijua hata hilo[emoji3]
He always humble u know,leo anaruka Dubai,kesho Moscow na hayo ndo maisha u know
Yes i love it(in kokobanga's voice)
 
Kuna kitu mkielewe, huyu jama kashasema mama yake alinyanganywa bwana live na rafiki yake kipenzi mama hippi, dr mwelee na wengine.
mama yake le mutuz alikua na mahusiano na malecela j4.
Kitambo before mama yao hippi kumpindua na kuwa nae forever na mama ya lemutuz kaendelea kuugulia mpk kafariki.
Mutuz ni mtoto wa kwanza anayetambulika wa j4.
Kilichompata ni yaleyale mtoto haramu kwasababu alipatikana nje ya ndoa. (Rf Hitler.)
Vita iliyopo ni dr Mwelee kumtumia Mange kumfanya huyu blaza hata asiongee chochote kuhusu familiya ya J4.
hatambuliki
Na hata uamuzi wake kurudi haukupendwa infact wanagombania urisi kabla baba yao hajafa .

Mama ya wale watoto katumia fursa wanae wanakula bata mpk kesho kutwa.
Haya katika vita yote aliyopigana huyu le mbamiaz US alikuja yeye km yeye . Hakuna fweza maana alizira kumuachia mama watoto kule.
Nnampa heko huyu nd
 
so what? kwani kupigwa na maisha ni dhambi? pesa huja na kupotea...i hope yeye (Lemutuz) siyo wa kwanza, na siyo wa mwisho kukumbwa na hizo misfortune. hata hivyo, maisha yake binafsi yanakuhusu nini? kwa nini umushikie bango na kashfa juu? why? sikutaka kujibu your comment, ila imenibidi tu. Records show kuwa unalalamikiwa na kila member humu JF kwa lugha isiyo na staha....kumbuka hakuna mkamilifu hapa Duniani. Yeah, may be Lemutuz ni ombaomba...Coz i don't know the guy in person...but what the fucker are you to judge him?. je wewe unajua future yako? think this way, Kesho ukigongwa na gari or uangukiwe na nyumba na u-paralyze mwili mzima...je hutokuwa ombaomba in one way or another?

THINK TWICE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…