Acha unafk nimepotea nimeenda wapi?Hapana mkuu nashangaa muanzishaji wa thread alivyopotelea kimyakimya tu baada ya watu kujadili sana kwenye page nyingi za thread yake, zimepita siku kadhaa now tokea copy & paste ya mwisho aliyoileta
mbwembwe nyingi "Truck lenye tairi 18".... nilikubali kuvunja sheria[emoji23][emoji23][emoji23]. le KOKOBANGA na KOKOBANGA!!!! ila namkubali.Ila zinavutia endapo utaweka kando vituko vyake vyote.
Ni mpiganaji flani hv,toka kuendesha truck lenye 18 tyres mpaka kuja kupush Le Super Noahz..u know!
kweli kabisa URITHI siyo kipaumbele kwake!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Sorry Chief kama nimekukwaza,,mimi hata sijui kama ana blog,coz mara nyingi taarifa zake huwa nazisoma hapa hapa JF na ndo nikapata kufahamu kumbe jamaa ni mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu
Binafsi namuona mpambanaji kwa sababu ni watoto wachache sana wa viongozi wakuu Serikalini,na hasa Serikali za nchi zetu za Kiafrika,,kutafuta maisha kwa staili ngumu kama alivyofanya mchizi,jamaa anasema alifanya vibarua USA vikiwemo vya kudeki kumbi za sinema ili apate ada ya kulipia Chuo,,mimi sijui ni watoto wa mawaziri wakuu wangapi toka Shitholes Countries wanaweza fanya hayo mambo
Najua inawezekana kwenda nje hakupata ugumu sana kama wengine walivyopata,,lakini kwa nafasi ya Mzee wake naona bado kulikuwa na changamoto ambazo zilitakiwa kuwapata vijana wa mitaani na si yeye
Anyway,,ngoja tuendelee kupata uhondo wa simulizi ya hii stori
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani uyu anatuona wajingaAssistant Engineer = Ofisa wa Meli ndani ya meli?..#am humble you know..
na huu ndio ukweli na le mutuz amekubali kukomaa licha ya vizingiti vingi ndani ya familia yao! huu ni ujasiri wa ajabu mtoto wa waziri mkuu kuweka life yake hadharani ambayo ina mengi ya kujifunzaKuna kitu mkielewe, huyu jama kashasema mama yake alinyanganywa bwana live na rafiki yake kipenzi mama hippi, dr mwelee na wengine.
mama yake le mutuz alikua na mahusiano na malecela j4.
Kitambo before mama yao hippi kumpindua na kuwa nae forever na mama ya lemutuz kaendelea kuugulia mpk kafariki.
Mutuz ni mtoto wa kwanza anayetambulika wa j4.
Kilichompata ni yaleyale mtoto haramu kwasababu alipatikana nje ya ndoa. (Rf Hitler.)
Vita iliyopo ni dr Mwelee kumtumia Mange kumfanya huyu blaza hata asiongee chochote kuhusu familiya ya J4.
hatambuliki
Na hata uamuzi wake kurudi haukupendwa infact wanagombania urtrist baba yao hajafa .
Mama ya wale watoto katumia fursa wanae wanakula bata mpk kesho kutwa.
Haya katika vita yote aliyopigana huyu le mbamiaz US alikuja yeye km yeye . Hakuna fweza maana alizira kumuachia mama watoto kule.
Nnampa heko huyu nd
Vipi mwereMungu amrehemu Hipi Malecela ndie aliyekua kichwa kwenye familia [emoji119]
AiseeWell Said kaka mkubwa,
watu wanajisahau sana.
Unamuita omba omba mtu mwenye ofisi yake, mwenye umaarufu wake.
Ndio maana nikauliza hii chuki ya wabongo ni sababu ya umaskini au nini maana huwezi kumchukia mtu ambae yupo wazi namna ile.
Inashangaza sana.
Sijuwi kuhusu UBAHARIA au Kama analeta UONGO?Acha udaku ww
Team B 13 NA lemutuz wapi kwa wapi
Usipende kuongea vitu ambavyo huvijui.
Mimi nina kaexposure flani vilevile, Le Mutuz atasema sehemu ya ukweli lakini si ukweli wote, ila kiukweli kabisa child support inaweza kuwa ni moja ya sababu ya yeye kukimbia Marekani.Hilo la child support nilitaka sana kuliweka kama main cause ya kutoonekana na chochote lakini nikaamua kukausha kwa sababu sikuwa na uhakika sana na aina ya mahusiano yake na ex-wake!!
Child support US na Europe ni nyoko... Mwanaume ukishaingia cha kike tayari hesabu wewe ni Msukule wa mwanamke!
haya sema ukweli unaojua wewe!Nieleze kwa kifupi kwenye simulizi zake ni wapi amepitia kwenye bonde la maiti? Huyu amekulia kwenye silver spoon tu.
Waulize vijana wasiokuwa hata na laki mbili mfukoni jinsi walivyofika South Africa kwa njia za hatari kama kuvuka mto limpopo wenye mamba.
Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini ati Le Mutuz hakuwa na back up ya baba yake mpaka asitumiwe dollar za kumkimu kabla hajapata kazi huyu ni muongo.
Kafafanua border lote alikopita.Alikwenda Marekani kwa Meli!
AiseeeKuna kitu mkielewe, huyu jama kashasema mama yake alinyanganywa bwana live na rafiki yake kipenzi mama hippi, dr mwelee na wengine.
mama yake le mutuz alikua na mahusiano na malecela j4.
Kitambo before mama yao hippi kumpindua na kuwa nae forever na mama ya lemutuz kaendelea kuugulia mpk kafariki.
Mutuz ni mtoto wa kwanza anayetambulika wa j4.
Kilichompata ni yaleyale mtoto haramu kwasababu alipatikana nje ya ndoa. (Rf Hitler.)
Vita iliyopo ni dr Mwelee kumtumia Mange kumfanya huyu blaza hata asiongee chochote kuhusu familiya ya J4.
hatambuliki
Na hata uamuzi wake kurudi haukupendwa infact wanagombania urisi kabla baba yao hajafa .
Mama ya wale watoto katumia fursa wanae wanakula bata mpk kesho kutwa.
Haya katika vita yote aliyopigana huyu le mbamiaz US alikuja yeye km yeye . Hakuna fweza maana alizira kumuachia mama watoto kule.
Nnampa heko huyu nd
Matola yuko toka JF inaanzishwa 2007 hukomkuu, nikiangalia registration yako ni 2010...which means you're so senior kwa madogo walio wengi humu! mbona una-act kama wao? No offense intended though..
Wewe ni jamii ya mange tu, kumbe mmetumwa mumtukane Le mutuz kwa sababu ya mali ya urithi?? Nimemuelewa sana huyu jamaa ni hustler yuko vizuri, hayo mengine ni mambo binafsi maana hakuna binadamu perfect kila mmoja ana mapungufu yake. Big up le mutuz hii vita ni ya kifamilia zaidi mange ni kidaraja tu kinatumiwa kumbe.Acha wehu wewe nikae New york miaka 25 halafu nije kushangaa Duka la Adidas kuuza raba $300 nonsense kwani yeye na adidas nani alikua wa kwanza kuja duniani hivi unadhani New york n kijimji kama Dar es salaam et 1980 unadhan ilikuaje New york miaka hyo mpaka useme hivo halafu eti alikua anafanya kaz muda mwingi sasa mbona karudi Tz zero braini hana mbele wala nyuma.
Unajuwa maana ya entry viza?Kafafanua border lote alikopita.
Ila alishafika before nafkiri akiwa ndani ya meli .
Maana kasema alikua na
Entry visa so ni rahisi kwenda tena na tena.
Le MUTUZ Nye Nye Nye!sijui ndio nini hata..mbwembwe nyingi "Truck lenye tairi 18".... nilikubali kuvunja sheria[emoji23][emoji23][emoji23]. le KOKOBANGA na KOKOBANGA!!!! ila namkubali.