Story yake haihusu mshahara we kenge mbona mgumu kuelewaUkishaingia kwenye system ya kimarekani na umezaa na mwanamke na mmedivorce, pesa ya matuzo ya mtoto inakatwa moja kwa moja kwenye mshahara wako inapelekwa kwenye account ya mama mtoto.
Hii ndio inampa kiburi Da Mange kushinda mtandaoni kumwaga matusi mwisho wa siku mzungu lazima akatwe percent iliyowekwa kisheria inaenda kwa mama kwa ajili ya matunzo ya mtoto.
Sheria hii mbaya imesababisha vijana wengi wa Kimarekani kuchukia kazi za kuajiliwa, ila Willy kwenye hizi longolongo zake hausemi ukweli huu.
Hiyo MOBIMBA ni kilingala,,na ni neno LA KIPUUZI TU,,, anachanganya na maneno ya hovyo hovyo..... ambayo hakuna baharia anayetumia maneno hayoMkuu, hii CITWAYEEN na NYE NYE NYE huwa ana maanisha nini?
Mshahara wa 2 rd engineer KWENYE meli...hizo ni nafasi za kazi zinatangazwa na Mshahara wake..
Wtf with this stupid,Ni mwongo,, sababu huwezi kuwa assistant engineer kwa miaka 3,UKAWA KIBARUA,, , Kuna kitu melini wanaita SEA TIME,,, Ndy practical,,, yaani ukitoka chuoni level ya OS (OS) means ORDINARY SEAMAN,, unakuwa huja specialized ni position gani melini utafanya kazi... unakwenda sea time,, ili upate uzoefu,, ukirudi unakwenda tena chuoni,,, unasoma Kuna kitu wanaita ratings .. either ya DECK or engine,hapo Ndy unachaguwa unataka unafanya kazi sehem gani melini,, unasoma EITHER DECK,, OR ENGINE.. ,ukimaliza unakuwa AB means ABLE SEAMAN.. .. wa deck au engine,,, , sasa hapo KWENYE engine Ndy unakwenda NGAZI KWA NGAZI,,, OFICCER,,,engineer,, halafu,, 3rd engineer ,, 2nd engineer ,,, then chief engineer,,, na huko KWENYE deck AB,, OFICCER,, then chief officer,, then CAPTAIN..Nina maana huwezi UKAWA ENGINEER tena assistant (2rd engineer,,) , , fundi mkuu wa meli msaidizi wake,, huwezi kuwa unafanya practical for 3 years,,, ,, ni uongo,, sea time ni 6 months tu....au miezi 9,, Tena ukiwa sio wa rank ya OS.. ukiitwa OFICCER unakuwa USHAPITA KOTE KTK SEA TIME NA MENGINEYO.. NINA maana ili uwe OFICCER unatakiwa uwe na 3 years experience tena meli kubwa,,, Ndy unaweza kusoma officer wa meli,,, sasa yeye LEMUTUZ alikuwa zaidi ya OFICCER melini,, hawezi kuwa ni KIBARUA,, SI KWL... huwezi kuwa 2rd engineer Uwe KIBARUA,, means unajifunza,, sio kwl... Melini ni kama jeshini,, watu wanaheshimiana kwa CHEO... Huyo mzee mwongo,,,na kujifunza ni KWENYE OS...
Mazuzu wapo wengi sn,,, unajuwa kama SEAFARER never dies? kama yeye alikuwa 2nd engineer,,, kwnn now asirudi melini? na vyeti anavyo? Pili story yake imejaa uongo... Na mm ninaongea na ww ni SEAFERAR.. Najuwa vng vya meli,, na Nina story ya really zaidi ya huyo mzee mwongo.... Na kama alipanda meli miaka ya 80 bado alikuwa anapata pesa nzr sn kwa rank yake ya 2nd engineer.. Kwnn akalale nje marekani,,, why atoke melini bila dollars? Akawe mbeba box mitaani? jibu ni hakuwa melini.... Kuna watu nawajuwa ni SEAFERARS Tangia miaka hyo na bado SEAFERARS hadi now,, tena ni wazee kuliko LEMUTUZ.. huyo hakuwahi kuwa SEAFERAR,,, na hawezi kuwaAcha ujuaji wa google, apply hiyo kazi wewe uchukue hayo mahela. Mtu anaongelea ubaharia miaka ya 80s wewe unaleta google search za 2017
Babu mbona una ,shupuria ,Chuna mzee ..kama uongo ama ukweli ni juu yake mzee ...acha wenge ...chaliii!!Mazuzu wapo WENGI sn,,, unajuwa kama SEAFARER never dies? kama yeye alikuwa assistant engineer,,, kwnn now asirudi melini? na vyeti anavyo? Pili story yake imejaa uongo... Na mm ninaongea na ww ni SEAFERAR.. Najuwa vng vya meli,, na Nina story ya really zaidi ya huyo MZEE mwongo.... Na kama alipanda meli miaka ya 80 bado alikuwa anapata pesa nzr sn kwa rank yake ya 2nd engineer.. Kwnn akalale nje marekani,,, why atoke melini bila dollars? Akawe mbeba box mitaani? jibu ni hakuwa melini.... Kuna watu nawajuwa ni SEAFERARS Tangia miaka hyo na bado SEAFERARS hadi now,, tena ni wazee kuliko LEMUTUZ.. huyo hakuwahi kuwa SEAFERAR,,, na hawezi kuwa
Hivi rank ya 2rd engineer ni ya kifala? unajuwa kama ni mtu mkubwa sn melini? Tena ni incharg.. Iweje awe kibarua?. ukiwa melini sea time unafanya ukiwa OS.... endeleeni kudanganywa.... Siku zote ukitaka kujifunza jambo liwe really,, likiwa na uongo uta fail.... Hivi unadhani meli unapanda tu kama unavyopanda BAISKELI?Wtf with this stupid,
kasome maandishi yake huko nyuma kasema alifanya field baadae akawa promoted so ni km kuna muda mdogo aliajiriwa akapiga kazi kama kibarua,kuna emergency anatakiwa cover up wa haraka.
mi niliajiriwa motel agip enzi hizo sijui kama hata unajua ilipo,sababu ni yule aliyekuwa kwenye station nnayojifunzia aliumia mguu,
so solution ikawa badala ya kuitisha interview mpeni huyo bwa mdogo kazi maana ameonekana anaimudu
nikaaachiwa kazi kilaini,aliporudi jamaa baa ya muda mrefu nikatupwa banquet.
ndio pale le mutuz akashauriwa ateme kazi maana ni ya kifala na akatema kweli.
Kumbe hapa hamjifunzi.... Mnapenda kudanganywa? Haya endeleeni kusikiliza porojo... From now on sijibu chochote.Babu mbona una ,shupuria ,Chuna mzee ..kama uongo ama ukweli ni juu yake mzee ...acha wenge ...chaliii!!
piga kimya mzee si hata kukaa kimya nako kujifunza mzee!! Usijifanye wajua sana mzee ukahisi kila mtu humu zuzu !! Watu wamepiga kmya wanajifunza ...Kumbe hapa hamjifunzi.... Mnapenda kudanganywa? Haya endeleeni kusikiliza porojo... From now on sijibu Quiet za yeyote
He always humble u know[emoji2]KUNA SEHEMU KASEMA ANAPENDA MAISHA YA KULA.
NIMEPATA JIBU KWANIN NI MNENE, U KNW!! LEKIBA%
Ngoja nkakuombee uko uko cjui atanlamba kufuli uwwwi le kokobangaJaman uniletee ukimwona hata humu niombee anifungulie insta
Labda wewe na mazuzu wenzako mnajifunza jinsi ya kupiga porojo na fix na si kwa mtu yeyote makini makini kutetea longolongo hizi.piga kimya mzee si hata kukaa kimya nako kujifunza mzee!! Usijifanye wajua sana mzee ukahisi kila mtu humu zuzu !! Watu wamepiga kmya wanajifunza ...
Izo meli unaongelea wenzio tunapanda Cruise to carribean,malaga and barbados nothn new .Hivi rank ya 2rd engineer ni ya kifala? unajuwa kama ni mtu mkubwa sn melini? Tena ni incharg.. Iweje awe KIBARUA? na huwezi UKAWA ENGINEER field.. ukiwa melini sea time unafanya ukiwa OS.... endeleeni kudanganywa.... Siku ZOTE ukitaka kujifunza jambo liwe really,, likiwa na uongo uta fail.... Hivi unadhani meli unapanda tu kama unavyopanda BAISKELI?
Kenge mama yako mzazi, ni kwa nini unalazimisha watu kusikiliza hizi porojo zisizo na ithibati?Story yake haihusu mshahara we kenge mbona mgumu kuelewa
Kumbe hapa hamjifunzi.... Mnapenda kudanganywa? Haya endeleeni kusikiliza porojo... From now on sijibu Quiet za yeyote
Dada wa taifa ndo yupi huyo? may i ask..[emoji23] [emoji23] mama ukitaka kufaidi ubuyu kule usipinge chochote[emoji23]wee soma tuuu unless otherwise unakula kufuli,nlishalamba kufuli kwa dada wa taifa kisa nmeweka emoji ya [emoji57] [emoji57] hahaha sijui ilikuaje nikafunguliwa
Da Mange Kimambi ndio Dada wa Taifa hili halina ubishi wala mjadala.Dada wa taifa ndo yupi huyo? may i ask..
Haha...Duh, kazi ipo. asante kwa taarifa mkuuDa Mange Kimambi ndio Dada wa Taifa hili halina ubishi wala mjadala.
Alikuwa anafumuliwa marinda tuuHiyo amount ni ya sasa,,, lakini hata wakati wake walilipwa vizuri mno,,, Nina babu yngu alikuwa BAHARIA miaka ya 80 kila akirudi ananunuwa nyumba,,anakaa mwaka anarudi TANZANIA..na Hata kama alilipwa LEMUTUZ dollars 500 bado asingeweza kuacha kazi ya meli,,, akalale nje marekani,,, pia kafanya kazi miaka 3 anashindwa kuandika vzr cheo chake melini... Kwani mkuu hujawahi kuona mtu anavaa magwanda ya jeshi na sio mwanajeshi? Kuna sign na vitu fulani kwa real solder ni rahisi kuvijuwa... Na kama ni fake solder ni rahisi kugundulika... . He was never be a SEAFARER... And he will never be