Mshakaji nawe mbishi[emoji3] [emoji3] [emoji3] kwani wewe unatakaje? Yeye alishauriwa kuacha nae bila hiyana akaacha akaamua kufanya inshu nyingine tatizo nini?Huyo sio mkweli mkuu,,, melini unakaa miezi 6 au 9 then unapata likizo,,unarudi home. Na, sasa kama aliona akiwa melini family zinapata taabu aliposhuka alirudi TANZANIA? au alikuwa na family gani inamtegemea? mkuu UBAHARIA mtamu sana,,, usisikie maneno ya FAILURE,,, HAKUNA pesa tamu kama kuipata dollars kwa pamoja,, uzishike EURO in cash.... Tamu mno
Kwani hata hapa ukiwepo mke hatafunwi? KWENYE kutafuta unaleta na wivusasa miezi 9 unaiona michache?...........yaani umuache mke wako kwa miezi 9 yote?
Huyo sio mkweli mkuu,,, melini unakaa miezi 6 au 9 then unapata likizo,,unarudi home. Na, sasa kama aliona akiwa melini family zinapata taabu aliposhuka alirudi TANZANIA? au alikuwa na family gani inamtegemea? mkuu UBAHARIA mtamu sana,,, usisikie maneno ya FAILURE,,, HAKUNA pesa tamu kama kuipata dollars kwa pamoja,, uzishike EURO in cash.... Tamu mno
Nathibitisha hiyo ni STORY ya uongo ya huyo LEMUTUZ,, huwezi kuacha kazi na kuwa homeless,,,, jobless,, marekani.... Pili kaacha,, kazi hana hata senti kumi,, wakati alikuwa analipwa madola kibao KILA MWEZI.. .. Sasa,,, iweje..,,, anaingia marekani bila pesa,, na mlala nje.....Mshakaji nawe mbishi[emoji3] [emoji3] [emoji3] kwani wewe unatakaje? Yeye alishauriwa kuacha nae bila hiyana akaacha akaamua kufanya inshu nyingine tatizo nini?
Ni kwl mnajifunza kwa assistant engineer ,,, aliyekaa sea time miaka 3.. KIBARUA melini,, akaacha dollars kibao akawa homeless,, job less marekani.. Somo zuri... Mkuupiga kimya mzee si hata kukaa kimya nako kujifunza mzee!! Usijifanye wajua sana mzee ukahisi kila mtu humu zuzu !! Watu wamepiga kmya wanajifunza ...
Unajua wewe jamaa ni mbishi sana?? Sasa mie nakuambia hapa huko bongo niliacha kazi niliokua nikifanya customs kila siku nikitoka job nina kama tshs 2m. Nikaja huku US nikaanza kazi za kubeba mabox kwanza huku nasoma hadi sasa nimekaa vizuri nina kazi nzuri na familia na maisha yansonga msuano. Itakuwa kuacha ubaharia kazi ya kukaa miezi 6 majini tu. Hio kitu acha kabisa inaitwa sacrifice. Na hapo le mutuz ni kua dad ake alikua PM lakini aliamua kuingia front mwenyewe kwenye kikosi cha mizinga kujilipua. Acha ubishi wa kwenye ghahawa za saigon .alikuwa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] aanze PART 1 HADI 18 then aje kubishana.Wewe tatizo lako mwandende umedandia treni kwa mbele hujaisoma story. Le mutuz baada ya kuacha ubaharia alirudi bongo akaanza upya kutafuta safari via Canada upo hapo.?? Wee kenge ??
Kila siku nikitoka job nina kama tshs 2m.Unajua wewe jamaa ni mbishi sana?? Sasa mie nakuambia hapa huko bongo niliacha kazi niliokua nikifanya customs kila siku nikitoka job nina kama tshs 2m. Nikaja huku US nikaanza kazi za kubeba mabox kwanza huku nasoma hadi sasa nimekaa vizuri nina kazi nzuri na familia na maisha yansonga msuano. Itakuwa kuacha ubaharia kazi ya kukaa miezi 6 majini tu. Hio kitu acha kabisa inaitwa sacrifice. Na hapo le mutuz ni kua dad ake alikua PM lakini aliamua kuingia front mwenyewe kwenye kikosi cha mizinga kujilipua. Acha ubishi wa kwenye ghahawa za saigon .
Inawezekana labda alibet au alilia bata kwenye macasino na clubsNathibitisha hiyo ni STORY ya uongo ya huyo LEMUTUZ,, huwezi kuacha kazi na kuwa homeless,,,, jobless,, marekani.... Pili kaacha,, kazi hana hata senti kumi,, wakati alikuwa analipwa madola kibao KILA MWEZI.. .. Sasa,,, iweje..,,, anaingia marekani bila pesa,, na mlala nje.....
Wewe ulikuwepo miaka hiyo maana umemkomalia sana, hata km ni uongo lakini stori yake ni tamuNi mwongo,, sababu huwezi kuwa assistant engineer kwa miaka 3,UKAWA KIBARUA,, , Kuna kitu melini wanaita SEA TIME,,, Ndy practical,,, yaani ukitoka chuoni level ya OS (OS) means ORDINARY SEAMAN,, unakuwa huja specialized ni position gani melini utafanya kazi... unakwenda sea time,, ili upate uzoefu,, ukirudi unakwenda tena chuoni,,, unasoma Kuna kitu wanaita ratings .. either ya DECK or engine,hapo Ndy unachaguwa unataka unafanya kazi sehem gani melini,, unasoma EITHER DECK,, OR ENGINE.. ,ukimaliza unakuwa AB means ABLE SEAMAN.. .. wa deck au engine,,, , sasa hapo KWENYE engine Ndy unakwenda NGAZI KWA NGAZI,,, OFICCER,,,engineer,, halafu,, 3rd engineer ,, 2nd engineer ,,, then chief engineer,,, na huko KWENYE deck AB,, OFICCER,, then chief officer,, then CAPTAIN..Nina maana huwezi UKAWA ENGINEER tena assistant (2rd engineer,,) , , fundi mkuu wa meli msaidizi wake,, huwezi kuwa unafanya practical for 3 years,,, ,, ni uongo,, sea time ni 6 months tu....au miezi 9,, Tena ukiwa sio wa rank ya OS.. ukiitwa OFICCER unakuwa USHAPITA KOTE KTK SEA TIME NA MENGINEYO.. NINA maana ili uwe OFICCER unatakiwa uwe na 3 years experience tena meli kubwa,,, Ndy unaweza kusoma officer wa meli,,, sasa yeye LEMUTUZ alikuwa zaidi ya OFICCER melini,, hawezi kuwa ni KIBARUA,, SI KWL... huwezi kuwa 2rd engineer Uwe KIBARUA,, means unajifunza,, sio kwl... Melini ni kama jeshini,, watu wanaheshimiana kwa CHEO... Huyo mzee mwongo,,,na kujifunza ni KWENYE OS...