Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Huyo sio mkweli mkuu,,, melini unakaa miezi 6 au 9 then unapata likizo,,unarudi home. Na, sasa kama aliona akiwa melini family zinapata taabu aliposhuka alirudi TANZANIA? au alikuwa na family gani inamtegemea? mkuu UBAHARIA mtamu sana,,, usisikie maneno ya FAILURE,,, HAKUNA pesa tamu kama kuipata dollars kwa pamoja,, uzishike EURO in cash.... Tamu mno
Mshakaji nawe mbishi[emoji3] [emoji3] [emoji3] kwani wewe unatakaje? Yeye alishauriwa kuacha nae bila hiyana akaacha akaamua kufanya inshu nyingine tatizo nini?
 
Sawa inategemea na mtu, lemutuz hajakulia poor family, alienda ubaharia for fun na kwa mtu anaependa kujichanganya nusu mwaka au mwakamzima ni muda mrefu ndo maana akaamua kufanya kaz hata km hazilipi anapata muda wa kujichanganya na watu. UUbaharia ni kaz ya hobbie au utoke kwenye dhiki ili ukomboe familia
Huyo sio mkweli mkuu,,, melini unakaa miezi 6 au 9 then unapata likizo,,unarudi home. Na, sasa kama aliona akiwa melini family zinapata taabu aliposhuka alirudi TANZANIA? au alikuwa na family gani inamtegemea? mkuu UBAHARIA mtamu sana,,, usisikie maneno ya FAILURE,,, HAKUNA pesa tamu kama kuipata dollars kwa pamoja,, uzishike EURO in cash.... Tamu mno
 
Duh [emoji15] Le Mutuz kaingia USA Rais Ronald Reagan (1980-1988) [emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu anasema kabla ya hapo alikuwa Ubeligiji miaka 5 kabla ya hapo.?!!
Inawezekana Le Mutuz alikuwa Kilanja shuleni wakati wazazi wetu wapo shule moja naye duh
 
Mshakaji nawe mbishi[emoji3] [emoji3] [emoji3] kwani wewe unatakaje? Yeye alishauriwa kuacha nae bila hiyana akaacha akaamua kufanya inshu nyingine tatizo nini?
Nathibitisha hiyo ni STORY ya uongo ya huyo LEMUTUZ,, huwezi kuacha kazi na kuwa homeless,,,, jobless,, marekani.... Pili kaacha,, kazi hana hata senti kumi,, wakati alikuwa analipwa madola kibao KILA MWEZI.. .. Sasa,,, iweje..,,, anaingia marekani bila pesa,, na mlala nje.....
 
piga kimya mzee si hata kukaa kimya nako kujifunza mzee!! Usijifanye wajua sana mzee ukahisi kila mtu humu zuzu !! Watu wamepiga kmya wanajifunza ...
Ni kwl mnajifunza kwa assistant engineer ,,, aliyekaa sea time miaka 3.. KIBARUA melini,, akaacha dollars kibao akawa homeless,, job less marekani.. Somo zuri... Mkuu
 
Unajua wewe jamaa ni mbishi sana?? Sasa mie nakuambia hapa huko bongo niliacha kazi niliokua nikifanya customs kila siku nikitoka job nina kama tshs 2m. Nikaja huku US nikaanza kazi za kubeba mabox kwanza huku nasoma hadi sasa nimekaa vizuri nina kazi nzuri na familia na maisha yansonga msuano. Itakuwa kuacha ubaharia kazi ya kukaa miezi 6 majini tu. Hio kitu acha kabisa inaitwa sacrifice. Na hapo le mutuz ni kua dad ake alikua PM lakini aliamua kuingia front mwenyewe kwenye kikosi cha mizinga kujilipua. Acha ubishi wa kwenye ghahawa za saigon .
 
A nigga had got a story to tell.....
ulikuwa nigga kuliko nigga J, salut mkuu, heshma kwako.
 
Uzuri wa huyu jamaa ni kwamba si mnafiki na anasema ukweli. Tatizo liko kwa umma (vijana) wa kitanzania kuwa hawataki ukweli kwa sababu walishajiaminisha uwongo na wanataka kuishi kiuwongo uwongo tu. Hongera sana Le Mutuz japo si shabiki wako ila ninakuelewa kwani hata mie nilishaishi Marekani (masomoni) na kuona ujinga wa niggaz. Huku Tanzania mtu anaona ujiko kujifananisha na Niggaz wakati kule Marekani hawana issue na hawatupendi sie waafrika.
 
Wewe tatizo lako mwandende umedandia treni kwa mbele hujaisoma story. Le mutuz baada ya kuacha ubaharia alirudi bongo akaanza upya kutafuta safari via Canada upo hapo.?? Wee kenge ??
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] aanze PART 1 HADI 18 then aje kubishana.
 
Unajua wewe jamaa ni mbishi sana?? Sasa mie nakuambia hapa huko bongo niliacha kazi niliokua nikifanya customs kila siku nikitoka job nina kama tshs 2m. Nikaja huku US nikaanza kazi za kubeba mabox kwanza huku nasoma hadi sasa nimekaa vizuri nina kazi nzuri na familia na maisha yansonga msuano. Itakuwa kuacha ubaharia kazi ya kukaa miezi 6 majini tu. Hio kitu acha kabisa inaitwa sacrifice. Na hapo le mutuz ni kua dad ake alikua PM lakini aliamua kuingia front mwenyewe kwenye kikosi cha mizinga kujilipua. Acha ubishi wa kwenye ghahawa za saigon .
Kila siku nikitoka job nina kama tshs 2m.

acha kudanganya watu.
 
PART 19:- "MY AMERICAN EXPERIENCE"

so my best friend Bezo kumbe ni a Drug Dealer na a "SNITCH" ni Wakala wa Polisi NYPD hapa Bongo nimesikia sana Vijana wakiitana hili jina lenye maana kubwa sana kwa Niggaz bila hata ya kujua maana yake kwamba kule USA kuitwa "SNITCH"

mtaani ni sawa na kuhukumiwa kifo maana the Crew wa mtaani wakishakujua tu wanaanza kukutafuta kukuua hamna msalie wala suluhu utakufa tu watakuvizia mpaka watakuua.


H0W YOU BECOME A SNITCH? ni kama Bezo alivyokua anatanya yaani a Double dealings unashirikiana na wenzako Niggaz halafu unaenda kuwauza kwa Polisi au unafanya uhalifu na wenzako Polisi wanakuwahi kukukamata kabla ya wenzako ukifika Polisi wanakupa a deal ukiwataja wote mliohusika utapunguziwa adhabu au utaachiwa kabisa kua huru.

kwa kawaida hua ni mtego wa makusudi unakua umetegewa na wenzak wanaotaka kukupima uwezo wako wa kuhimili maumivu ya kupigwa Polisi bila kuwataja wenzako now Polisi wakija mtaani tu kumkamata mwingine habari inaambazwa mtaa mzima kua wewe ni a "SNITCH" you are dead kabla ya kukuua kila unapopita mtaani hakuna anayekusemesha hata kina Mama wote wanakuchunia.

3333823b1eb4e6feb34c9616839041fa.jpg


haitapita Wiki utaokotwa umekufa kwa kupigwa risasi nyingi mdomoni ni inshara kua una mdomo mrefu sana ndio maana umeuliwa Siku moja nikiwa na the Crew mtaani East 3rd Street mtaa uliokua unaogopewa sana in the Hood kaka yake Myers yaani Heavy D akapigwa risasi na kufa hapo hapo.

risasi aliyolengwa heavy D ambaye then hakuwa Star lla ni underground lakini kumbe Niggaz walishaona mbali kua one day atatoboa so ule ule Wivu na Chuki zao wakaamua kumuua wakamkosa lakini baadaye siri ikatoka kua ni Bezo ndiye aliyekua behind thehomicide my God ilikua ndiyo siku yangu ya mwisho kumuona tena Bezo.

alitoroka na kukimbilia kwao Jamaica iliniuma Sana ile Siku cause ilikua ni mara yangu ya kwanza kuona binadam anakufa live tena Kwarisasi at Some point Gololi za macho yake zilianza uzunguka nonstop ndani ya mboni za macho yake ukawa ndio mwanzo na mwisho wangu kuhang out na Niggaz nikaamua kutokurudi tena mtaani infact nikaanza kumuogopa hata mbebezz wangu Antoinette cause nilijua at the end of the day she is a Nigga now nitamuachaje? .ITAENDELEA!
 
Nathibitisha hiyo ni STORY ya uongo ya huyo LEMUTUZ,, huwezi kuacha kazi na kuwa homeless,,,, jobless,, marekani.... Pili kaacha,, kazi hana hata senti kumi,, wakati alikuwa analipwa madola kibao KILA MWEZI.. .. Sasa,,, iweje..,,, anaingia marekani bila pesa,, na mlala nje.....
Inawezekana labda alibet au alilia bata kwenye macasino na clubs
 
moving story,frankly speaking I detest le mutuz-lakini hii family connection imenipa majibu mengi sana niliyokuwa najiuliza-having known a bit about upbringing ya ndugu zake-nilikuwa najiuliza sana how come LE Mutuz was so different,na kwanini he seems to have come up the hard way-Nisamehe le mutuz na salute
 
Ni mwongo,, sababu huwezi kuwa assistant engineer kwa miaka 3,UKAWA KIBARUA,, , Kuna kitu melini wanaita SEA TIME,,, Ndy practical,,, yaani ukitoka chuoni level ya OS (OS) means ORDINARY SEAMAN,, unakuwa huja specialized ni position gani melini utafanya kazi... unakwenda sea time,, ili upate uzoefu,, ukirudi unakwenda tena chuoni,,, unasoma Kuna kitu wanaita ratings .. either ya DECK or engine,hapo Ndy unachaguwa unataka unafanya kazi sehem gani melini,, unasoma EITHER DECK,, OR ENGINE.. ,ukimaliza unakuwa AB means ABLE SEAMAN.. .. wa deck au engine,,, , sasa hapo KWENYE engine Ndy unakwenda NGAZI KWA NGAZI,,, OFICCER,,,engineer,, halafu,, 3rd engineer ,, 2nd engineer ,,, then chief engineer,,, na huko KWENYE deck AB,, OFICCER,, then chief officer,, then CAPTAIN..Nina maana huwezi UKAWA ENGINEER tena assistant (2rd engineer,,) , , fundi mkuu wa meli msaidizi wake,, huwezi kuwa unafanya practical for 3 years,,, ,, ni uongo,, sea time ni 6 months tu....au miezi 9,, Tena ukiwa sio wa rank ya OS.. ukiitwa OFICCER unakuwa USHAPITA KOTE KTK SEA TIME NA MENGINEYO.. NINA maana ili uwe OFICCER unatakiwa uwe na 3 years experience tena meli kubwa,,, Ndy unaweza kusoma officer wa meli,,, sasa yeye LEMUTUZ alikuwa zaidi ya OFICCER melini,, hawezi kuwa ni KIBARUA,, SI KWL... huwezi kuwa 2rd engineer Uwe KIBARUA,, means unajifunza,, sio kwl... Melini ni kama jeshini,, watu wanaheshimiana kwa CHEO... Huyo mzee mwongo,,,na kujifunza ni KWENYE OS...
Wewe ulikuwepo miaka hiyo maana umemkomalia sana, hata km ni uongo lakini stori yake ni tamu
 
Back
Top Bottom