Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)


Jf haijawahi kuniangusha,hahahajaja
 
Hii point kubwa sana. salute you bro
 
Marinda yapo hv au
 
hii inaitwa funga mdomo wako na kakojoe ukalale... mobimba mzee wa fact


 
Dah aisee kisu kiligusa mfupa
 
Muulize muhusika mimi ni mjumbe tu.
Pamoja na Ujumbe wako unakosea kitu kimoja,
Kuziweka episodes zote mfulululizo,
Nadhani hata yeye hajashindwa kuziweka hivyo mfululizo kama unavyoziweka wewe, anaweka moja moja ili watu wazisome kwanza (Regardless ni za ukweli ama vipi).
 
exposure gani kijinga wewe ni ulimbukeni tu.ndio maana TRUMP awatukana
 
Hivi alikaa ubelgiji ameshindwa hâta kuandika citoyen anaandika citwayen [emoji23][emoji23][emoji23] ila story nzuri japo sijapenda anapowaita waafrika wenzake nigga.

- Cintwayeen Kintonzengu ni kwa kilingala pole sana mkuu, miaka 5 ya kukaa Belgium nilijifunza Kilingala chote pale Matonge, hayo majina yangu ya Kilingala ni Majina Mobutu alimpatia Mohamed Ali alipopigana na Foreman Zaire, muwe mnatafiti kabla ya kupiga piga kelele!

le Mutuz
 
Mobimba Nye nye nye [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Kwahili tuko pamoja and i strong support you.

Hizi ni kauli za kiume no matter what.
 
Sasa hakuna kilingala kinaitwa citwayen citoyen ni kifaransa maana yake citizen labda ulishindwa elewa jinsi ya kuandika kifaransa oi,oy=wa kwa kifaransa wewe ndo unapiga kelele nakurekebisha Anza kutumia citoyen sio citwayen
 
Napekua humu siooni kale ka clip ka kutoka bafuni
 
Mkuu lilaksi itatolewa maelezo ktk moja ya episodes humu wait and read...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…