kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Ushahidi upi hebu fafanua maana hata hicho cheo hakipo huoni kuwa amemchanachanaMuwe mnasoma bandiko kuanzia mwanzo mpaka lilipo Kabla hujakoment ......wakati wewe unaona kalichanachana .Let mutuz kashaweka na ushahid wa meli aliyopanda na ukionyesha na cheo alichokuwa nacho.Sasa kazi imebaki kwa huyo mtu wako kwani ametakiwa na yy aonyeshe ushahid wake.Na kashapiga kimyaaa baada ya le kokobanga citwa yeen kuweka ushahid
Mkajipange
Hahahaha midship........... acknowledge those gudays onboard Frobisher- Jawabu ni simple kwamba una maisha yako jali maisha yako, mimi ya kwangu hayakuhusu. Umri wangu huujui na wala haukuhusu heshima ya maisha haipatikani hapa JF wala Mitandaoni so take that nonsense back, jali maisha yako please humu soma nyamaza kama huna any positive ya kuchangia. Thanks
le Mutuz
teheeEbu huko [emoji3]
William nakushauri tujadili tu maisha yako ya majuu, tusijadili kuwa una akili kubwa au ndogo, kwasababu tukienda huko binafsi nitatofautiana na wewe. mbona tunakuona una akili ya kawaida au ndogo kulingana na umri wako? kupambana na maisha na kufikia hapo ulipofikia sio akili kubwa, ni uvumilivu tu wa mtu aliyeshindwa maisha, sasa ukianza kujisifu kuwa una akili kubwa aisee unakera kwasababu huwezi kujijua, tunaokuona ndio tunaweza kucomment juu yako. vilevile, kuishi majuu miaka hata 100 sio kwamba unakuwa na akili nyingi, exposure uliyo nayo inaonekana haijakusaidia, badala ya kujijenga kiakili umenia makubwa na kujiona na makuu kulivyo uhalisia wako. sisi wengine hatujaishi miaka mingi kama wewe lakini sometimes unakera kwasababu sio kwamba unaigiza ila unajiweka juu kuliko ulivyo.
1. Historia ya maisha yangu inamuhusissha baba yangu mzazi aliyenileta duniani, ningekuwa nina baba baba nisingeenda Majuu kupigana mwenyewe, pole sana inaelekea historia ya maisha yako baba yako hahusiki nayo ni wewe tu mimi Baba yangu ndiye hasa sababu ya kuwepo kwangu hapa Duniani so historia yangu unamuhusisha na ningekua nina njaa ya kuitwa jina lake nisingekua 'LE MUTUZ MOBIMBA" AU LE MUTUZ BOMAYEEEE hahahahaha
2. Nina Watoto 2 ndio maana sijatafuta mtoto tena, ndugu zangu hawajanitenga nini mimi niliamua kujitenga nao kuepusha kuwekeana sumu, ninachofanya ni nina kampuni ya Social Media ambayo inanifanya nijadili ishus na watu wote wa Social Media wawe Wanawake au Wanaume it does not matter.
3. Katika umri nilionao nina kampuni, nina ofisi Posta, nina Apartment Posta, nina nyumba Kinyerezi, na nina Plot nataka kuanza kujenga Mbweni. Ninajiajiri kila mwisho wa Mwaka ninaenda Nje kupumzika Wiki Mbili, niambie kwa mawazo yako ya maendeleo sana ulitaka nifanye nini? hahahahahaha
4. Akili kubwa ni kama sasa tunabishana mimi pesa inaingia wewe unapoteza bando bure na wote tupo humu humu kwenye Social Media ndio maana ya Akili Kubwaz, mimi nalipiwa Bando na my Sponsors kuanzia Ofisini mpaka kwenye simu pamoja na kunipa simu mpya kila mwaka ndio maana ya AKILI KUBWA AMBAYO huna.
Yaani sina hata la kujifunza kwenye ujinga unaoandika, ndio maana wala siku follow ila tizama wewe unavyohangaika, huna life mkuu wenye maisha huwa hawana muda wa kuhangaika na Akili Kubwazz na ukitaka ajira ninaweza kukupatia hapa Le Mutuz Online TV!
le Mutuz
William nakushauri tujadili tu maisha yako ya majuu, tusijadili kuwa una akili kubwa au ndogo, kwasababu tukienda huko binafsi nitatofautiana na wewe. mbona tunakuona una akili ya kawaida au ndogo kulingana na umri wako? kupambana na maisha na kufikia hapo ulipofikia sio akili kubwa, ni uvumilivu tu wa mtu aliyeshindwa maisha, sasa ukianza kujisifu kuwa una akili kubwa aisee unakera kwasababu huwezi kujijua, tunaokuona ndio tunaweza kucomment juu yako. vilevile, kuishi majuu miaka hata 100 sio kwamba unakuwa na akili nyingi, exposure uliyo nayo inaonekana haijakusaidia, badala ya kujijenga kiakili umenia makubwa na kujiona na makuu kulivyo uhalisia wako. sisi wengine hatujaishi miaka mingi kama wewe lakini sometimes unakera kwasababu sio kwamba unaigiza ila unajiweka juu kuliko ulivyo.
1. Mwanaume haishi kwa kivuli cha mzazi wake, ni mpumbavu tu hulia na kelele za 'my dad'..
1. Historia ya maisha yangu inamuhusissha baba yangu mzazi aliyenileta duniani, ningekuwa nina baba baba nisingeenda Majuu kupigana mwenyewe, pole sana inaelekea historia ya maisha yako baba yako hahusiki nayo ni wewe tu mimi Baba yangu ndiye hasa sababu ya kuwepo kwangu hapa Duniani so historia yangu unamuhusisha na ningekua nina njaa ya kuitwa jina lake nisingekua 'LE MUTUZ MOBIMBA" AU LE MUTUZ BOMAYEEEE hahahahaha
2. Nina Watoto 2 ndio maana sijatafuta mtoto tena, ndugu zangu hawajanitenga nini mimi niliamua kujitenga nao kuepusha kuwekeana sumu, ninachofanya ni nina kampuni ya Social Media ambayo inanifanya nijadili ishus na watu wote wa Social Media wawe Wanawake au Wanaume it does not matter.
3. Katika umri nilionao nina kampuni, nina ofisi Posta, nina Apartment Posta, nina nyumba Kinyerezi, na nina Plot nataka kuanza kujenga Mbweni. Ninajiajiri kila mwisho wa Mwaka ninaenda Nje kupumzika Wiki Mbili, niambie kwa mawazo yako ya maendeleo sana ulitaka nifanye nini? hahahahahaha
4. Akili kubwa ni kama sasa tunabishana mimi pesa inaingia wewe unapoteza bando bure na wote tupo humu humu kwenye Social Media ndio maana ya Akili Kubwaz, mimi nalipiwa Bando na my Sponsors kuanzia Ofisini mpaka kwenye simu pamoja na kunipa simu mpya kila mwaka ndio maana ya AKILI KUBWA AMBAYO huna.
Yaani sina hata la kujifunza kwenye ujinga unaoandika, ndio maana wala siku follow ila tizama wewe unavyohangaika, huna life mkuu wenye maisha huwa hawana muda wa kuhangaika na Akili Kubwazz na ukitaka ajira ninaweza kukupatia hapa Le Mutuz Online TV!
le Mutuz
AISEEEE MPKA HAPA NAONA NI. 2 : 1.UBAO UNASOMEKA HIVI AISEEE ...1. Mwanaume haishi kwa kivuli cha mzazi wake, ni mpumbavu tu hulia na kelele za 'my dad'..
Na kwanini humzungumzi mama yako mzazi uliyemtelekeza kipindi anaumwa kama una hela kama umavojinasibu..emu onyesha ata receipt ya pesa uliyotuma kwa mama yako kipindi anaumwa?? Kwanini historia ya mama yako inakupa kichefichefu..ina maana unaona aibu kias hicho kuwa na mzazi kama yeye??
Mama yako alikufanyia kosa gani mpaka unaona aibu kias hiki?? Una zungumza una akili kubwa..najiuliza inawezekanaje mtu anaejinasibu kuwa na maisha mazuri kama unayoandika amuache mama yake ajiuguze na kufariki katika nyumba inayovuja..najua unajua picha zipo!!
2. Swala la ndugu zako na sumu..
Unataka kuaminisha watu kuwa dada msomi dokta Mwele Malecela anaweza kukuonea wivu mpaka kutaka kukiwekea sumu..kwa lipi ulilonalo pimbi kama wewe??
Wewe ambae ulikuwa unafanyia nduguzo fujo na kuwachafua kwa kutaka kumrithi baba yako akiwa bado hai??
Akili kubwa ulitonayo wewe ni ipi ya kiatngaza na kuchafua nduguzo au kuonyesha ufa zilizopo kwenye ukoo wenu mitandaoni
3. Swala la watoto halikufanyi kuwa na familia..ni kama ilivo kwa kuchangia damu moja haiwafanyi kuwa ndugu..
Najiuliza mtu mwenye akili kubwa ambae ana mika zaidi ya 60+ atakuwa amewafanyia nini wanae mpaka wamsuse na kuona aibu kuwa na baba kama wewe..umri huo aibu zako zimewafanya wanao kujificha kwenye vichaka.
Narudia tena you have no one to call a family!!
4. Yaani akili kubwa ni kujivunia kulipiwa bando?? Duh we kweli punguwani?? Mpaka umri huo bado unakuwa na matatizo ya vocha ya bando?? how is it even possible mwanaume kutafuta vitonga ya vitu kama vocha??
Nikuambie tu hatua niliyoko mimi sio tu aibu bali ni matusi kifanya kazi ya kipumbavu kama yako..!!
Mzee umeruka stage na kwa sasa hicho unachoita mafanikio ni harakati ambazo zilitakiwa afanye mwanao anaetafuta maisha sio ww bibi na miaka yako iyo 60...saivi ulitakiwa uwe umetulia unakula ugoro sio kujibizana na mama wa watoto wako mitandaoni ..idiot!!
nikukumbushe tu mimi siishi kwa kuwa na followers kwaiyo wewe kunifollow au la..i dont give a ****!!..kwanza ni aibu kuwa na follower mpuuzi wa aina yako..idiot!!
1. Mwanaume haishi kwa kivuli cha mzazi wake, ni mpumbavu tu hulia na kelele za 'my dad'..
Na kwanini humzungumzi mama yako mzazi uliyemtelekeza kipindi anaumwa kama una hela kama umavojinasibu..emu onyesha ata receipt ya pesa uliyotuma kwa mama yako kipindi anaumwa?? Kwanini historia ya mama yako inakupa kichefichefu..ina maana unaona aibu kias hicho kuwa na mzazi kama yeye??
Mama yako alikufanyia kosa gani mpaka unaona aibu kias hiki?? Una zungumza una akili kubwa..najiuliza inawezekanaje mtu anaejinasibu kuwa na maisha mazuri kama unayoandika amuache mama yake ajiuguze na kufariki katika nyumba inayovuja..najua unajua picha zipo!!
2. Swala la ndugu zako na sumu..
Unataka kuaminisha watu kuwa dada msomi dokta Mwele Malecela anaweza kukuonea wivu mpaka kutaka kukiwekea sumu..kwa lipi ulilonalo pimbi kama wewe??
Wewe ambae ulikuwa unafanyia nduguzo fujo na kuwachafua kwa kutaka kumrithi baba yako akiwa bado hai??
Akili kubwa ulitonayo wewe ni ipi ya kiatngaza na kuchafua nduguzo au kuonyesha ufa zilizopo kwenye ukoo wenu mitandaoni
3. Swala la watoto halikufanyi kuwa na familia..ni kama ilivo kwa kuchangia damu moja haiwafanyi kuwa ndugu..
Najiuliza mtu mwenye akili kubwa ambae ana mika zaidi ya 60+ atakuwa amewafanyia nini wanae mpaka wamsuse na kuona aibu kuwa na baba kama wewe..umri huo aibu zako zimewafanya wanao kujificha kwenye vichaka.
Narudia tena you have no one to call a family!!
4. Yaani akili kubwa ni kujivunia kulipiwa bando?? Duh we kweli punguwani?? Mpaka umri huo bado unakuwa na matatizo ya vocha ya bando?? how is it even possible mwanaume kutafuta vitonga ya vitu kama vocha??
Nikuambie tu hatua niliyoko mimi sio tu aibu bali ni matusi kifanya kazi ya kipumbavu kama yako..!!
Mzee umeruka stage na kwa sasa hicho unachoita mafanikio ni harakati ambazo zilitakiwa afanye mwanao anaetafuta maisha sio ww bibi na miaka yako iyo 60...saivi ulitakiwa uwe umetulia unakula ugoro sio kujibizana na mama wa watoto wako mitandaoni ..idiot!!
nikukumbushe tu mimi siishi kwa kuwa na followers kwaiyo wewe kunifollow au la..i dont give a ****!!..kwanza ni aibu kuwa na follower mpuuzi wa aina yako..idiot!!
mkuu tusibishane, mimi ninakufahamu vizuri sana, usifikiri nimekufahamia kwenye mitandao. sasa kulinda heshima yako ngoja tujadili mengine, ila msg yangu ndio ilikuwa hiyo. lakini yote katika yote, still kuna vitu vingi nimejifunza toka kwako hasa kufanya kazi kwa bidii na kuvumilia vitu, pamoja na kwamba kuna mapungufu mengi sana ambayo sihitaji kabisa kujifunza toka kwako kwasababu kuna baadhi ya tabia zako mimi nimeziepuka na zimenipa faida kubwa sana maishani mwangu. ndo maana nilikuwa nasema usisema una akili kubwa, acha watu ndio wakuite una akili kubwa, wewe binafsi huwezi kujijua.- HAHAHA akili kubwa inatakiwa ikuwezeshe kuishi maisha bora na mazuri kuliko wengi kama hauwezi then ni akili ya kawaida sana, ninajua kua sio Wabongo wote Millioni 55 wanaoweza kuishi kama ninavyoishi, wewe unaona Instagram mahali pangu pa business lakini binafsi hujui ninaishije so sema unachoona ni Instagram mimi maisha yangu huyajui, wanaoyajua ndio wanaweza kusema na hawawezi kusema unachosema maana wanajua ukweli wa my life ninaishi vizuri sibabaishi wala sibahatishi au kuigiza, na nimeyatafuta haya maisha in 6 years tu nilizorudi Bongo ndio maana ninasema ninazotumia ni akili kubwa sana, maana kuna watu wamezaliwa hapa Bongo na hawajaweza kuyafikia maisha niliyoyatafuta in the last 6 years tu!
Thanks
Le Mutuz
mkuu tusibishane, mimi ninakufahamu vizuri sana, usifikiri nimekufahamia kwenye mitandao. sasa kulinda heshima yako ngoja tujadili mengine, ila msg yangu ndio ilikuwa hiyo. lakini yote katika yote, still kuna vitu vingi nimejifunza toka kwako hasa kufanya kazi kwa bidii na kuvumilia vitu, pamoja na kwamba kuna mapungufu mengi sana ambayo sihitaji kabisa kujifunza toka kwako kwasababu kuna baadhi ya tabia zako mimi nimeziepuka na zimenipa faida kubwa sana maishani mwangu. ndo maana nilikuwa nasema usisema una akili kubwa, acha watu ndio wakuite una akili kubwa, wewe binafsi huwezi kujijua.
vilevile, unaweza kuwa unamiss point ya definition ya "maisha mazuri", what does maisha mazuri mean to you? ni kutoka na wabebez, kwenda vacation dubai au souz, kuiishi 30 years majuu? kula vizuri kwenye appartment ya kupanga?, definition yako ya maisha mazuri ni ipi? kuishi na mwili mkubwa kama tembo kama unakula garbage kila siku?
Le Mutuz hebu tumwagie story za maisha yako haya malumbano na wanaokushari na wanaolujua ungeyapokea. sidhani km The List , Hute na wengineo kama wanasema uongo??
mm nipo hapa Dodoma karibu na Mzee wako huyu Mama wa Kipare ndio kabana haswa hakuna cha kupiga penalti wala kusogelea mali za Mzee tena
umejaribu vyeo nibao kwenye CCM tukakupima tukaikuta AKILI KUBWA hii TUKAKUNYIMA KURA
kabla haijaitwa Jamii Forums mlianzisha sijui Jambo ikijulikana enzi hizo na kina Max na Mac Mushi ukawaletea AKILI KUBWA sasa una Onlime
ELIMU ni kusikiliza na ya wenzako hata km sio wahenga kubali hata na ya wodogo tunaelekea jioni sasa Mkuu miaka 60 si mchezo acha Historia ya mema sasa tukukumbuke
lta story za kweli za maisha yako sio km mahali nimekuta nikaacha kufuatilia kabisa pale uliposema
BERMUDA TRIANGLE Merikebu huzunguka circle siku 5 bila kutoka na mnapewa mito maalum mlale. ndipo nilipoacha hii Hadithi
yaani sijawahi sikia mahali penye mkondo wa maji unapokutana km Nungwi Zanzibar eti Baharia anapafuata ili tu akazunguke badala ya kupakwepa
sorry km nimekukwaza Mkuu leta Hadithi zako hata za ulivyopitia Chama na AKILI KUBWA
Mtu aliyetembea sana na mwenyw exposure kubwa anawezaje kutamba ametembea na wanawake wengi wa Instagram?1.Naomba kujua umri wako tafadhali?
2.huwezi kushare msichana, na ukigundua unamuacha..... Wewe ni halali kuwa na wasichana wengi? Husisha na dini yako pia na maandiko yanasemaje.
Ushauri wangu kwako.
Umri wako sio wa kupiga kelele mitandaoni na watoto, unajidhalilisha bure, kwani ukiwa kimya ni dhambi?.siku zote mtu anaheshimika kutokana na jinsi anavyojiweka.
Mtu aliyetembea sana na mwenyw exposure kubwa anawezaje kutamba ametembea na wanawake wengi wa Instagram?
Mkuu mimi ningekushauri hicho kipengere ungekiacha ama kama ni cha muhimu ukiguse juu juu juu maana unaweza kujishushia hadi yako.- Ni historia ya "MY INSTAGRAM'S DATING EXPERIENCE" ni muhimu sana vijana wakajua yanayoendelea nyuma ya pazia la Instagram mimi ninayaishi now wewe huyajui so subiri nitakapoandika maana pamoja na mengi yaliyomo ni pamoja na uwezo wa kutembea na Wabebezz wengi kwa wakati mmoja huku wanajuana, sio jambo la kawaida au unasemaje?
- Ni muhimu tukawekana sawa kabla sijaendelea na Chapter zingine za my "AMERICAN EXPERIENCE"
le Mutuz
Naona dawa imekuingia sasa na taratibu umeanza kufahamu..kuwa kuna i.d huwa hazikurupiwi kujibiwa kipwagu na ndondocha wa level zako..Klemisha kabisa hii i.d, THE LIST.!!1. Mwanaume anatakiwa kuishi kwa kivuli cha Wazazi wake, unless kama hana wazazi kama ulivyo pole sana ninawapenda wazazi wangu na mapungufu yao yote.
2. Pole pole ninaanza kukuelewa unakotokea so ni muhimu sana nikuelimishe, Mama yangu mzazi nilikua ninamztunza na kumtumia pesa maisha yangu yote na shahidi wangu on it ni my Ex wife na mama yangu Mdogo anayeishi Mbeya, sina sababu ya kuonyesha anything on that, Mama yangu sina tatizo naye wala sijawahi kuwa na tatizo naye ni Mama yangu na ndio maana alipofariki nilikuwa wa kwanza, sijui ulitaka nifanye nini zaidi ya nilyomfanyia, pole sana hahahaha wewe shindana na mimi sio Wanaonihusu hahahahahahaha.
3. Kumbe unawajua kina Mwele? hahahahahaha sasa pole pole unaanza kujifunua ni nani hahahaha ndio maana umekomaaa sana kunishambulia kumbe unawajua kina Mwele? hahahahaha umenifurahisha sana look niliamua kuchana nao niliporudi bongo ili kuepusha any missundestandings siwahitaji na hawanihitaji maisha yanasonga here I am!
4. Watoto wangu ni wangu tu sina sababu ya kubishana na wewe ambaye wala huwajui na wala hawakuhusu, umedanganywa tu na waliokutuma kuja hapa those are my kids, wanatumia pesa zangu za Peshion kule kama hujui, hahahaha tuliza boli umedanganywa.
5. Mengine yote ni waste of time, mimi kazi yangu ni Social Media miaka 60 sijafikisha siku nikifikisha utakua wa kwanza kujua, halafu ni aibu kwa mtoto wa kiume kama wewe kuandika andika umbeya kwenye mitandao maana hapa ni Pwani kuwa makini unaweza kuishia kuvalishwa dela na kukunishwa nazi. hahahahahahahhhaa!1
le Mutuz
Mkuu mimi ningekushauri hicho kipengere ungekiacha ama kama ni cha muhimu ukiguse juu juu juu maana unaweza kujishushia hadi yako.
Basi mkuu uko sawa.Endelea na mipango yako.- Hapana hicho ni kitabu kitakachofuata baada ya cha kwanza wewe hunuamulii cha kufanya na mimi sikuamulii pia.
le Mutuz
Naona dawa imekuingia sasa na taratibu umeanza kufahamu..kuwa kuna i.d huwa hazikurupiwi kujibiwa kipwagu na ndondocha wa level zako..Klemisha kabisa hii i.d, THE LIST.!!
Eti unampenda mama yako!!?..kuwa na aibu kwa Mungu wako wewe mzee..you may forget but the internet does not!! unajiita una akili na kwamba una maisha mazuri na kwamba unampenda mama yako..
Najiuliza hii picha ni ya mzazi mwenye mtoto mwenye mafanikio na akili kubwa...hii nyumba mama yako aliyofarikia ni mtoto gani mwenye akili kubwa anaweza kumtekeleza mama yake peke yake kwenye kichiguu kama hiki akiwa mahututi???
View attachment 698139
Ninajiuliza Mtoto mwenye akili TIMAMU sio kubwa wala ndogo, timamu tu!! Anawezaje kuacha kaburi la mama yake mzazi miaka miwili bila kujengea??? Huku yeye akipigwa PICHA ZA UCHI mitandaoni na kutukanana na mama watoto wake??
Hii laana haitokuacha salama..huyu mama alikukosea nini mpaka ukamfanyia hivi?? Emu kuwa muwazi kidogo au unataka kusema dada dokta Mwele alikutishia atakuroga ukimjengea mama yako??hahaha ni kituko mzee!!
View attachment 698143
Hizi laana ndizo zinakufanya uwe na maisha kama ya mlinzi..yaani miaka 60+ unaishi kwenye apartment ya kupanga..stupid kabisa!!
Akili kubwa na mafanikio ni yapi haswaa unayojinasibia ww??
Basi mkuu uko sawa.Endelea na mipango yako.