We jamaa ni mchonganishi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji91] [emoji91] [emoji91]AISEEEE MPKA HAPA NAONA NI. 2 : 1.UBAO UNASOMEKA HIVI AISEEE ...
WEWE JAMAA UKO VIZURI AISEEE ..NILIKUWA NASUBIRI KUONA JINSI UTAKAVYOWEZA KUZIPNGUA ZILE HOJA ..ILA KWA SASA NAFSI IMETAKASWA..
ILA JAMAA ALISEMA ANAMILIKI APARTMENT POSTA..MBONA HILO HUJAGUSIA MKUU
Aiseee- Ni historia ya "MY INSTAGRAM'S DATING EXPERIENCE" ni muhimu sana vijana wakajua yanayoendelea nyuma ya pazia la Instagram mimi ninayaishi now wewe huyajui so subiri nitakapoandika maana pamoja na mengi yaliyomo ni pamoja na uwezo wa kutembea na Wabebezz wengi kwa wakati mmoja huku wanajuana, sio jambo la kawaida au unasemaje?
- Ni muhimu tukawekana sawa kabla sijaendelea na Chapter zingine za my "AMERICAN EXPERIENCE"
le Mutuz
kwamba huo uzito umeukalia au ...HAHAHAA AISEE KUMBE delicious ni shoga yko..lahhaulaaaUko ndani ya Boxer umetulia....uzito ukizidi nitakuita kwa msaada zaidi mkuu.
Hahaha wewe ni mpuuzi namba moja, eti historia ya JF? What has that got to do with me??yaani nipoteze mida kubishania ujinga kama huo ili iweje?? mzazi wako aliona wazi anapoteza muda kuwekeza kwa pimbi kama wewe ambae mpaka umri huo mama ako ANAFARIKI ukashindwa kujenga ata kaburi, mpaka umri huo bado UMAISHI kwenye apartments za kupanga..mjinga ambae mpaka umri wa uzee bado PICHA ZA UCHI na aibu zinasambaa mitandaoni!!
baba yako aliona mbali ndio sababu ulitelekezwa mapema sana..maana ni mzazi au ndugu tahira tu anaweza jivunia wewe..wasped sperm!!!
hahaa idiot ..wasted sparm ..skunkHaaaaa haaaaa....si kwa kichambo hichi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Mtu unaweza kujimurder chaaa!
Huoni tatizo kuwa mtu mwenye akili kubwa na mafanikio kumuacha mama yake mzazi kufariki kwenye kichuguu??? Duh lord have mercy!!
akili huna ndondocha kabisa wewe..umesema maisha uliyoyapata bongo six years back wenzio wa majuu wanasema ni afadhali kuliko ulikokuwa mbele...!!?
Hii inamaana miaka yako tangu uzaliwe, ujana wako yaaani miaka 20- 45 ulikuwa kapuku tu..yaani sasa katika miaka 60+ ndio una hustle??? This is absurd!! Ujana wako wote ulikuwa unatukanana na mama wa watoto wako mitandaoni tu!!
Emu tizama hii picha kosha uniambie ni mtu gani mwenye akili timamu na umri wa uzee kama wako anafanya uzuzu kama huu??
View attachment 698167
tizama kundi la vijana walioko hapo kisha jiringanishe na ww..alafu uniambie ww kichwani ni mzima kweli??
Umri huo unapigwa PICHA ZA UCHI??? Mzee ulitakiwa uwe unacheza na vitukuu huku ukimeza ka ugoro kidogo sio kuonuesha izwazwa na maumbile yako kama puto mitandaoni eti akili kubwa..idiot labisa
[emoji3][emoji3][emoji3] huyu ndugu yake The list amenishindaMbea huyo haaa haaa[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
AhahahhaHivyooo?...yy anadili na waleta nyuzi?
Kamjibu sijaona ebu niquote [emoji3]Mmmh ...kamjibu prishaz mbona? It depends
Kwa wote wanaomdisi Le Mutuz, Nye Nye Nye Mimi nawaona ni maboya tu, jamaa amehaso alafu mnamchukulia poa kisa alikua mtoto wa kigogo. Just imagine kama Wewe Ungekua mtoto wa waziri ungekubali hata kwenda ughaibuni kutest zali na wakati huku nyumbani maishani uhakika? Acheni kuleta hobby za kisiasa kwenye personal life. Nye Nye Nye achana na masnitch fanya mambo yako you can't be perfect to all people.
mkuu haupo kwenye list ya waliokulwa IG. wewe haupo..!? naomba le kokobanga akiwa anataja idadi yao aweke na kapicha kidogo tuwaone ndio itanoga mambo yakutupa akapela wakati technology inaruhusu hatutaki ni sawa na kupewa wali bila mchuzi ..halafu kumbe Jamaa mnamsingizia hana kibamia wala nini maana kama angekuwa na kinukta wadada wasingekuwa wanapnga foleni kwaajili yakukulwa..hahaa..Aiseee
Hao mabebez wana moyo wa pekee wanajuana wote wanakulwa na mwanaume mmoja
hahaaa wabongo nyokooo ..hiyo line ya mwisho ninecheka mnooo aiseee
mkuu haupo kwenye list ya waliokulwa IG. wewe haupo..!? naomba le kokobanga akiwa anataja idadi yao aweke na kapicha kidogo tuwaone ndio itanoga mambo yakutupa akapela wakati technology inaruhusu hatutaki ni sawa na kupewa wali bila mchuzi ..halafu kumbe Jamaa mnamsingizia hana kibamia wala nini maana kama angekuwa na kinukta wadada wasingekuwa wanapnga foleni kwaajili yakukulwa..hahaa..
KIBONGO BONGO KUMBE KUTEMBEA NA MADEMU WENGI NA KUONA FASHION MBALI MBALI ZA PICHU ZAO ..NIMAFANIKIO. PIA AISEE..
wajua William usione nimecheka ukahisi na kudhihaki nope ...siko serious nachukulia huu nikama mjadala baada ya hapa tuna maisha yetu mengine kabisa ambayo nitofauti na hii mitandao ..nasisi wengine huwa tunapnda kufurahi na kuwafanya wengine wafurahie kile kinachotupatia furaha means washiriki nasi ktk furaha yetu ..siwezi kukudhihaki kwasbabu cjui umepitia mangapi katk maisha kama ambavyo wewe hujui kwangu mimi pia ..- Well, wanasema kwa Shujaa hua ni kilio ila kwa muoga ni kicheko so ila sijaona anything, ninayoishi ni maisha mazuri sana na ninajua sio Wabongo wote Millioni 55 wanayo na ndio maana kuna kelele nyingi za Mlango hapa maana sio wote humu wenye maisha mazuri so lazima walie lie!
le Mutuz
wajua William usione nimecheka ukahisi na kudhihaki nope ...siko serious nachukulia huu nikama mjadala baada ya hapa tuna maisha yetu mengine kabisa ambayo nitofauti na hii mitandao ..nasisi wengine huwa tunapnda kufurahi na kuwafanya wengine wafurahie kile kinachotupatia furaha means washiriki nasi ktk furaha yetu ..siwezi kukudhihaki kwasbabu cjui umepitia mangapi katk maisha kama ambavyo wewe hujui kwangu mimi pia ..
salute
Jamaa noma....halafu anapangua point mpaka unabaki mweupee...hahaa idiot ..wasted sparm ..skunk
huyo ndo the list bhanaa ...ananinyooshea waliopinda
Mkuu ahahaha, sipiganii chochote hapa, ndo maana nilisema ngoja tubaki kwenye hoja ili nisikuvunjie heshima na flow yako ya satory ya America iendelee vizuri nisikudisturb, sema tu kuna baadhi ya mawazo tulitofautiana ila yaliyo mengi ninakuunga mkono. Ok, tafadhali endelea na story yako tupate kujua zaidi. kama ni kuishi ni kwamba, nimesoma na kuishi Canada (Waterloo Ontario), nimeishi Toronto pia, nimeishi Italy kwa masomo pia, nchi za Ulaya ambako sijagusa nafikri ni Ureno (namaanisha Ulaya magharibi). hata hivyo hii haina maana kwa yeyote, none of business ya wengine. thanks kwa hoja.lete story mkuu.- Nafikiri umenisaidia sana kuwa kuishi vizuri ni definition ya kila mtu, ila the ishu ni wangapi Tanzania wanaweza ku afford kuishi kama ninavyoishi kwa sababu watuwangu wengi nilowaacha Majuu wanakubali kua nina maisha mazuri kuliko nilipokua kule.
- So far sielewi point yako ni nini hasa maana sijui kama nimewahi kukuomba pesa au anything in my life, unajaribu kulazimisha kunijua kwa nguvu wakati wala haihusu hapa ni historia ya Maisha yangu nikiwa Marekani, vipi uliishi Marekani? Kujiita Akili Kubwa ni uamuzi wangu kwa kuangalia nilikotoka na maisha ninayoishi sasa na ninlicho accomplish,
- Maisha mazuri kwangu ni Kulala vizuri, Kula vizuri, Stable Source of Income, na pesa mfukoni, Mabebezzz ni extra thing cause sio Wanaume wote wanayo access ya Wabebezz wazuri kama mimi, mengine utajaza mwenyewe ila nakushangaa eti unapigania nini hasa?
le Mutuz
inategemea na class yahao wanawake wa kibongo unaowazungumzia mkuu ...so hapa wazungumzia class ipi ..??- Hivi wanawake wa Kibongo wanaweza kukubali kama wanajua huna mafanikio ya maisha? Seriously?
le Mutuz
57.Kwa mujibu wa passport anamiaka 58
Mfyuuuu zako una nini lakini ningekuwa kwenye list yake ningekula blockmkuu haupo kwenye list ya waliokulwa IG. wewe haupo..!? naomba le kokobanga akiwa anataja idadi yao aweke na kapicha kidogo tuwaone ndio itanoga mambo yakutupa akapela wakati technology inaruhusu hatutaki ni sawa na kupewa wali bila mchuzi ..halafu kumbe Jamaa mnamsingizia hana kibamia wala nini maana kama angekuwa na kinukta wadada wasingekuwa wanapnga foleni kwaajili yakukulwa..hahaa..
KIBONGO BONGO KUMBE KUTEMBEA NA MADEMU WENGI NA KUONA FASHION MBALI MBALI ZA PICHU ZAO ..NIMAFANIKIO. PIA AISEE..