Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

We jamaa ni mchonganishi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
 
Aiseee
Hao mabebez wana moyo wa pekee wanajuana wote wanakulwa na mwanaume mmoja
 
Kwa wote wanaomdisi Le Mutuz, Nye Nye Nye Mimi nawaona ni maboya tu, jamaa amehaso alafu mnamchukulia poa kisa alikua mtoto wa kigogo. Just imagine kama Wewe Ungekua mtoto wa waziri ungekubali hata kwenda ughaibuni kutest zali na wakati huku nyumbani maishani uhakika? Acheni kuleta hobby za kisiasa kwenye personal life. Nye Nye Nye achana na masnitch fanya mambo yako you can't be perfect to all people.
 

- so far sijaona anything serious like unapingana na my story, I am fine Majuu nilikua na maisha mazuri sana Materialistically lakini Bongo quuality of life ni bora kuliko niliyokua nayo majuu, ninamshukuru Mungu in my life sijamuibia mtu wala kupora cha mtu,

- Nimepigana nimejisomesha, nimerudi bongo na akili kubwa kuliko niliyoenda nayo na sasa hivi ninaishi kama ninvyotaka, ya kwako ni makelele tu ya mlango, kazi yangu ni Social Media ni lazima niwepo wanapikuwepo wateja wangu ndio hizo picha, hahahahaha

- Eti vipi utaiweka nyumba na kaburi uliomjengea mama yako tulinganishe au ni maneno tu ya shombo ambayo kwangu ni kawaida sana hahahahahaha weka nyumba uliyomjengea mama yako na kaburi kwanza uwe na authority ya kucheka wengine.

le Mutuz
 

- Well, thanks boss ila I wish mnegkua mnawajua watoto wengi wa Viongozi wa zamani wanaohaha hapa mjini kwa sababu baba zao walipokuwa kwenye power hawakufikiria nafasi zao kuna siku zitaisha, ninamshukuru Mungu kila siku kwa maisha aliyonipa na ninayoyapigania kila siku na ninafanikiwa.

le Mutuz
 
Aiseee
Hao mabebez wana moyo wa pekee wanajuana wote wanakulwa na mwanaume mmoja
mkuu haupo kwenye list ya waliokulwa IG. wewe haupo..!? naomba le kokobanga akiwa anataja idadi yao aweke na kapicha kidogo tuwaone ndio itanoga mambo yakutupa akapela wakati technology inaruhusu hatutaki ni sawa na kupewa wali bila mchuzi ..halafu kumbe Jamaa mnamsingizia hana kibamia wala nini maana kama angekuwa na kinukta wadada wasingekuwa wanapnga foleni kwaajili yakukulwa..hahaa..

KIBONGO BONGO KUMBE KUTEMBEA NA MADEMU WENGI NA KUONA FASHION MBALI MBALI ZA PICHU ZAO ..NIMAFANIKIO. PIA AISEE..
 
hahaaa wabongo nyokooo ..hiyo line ya mwisho ninecheka mnooo aiseee

- Well, wanasema kwa Shujaa hua ni kilio ila kwa muoga ni kicheko so ila sijaona anything, ninayoishi ni maisha mazuri sana na ninajua sio Wabongo wote Millioni 55 wanayo na ndio maana kuna kelele nyingi za Mlango hapa maana sio wote humu wenye maisha mazuri so lazima walie lie!

le Mutuz
 


- Hivi wanawake wa Kibongo wanaweza kukubali kama wanajua huna mafanikio ya maisha? Seriously?

le Mutuz
 
wajua William usione nimecheka ukahisi na kudhihaki nope ...siko serious nachukulia huu nikama mjadala baada ya hapa tuna maisha yetu mengine kabisa ambayo nitofauti na hii mitandao ..nasisi wengine huwa tunapnda kufurahi na kuwafanya wengine wafurahie kile kinachotupatia furaha means washiriki nasi ktk furaha yetu ..siwezi kukudhihaki kwasbabu cjui umepitia mangapi katk maisha kama ambavyo wewe hujui kwangu mimi pia ..

salute
 

- Hivi kweli unaamini wewe unaweza kunisumbua mimi? hahahahahahhaa like seriously?

le Mutuz
 
Mkuu ahahaha, sipiganii chochote hapa, ndo maana nilisema ngoja tubaki kwenye hoja ili nisikuvunjie heshima na flow yako ya satory ya America iendelee vizuri nisikudisturb, sema tu kuna baadhi ya mawazo tulitofautiana ila yaliyo mengi ninakuunga mkono. Ok, tafadhali endelea na story yako tupate kujua zaidi. kama ni kuishi ni kwamba, nimesoma na kuishi Canada (Waterloo Ontario), nimeishi Toronto pia, nimeishi Italy kwa masomo pia, nchi za Ulaya ambako sijagusa nafikri ni Ureno (namaanisha Ulaya magharibi). hata hivyo hii haina maana kwa yeyote, none of business ya wengine. thanks kwa hoja.lete story mkuu.
 
Mfyuuuu zako una nini lakini ningekuwa kwenye list yake ningekula block
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…