Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Kakaa sijui marekani ipi sijui alikua anaishi New york kwenye zile Warehouse maana juzi alikua Dubai anashangaa duka la ADIDAS wakati kakaa Marekani nadhani alikua anaishi kwenye warehouse huyu.
Ukisoma stori yake utaelewa,,jamaa hakua na time ya kuzunguka kwny maduka sjui ma nini,alifanya kazi muda wake mwingi sana,,na kingne kumbka hii ni 1980's
 
Nye nye nye ni kebehi hasa wale kwa wale tortured people waliokuwa nakasero dungeon enzi za Idd Amin.
Asili ya hilo neno ni wale askari waliokuwa wanawatesa.
Kuwapiga nyundo kwenye pumbu , kukata sikio mtu anapolia kwa maumivu na wao wanamfatisha nyeee nyee nyee.
Source:
Mtesaji mstaafu ughaibuni
 
Ukisoma stori yake utaelewa,,jamaa hakua na time ya kuzunguka kwny maduka sjui ma nini,alifanya kazi muda wake mwingi sana,,na kingne kumbka hii ni 1980's

nikae New york miaka 25 halafu nije kushangaa Duka la Adidas kuuza raba $300 nonsense kwani yeye na adidas nani alikua wa kwanza kuja duniani hivi unadhani New york n kijimji kama Dar es salaam et 1980 unadhan ilikuaje New york miaka hyo mpaka useme hivo halafu eti alikua anafanya kaz muda mwingi sasa mbona karudi Tz hana mbele wala nyuma.
 
Mkuu emu angalia ulichoandika mwanzo na unachosema saivi ,,nimekujibu kutokana na ulichoandika,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…