Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Unajichokonoa na kujicheka mwwnyew ila by fact najua dawa ilikuingia kunako.

By the way..mambo za ukoo wenu have never been my concern..hoja yangu tangu mwanzo ililenga kukupa mwanga from dellusional fairtales and lies unazojidanganya na baadhi wajinga unaowadanganya.

Na bila chembe ya shaka nimeprove with no dought una akili ndogo kama ya mwanao wa miaka 19.

Huna maisha kama unayoandika na kujisifia..infact maisha ya angalau umepata ukiwa kwenye umri ambao kitaalam ni umri wa kustaafu na kucheza na wajukuu.

Huna sifa wala hustahil kuwa mfano kwa vijana..kwa maana ni kijana mjinga tu atataka kufata mfano wa mzee ambae anapicha za uchi mitandaoni, mzee ambae watoto wake wamemtenga yaan hana familia na sababu ni tabia za uozo alizonazo..

Mzee ambae hata anaowaita marafiki wanamuonea aibu kukiri ukaribu wao kwa wati wengine

Mzee anaetukanwa na mzazi mwenzie..yaan umeshindwa kujenga mji wako mwenyew au kumcontrol mwanamke

Sasa ivi njia yako ya kutafuta huruma au kupotosha chochote kile kinachosemwa dhidi yako umekuwa na katamaduni kakusingizia uyu ni fulani, yule katumwa..mara huyu ni mtu fulan..na kwmb wanaokuonea wivu!! Najiuliza kwanini??

Kundi kubwa la watu waliokukosoa umekuwa ukiwasingizia kuwa ni ndugu zako..najiuliza inamaana ukoo wenu umevurugwa kias hicho??

I have no intention ya kuendelea na huu mjadala na niliupuuza tangu jana baada ya baadhi ya watu kuniomba nifanye ivo ila wewe ndondocha bado unawashwa..!

Taarifa niliyopata jion hii imezidi kunifanya ni dharau kwamba sio akili ndogo bali ata utu huna..natumai kitabu chako kitawaeleza wasomaji wake sababu iliyokufanya kutaka kumuua mama yako wa kambo umrithi baba yako mali..!!

Hahahahaha..alafu kwenye hii picha bado napata ukakasi kujua AKILI KUBWA ni yupi kati yenu..na kila mmoja alikuwa anawaza nini kichwan..hahha





OVA!!
.
 
Naomba kuuliza, hivi Huyo Neema ngululupi baada ya kuachana na lemutuz kaolewa?
 
Mnamchukia nyie na unafki wenu, jamii haimchukii
 
Yaani ni kwamba usimwamini sana mwanamke akili zenu mnazijua wenyewe....

[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Le mobimba[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Huwa tunajisahau amesahau kama na wewe una mapicha yake na video za uchi daah pole sana mana mmekaa mda kwenye mahusiano hata kama labda mmeachana huwezi mfanyia mwenzio unyama huo ukumbuke na mazuri yake basi
White nakuona kama unamnyapia le mobimba Nye nye nye......[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Hahaha napenda anavoanzaga kwa mbwembwe....
Eti smart people,smart life,kula maishaaaa
Be humble...hahaha Lemutuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…