Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, hii CITWAYEEN na NYE NYE NYE huwa ana maanisha nini?Le Mutuz MOBIMBA ,Le Mutuz BOMAYE ,Le Mutuz CITWAYEEN,NYE NYE NYE.
We ndio mburura mpuuzi no 1 hapa .Melini hakuna cheo cha assistant engineer,, Kuna chief engineer,, 2nd engineer na 3rd engineer... Pia Mshahara wa 3rd. Au 2nd engineer ni zaidi ya dola 6000 kwa mwezi... Km angekuwa na level hyo leo asingekuwa mpambe wa BASHITE... Angekuwa kazini,,, asitumie tabia yake ya kuvaa MAKAPTULA na kuhangaika na teenage girls akasingizia UBAHARIA,,, ni vitu viwili tofauti... Pia asingekuwa hana pesa za kulala hata hotel baada ya kuacha KAZI,, ukiwa mwongo Uwe na KUMBUKUMBU
Mkuu hi ni lugha gani
Aisee We unaongelea habari za google wakati mwenzio anazungumzia miaka hiyo ya kwenda wizarani ukaripoti kwanini unataka pasipoti.Ingia Google uangalie salary ya 2rd engineer kwa mwezi.... Ndy utaona uongo wake LEMUTUZ
We jamaa ww, enzi hizo huyu jamaa anafanya practical baharini google haikuwepo na alikua practic hata mshahara hakuna kwake labda bonus .hao ma injinia miaka hiyo labda walikua wanapokea 800usdMshahara wa 2 rd engineer KWENYE meli...![]()
hizo ni nafasi za kazi zinatangazwa na Mshahara wake..![]()
Acha kubet kutakupunguzia chuki zisizo na sababu za msingi.Bila shaka wewe ni KITAFUNWA,,, wapi nimeonyesha chuki..
Ubaharia hakufanya leo we huoni kasema hata dollar moja enzi zile ilikuwa sawa na Tsh kiasi gani ambacho kwa sasa haifananii kabisaIngia Google uangalie salary ya 2rd engineer kwa mwezi.... Ndy utaona uongo wake LEMUTUZ
Licha ya Upimbi wake lakini huyu jamaa bado ni shujaa, alifanya haya yote wakati baba yake akiwa mtu mkubwa serikalini hadi kufikia cheo cha waziri mkuu na makamo wa pili wa Rais.
Big up sana kwake....ingekuwa ni mitoto ya siku hizi cjui ingekuwaje!
Melini hakuna cheo cha assistant engineer,, Kuna chief engineer,, 2nd engineer na 3rd engineer... Pia Mshahara wa 3rd. Au 2nd engineer ni zaidi ya dola 6000 kwa mwezi... Km angekuwa na level hyo leo asingekuwa mpambe wa BASHITE... Angekuwa kazini,,, asitumie tabia yake ya kuvaa MAKAPTULA na kuhangaika na teenage girls akasingizia UBAHARIA,,, ni vitu viwili tofauti... Pia asingekuwa hana pesa za kulala hata hotel baada ya kuacha KAZI,, ukiwa mwongo Uwe na KUMBUKUMBU
Na wewe acha kutujazia thread kujifanya unaujua ubaharia ; eti tuangalie mshahara huko tugoogle. Hivi wewe una akili kweli??? Lemutuz kaacha ubaharia 35 years ago sasa unafikiri huo mshahara toka moaka hio na leo ni sawa?? Kingine hio mishahara haiwezi fanana kati ya meli na meli. Mwenzako kakaa US more than 25 years and mind you angetaka kutudanganya sana angeweza maana yy alikua ni mtt wa waziri mkuu na waziri wa mambo ya nchi za nje mbobezi mzee Malecela..angetulisha sana matunda pori lakini anaongea ukweli jinsi alivyopambana ; hutaki fungua uzi wako wa ubaharia ndio utuelezeee sawa... Ndy
Uko sawa ,hili lizee liongo tuuNimepitia hyo HISTORY YAKO ya UBAHARIA,,, nimegunduwa ni UONGO MTUPU,, wewe mzee hukuwahi kuwa Baharia,, pengine ni STORY TU za VIJIWENI Umeamua kutuletea humu,,,, labda niwaeleze wakuu kwa faida ya wote... Ktk story yako umesema ulikuwa assistant engineer... Elewa kuwa ktk meli hakuna cheo HICHO.. Pili umesema umeshuka melini ukaenda marekani UKAWA unalala nje,,, means hukuwa na PESA,,, wakati BAHARIA YEYOTE pesa zake zinatiwa KWENYE account,,, ukishuka unazikuta zimejaa kwahyo km ulikuwa unafanya kazi melini kwa cheo HICHO ni lazima ungeshuka na pesa nyingi mno,, sasa why ulale nje? Ukose hata pesa za hotel? Wewe unataka kuhalalisha mambo yako ya hovyo unayofanya UTUDHALILISHE SEAFARERS... kumbe SEAFARERS ni watu wanaojielewa..... KWENYE meli Kuna MASTER,, CHIEF OFFICE ,,, OFFICES.,, BOSSEN,,,AB wa deck. .. na OS... hawa ni watu wa DECK.. Nina maana wanaofanya kazi juu ya meli..... Kuanzia MASTER ambaye Ndy CAPTAIN,, yeye ni mkuu wa meli,,, anafata chief officer ambaye yeye ni mkuu baada ya CAPTAIN,, kwa watu wa deck... Halafu Kuna 2nd officer,, 3rd OFFICE.. halafu Ndy officers wa kawaida.. Na hao AB wa deck na OS Ndy BAHARIA wa MWISHO... huko KWENYE injini ROOM Kuna CHIEF ENGINEER,, ndy mkuu wa mambo ya ufundi,,, 2nd engineer,, 3 rd engineer,, OFFICERS wa kawaida,, AB wa engineer.. Na OS,, sasa atwambiye huyo assistant engineer ni cheo gn? Msipigwe porojo za VIJIWENI,,, humu Kuna SEAFARERS kibao,,, asitudhalilishe na MAKAPTULA YAKE,,, anapaswa AOE,, na aache kuvaa MABUKTA kwa kisingizio cha UBAHARIA,, hiyo level yake ya mambo ya meli aliyokuwa nayo sio ya kwenda kubeba box marekani,,,, hata leo angekuwa na cheo HICHO cha mambo ya meli asingekuwa mpambe wa BASHITE,, hebu gougle Mshahara wa chief engineer,, au 2nd engineer,, kama hujaambiwa dola 8000 kwa mwezi... ubaharia hauna limit ya umri... Huyo mwongo kweupe,,,, mwambiye atuwekee pch YUPO on duty melini..... Wee mzee wacha fix... Nyie Ndy mabaharia wa kujichora NANGA MIKONONI,, hata meli hamuijuwi.. Mshahara wa ORDINARY SEAMAN(OS) ni dola 1000 hadi 1500 kwa mwezi.... Huyo ni mtu wa chini melini,,, OFICCERS wa kawaida wanakula DOLA 3500 hadi 4000 kwa mwezi,,, huyo 2nd. A 3rd engineer wanakula zaidi ya dola 6000 kwa mwezi.. Na kazi ni za mikataba miezi sita au tisa,,, unashuka likizo,, mwezi mmoja inchi KAVU.. Ni DOLA ngp angekuwa nazo? Aje awe mpambe wa BASHITE? atawadanganya wengine but sio SEAFERARS.. Awache meli akaendeshe malori,, ni UONGO
Hata kama alipata dola 500... Hyo Ilikuwa pesa nyng sana kwa wakati huo,,, asingeweza kuacha,,, akalale nje marekani,,, pia LEMUTUZ hana umri mkubwa wa kushindwa kuwa melini hata sasa,,, Kuna watu wana 60 na still wapo on board... melini,,,, yeye ni 2RD ENGINEER ni cheo kikubwa mno melini,,,, ana copy maisha ya watu analeta humu.... Mwongo..Na wewe acha kutujazia thread kujifanya unaujua ubaharia ; eti tuangalie mshahara huko tugoogle. Hivi wewe una akili kweli??? Lemutuz kaacha ubaharia 35 years ago sasa unafikiri huo mshahara toka moaka hio na leo ni sawa?? Kingine hio mishahara haiwezi fanana kati ya meli na meli. Mwenzako kakaa US more than 25 years and mind you angetaka kutudanganya sana angeweza maana yy alikua ni mtt wa waziri mkuu na waziri wa mambo ya nchi za nje mbobezi mzee Malecela..angetulisha sana matunda pori lakini anaongea ukweli jinsi alivyopambana ; hutaki fungua uzi wako wa ubaharia ndio uruelezeee sawa.