Le Mutuz kwanini umetudanganya?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Le akili kubwa nafwaz u know
Umefurahije sasa?
Hahahahahaaaaa u know
And I like it.
 
Turushie picha ya hiyo noah ya our first tanzania star
Next time mkuu huwa nawaza sana hicho kitu lakini sijui kwann nashindwa, sijui nahofia bastola[emoji23] [emoji23]
ila kazi ya upaparazi inataka moyo,
 
saa yako inasoma kirumi eeehh haya lunch double tree wewe ndio unatakiwa kuishi kama shetani😀
Doh! hapana best, nafataga story za town u knoww pale double trees kuna madon wa woot wa TZ, u know pale kila anaeingia celebrity,
HAahaha kuna mibebez ya kufwa mtu
Enewei nikupe lunch?
 
umri wake na ubongo havishabihiani kabisa, umri miaka 60+ ubongo kawekewa wa mtoto wa miaka minne songobingo ndo linapoanzia sasa
 
Umefurahije sasa?
Hahahahahaaaaa u know
And I like it.
Nmefurahi sana Nifah am humble u know le akili kubwaz [emoji41] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Wenzie kina Kikwete na Pinda sasa hivi wanalea wajukuu, ye bado kutwa yupo Facebook tu. Hasara hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…