Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,618
Mkuu, sijaelewa hapa maana kama na ww umo ktk hao wanaofuatilia?
Mkuu mimi ni member wa JF, huwa ninashangaa kuona posts za kumponda Le Mutuz zinaletwa humu, tena unakuta ni kwa vitu alivyoviandika Instagram.
Sasa najiuliza kama kila siku mnamlalamikia kwamba ana utoto mwingi na ninyi ni watu wazima, kwa nini mwendelee kufatilia posts zake?
Imagine thread kama hii eti ya "Kwa nini umetudanganya". Kipi mlichokitegemea kutoka kwa mtu mnayesema ana utoto kila siku? Hivi, ni nani anatakiwa kuonekana mtoto hapa?