Le mutuz na Lulu wakila bata: u know, le tamkoz coming soon

I het pipo wanao mpenda kumuongelea huyu kifurugobe mxxxiii

We ni punga ulie anzisha huu uzi
 
Yani hili zee kama halijasoma vile wala kuishi nje yani ana mambo ya kishamba sana mzee malechela kala hasara kwa hili jitu
 

Yeah have fun with your life we live once you know! Ha ha haaaaaa me love it. No need for stress za uwaziri you know hapa tunakula batazzzzz. Ruttashobolwa my brother you come this way you know! Ha ha haaaaaa!! This is the real life
 
Last edited by a moderator:

hicho ndo nachokupendea buana.. hata utukanwe vipi hukasiriki... big up le mutuz..
 
Nimeamini kuishi kwingi ni kuona mengi! kama kuna bullet proof basi hata maneno proof ipo coz kama kusemwa! kutukanwa hili jamaa yote yake kama mshipa wa fahamu huyu umenyongorota!
 
Kwa mm huwa naona kama anaupungufu wa akili coz mtu mwenye akili zake timamu hawezi kufanya kama anayofanya huyu tahira wa malechela yan anawaibisha wagogo wenzie😀
 
Le Mutuz ..mi nataka nifanye project na sinta ... u know .. ma celebrities mnajuana u know. . Ila mi mtoto sinta ndo vilee
 

haaaaaahaaaaaahaaaaaa!!!!!
 

Unaishia kupiga nao picha tu au unawatafuna pia mkuu?
 
Kale katoto kalivyo kafupi jamaa limekaa na bado likaina ili limfikie huyo mzee wapige picha, ila nasikia jamaa eti ni Kamuzu, cjui ni kweli!

Haaaah! Mkuu unamaanisha ama?
 
Eeh Mungu nisaidie nizeeke vizuri wanangu na wajukuu wawe proud na umri wangu. Tuseme wote amen
 
Lulu si angelisukuma tu hapo yaishe.....sipati picha jinsi ambavyo lingedondoka kama gunia LA maharage...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…