MstahikiMeya
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 1,633
- 560
I het pipo wanao mpenda kumuongelea huyu kifurugobe mxxxiii
We ni punga ulie anzisha huu uzi
We ni punga ulie anzisha huu uzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
- Hahahahaa I am just having Fun with my life U know and U know I am in love with my lifstyle na ninajua kuwa watu wengi wangependa kuwa na my lifestyle ila hwana jinsi U know so waniwache niendelee na my Fun, sina shida ya uwaziri wala anything I just want to have fun with my life asiyetaka AFWE for me!!
Le Mutuz
Yani hili zee kama halijasoma vile wala kuishi nje yani ana mambo ya kishamba sana mzee malechela kala hasara kwa hili jitu
- I am committed kuwepo Arusha for Kristmas na New Year si umeona matangazo ya Biashara ya Mt. Meru Hotel yanatumia my picha so nitakuwa huko U know, Zari is my super friend so is Diamond I wish all great Show leo and I spoke to them this morning!!
Le Mutuz
Picha anapiga Le Mutuz alafu aibu nasikiaga mm,sijui kwa nn?
- Wewe sio Big Celebirty so Super Star Actress Lulu hawezi ku hang oout na mtu anayeona aibu U know so haya mambo tuwachie sisi Big Celebrity!!, halafu pale Hilton si unajua Soda Buku 10 so hahahahahaha lazima mtumzima uone aibu hata kuangalia le wabebezzz wa ukhuweeeeeee U know me I love it!!
Le Mutuz
- Chezeya The King Of All Bongo Social Media Network hivi Mwanaume gani humu JF asingependa ku hang out na le mbebezzz Super Star Actress Lulu Michael? Please wanaume wazima mnaacha kazi kufuatilia maisha ya wanaume wengine vipi jamani? I mean kama nipo na Super Star Lulu tunakula batazz na wewe nenda utafute le mbebezzz na wewe ukare batazz sio kulia lia hapa kama mtoto sasa unafikiri ndio Le wabebez Super star watakuonea huruma? Hapa mjini hapa kila mtu anakula kwa urefu wa kama yake!! hahahahahahaha and I love it!!
- Si niliwaahidi jamani kwamba nyie mtanisoma tu mpaka mkome kufuatil;ia maisha ya wanaume wasiowahusu U know!!
Le Mutuz
Kale katoto kalivyo kafupi jamaa limekaa na bado likaina ili limfikie huyo mzee wapige picha, ila nasikia jamaa eti ni Kamuzu, cjui ni kweli!
Eeh Mungu nisaidie nizeeke vizuri wanangu na wajukuu wawe proud na umri wangu. Tuseme wote amen