Le Mutuz naye ampopoa Paul Makonda, amwambia dharau zimemponza

Le Mutuz naye ampopoa Paul Makonda, amwambia dharau zimemponza

Huyu jamaa alikuwa anawambia kuwa wanahisi wana vyeo kuliko yeye kumbe yeye ana cheo invisible.
Dah ila mako
Alikuwa anajivunia kile cheo chake cha kuteka,kutesa,kuua na hatimae kwenda kutupa ufukweni chini ya Bregedia Jiwe
16410254203540.jpg
 
ULIKUWA BINADAM NA KIONGOZI WA KWELI KWA SABABU ULIKUWA HUMBLE NA ULISIKILIZA SHIDA YA KILA MTU TULIYEMLETA KWAKO .....LAKINI YOTE HAYO MAZURI YAKABADILIKA SIKU ULIPOPATA UKUU WA MKOA WA DAR Ndipo pole pole BINAFSI nikaanza kuiona TABIA YAKO MPYA KABISA AMBAYO NIKUAMBIE UKWELI NDUGU YANGU NDIYO INAYOKUGHARIMU SANA LEO ....ULIANZA TABIA YA KUMDHARAU KILA MTU IWE KIONGOZI WA JUU AU WA CHINI ....Isipokuwa ULIMHESHIMU RAIS CHUMA PEKE YAKE
William, Mungu anakuona.
 
cocochanel mbona umemtenga best yako baada ya kukosa cheo?

chuma cha mjerumani
Kijana misi wewe rafiki wa kunukuana JF😁mie mshabiki wa JF tu.. sijawahi kuonana nae.. na bado nitapenda nimuone uso kwa uso. hata ajue mimi ni Cocochanel wa JF.. nimemsalia apate Amani na Mola amrehemu, amlinde na kumwongoza.. Tumuombee na Familia yake..

Ni mtu Maarufu sana nchini kwa walio kwenye siasa.. pia kwa anavyofatiliwa hakika ana nyota yake.. hilo halina ubishi.. Naamini wengi mnapenda kumsikia tena akiwa hapa na pale na mic.. au kutoa matamko..

Mtu mwenye Nyota ana Nyota yake.. tuombeane na kusameheana.
 
chuma cha mjerumani
Hii itajibu wengi.. na inbox zitapunguwa pia..

Enzi za kuburudika kuudhiana humu.. Mshana Jr alinikomentia siku moja kunifundisha juu ya kuacha.. kuandika maneno.. maana hata ya kiutani.. ilibidi nijifunze zaidi kidini.. yanafungamana na you.. na hivyo nikatambua.. vitagonga tu ndani kwako.. niliungama kuachana na maneno ya kuudhi tu watu.. was fun kubishana humu.. ila siku zimepitaa. Hadi kesho huwa siwezi kumsahau Mshana kwa kunifungua macho mapema kwenye maisha ya mtandaoni.. maneno.. .. nami ni mwananchi wa kawaida sina cheo wala chama.

Na mimi ni maarufu sana humu JF.. hilo halina Ubishi.. 😃.. najua kujiburandi 🤩
 
chuma cha mjerumani
Hii itajibu wengi.. na inbox zitapunguwa pia..

Enzi za kuburudika kuudhiana humu.. Mshana Jr alinikomentia siku moja kunifundisha juu ya kuacha.. kuandika maneno.. maana hata ya kiutani.. ilibidi nijifunze zaidi kidini.. yanafungamana na you.. na hivyo nikatambua.. vitagonga tu ndani kwako.. niliungama kuachana na maneno ya kuudhi tu watu.. was fun kubishana humu.. ila siku zimepitaa. Hadi kesho huwa siwezi kumsahau Mshana kwa kunifungua macho mapema kwenye maisha ya mtandaoni.. maneno.. .. nami ni mwananchi wa kawaida sina cheo wala chama.

Na mimi ni maarufu sana humu JF.. hilo halina Ubishi.. 😃.. najua kujiburandi 🤩

Ha ha ha ha unajua kuji....?

Malizia makonda oyeee walau afarijike.
 
Hili jamaa ni linafki.Lilimtukana Nape kisa maamuzi ya kuunda tume kuchunguza uvamizi clouds fm.
***...ya kale hayanuki, hayo yalikuwa enzi zile za giza, tuyazike Sasa na tugange yajayo.
 
Back
Top Bottom