Duuuu! Huyu alikuwa chizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuu! Huyu alikuwa chizi
Kuna fursa kaiona sehemu so anaivizia, hivi makonda alikubali vipi kuwa na urafiki na le mutuz bila kumuuliza umri wake? Au aliogopa akimuuliza umri nae angeulizwa jina halisi kama ni daud au poul! Maana wabongo tunaongoza kwa kujibu swali kwa swaliHaha Lemutuz leo ni wa kumrarua bashite namna hii tena hadharani 😂😂😂
[emoji3][emoji3][emoji3]Leo kaandika sawa na umri wake
View attachment 2185858
Nyota ya Makonda ni kali sana....machawa wa family ya Jakaya msimalize maneno
Makonda na Le Mutuz wote wanapenda kuandika in all caps.
Hili ni tatizo la elimu au nini?
Duh hii nayo ilikuwa kibokoKwakweli Marko alikuwa Marko. Nakumbuka alivyolazimisha mziki pale samaki samaki uzimwe kisa kaja na watu wake utadhani biashara yake ile. [emoji1787]
Wanamsema au yeye ndio anatafuta huruma? Eti wanataka kumuangamiza, chizi yuleMakonda ananyota Kali sana,jamaa kashatoka kwenye ulimwengu wa sasa na kapotea maxima ila wabongo Bado wanamsema tu
GwajimaHakuna aliyewahi fanya bifu na Gwajima akabakia salama yupo wapi Job ndugai, bashite alishafutwa kwenye ulimwengu wa roho. Bashite ni gunia la misumari jiwe kalibeba akachemka.
Ni wakati wake wa mavuno asiyakimbie mazao yake.
Gwajiboy ni mchawiHakuna aliyewahi fanya bifu na Gwajima akabakia salama yupo wapi Job ndugai, bashite alishafutwa kwenye ulimwengu wa roho. Bashite ni gunia la misumari jiwe kalibeba akachemka.
Ni wakati wake wa mavuno asiyakimbie mazao yake.
Huyu jamaa alikuwa anawambia kuwa wanahisi wana vyeo kuliko yeye kumbe yeye ana cheo invisible.Dharau😁😁😁
View attachment 2187327
Ila huyu bashite aisee daah, na Mafugool hapa ukute alimpongeza huyu mjinga baada ya kuongea ujinga huu🤣