Le Mutuz naye ampopoa Paul Makonda, amwambia dharau zimemponza

Le Mutuz naye ampopoa Paul Makonda, amwambia dharau zimemponza

Haha Lemutuz leo ni wa kumrarua bashite namna hii tena hadharani 😂😂😂
Kuna fursa kaiona sehemu so anaivizia, hivi makonda alikubali vipi kuwa na urafiki na le mutuz bila kumuuliza umri wake? Au aliogopa akimuuliza umri nae angeulizwa jina halisi kama ni daud au poul! Maana wabongo tunaongoza kwa kujibu swali kwa swali
 
Makonda ananyota Kali sana,jamaa kashatoka kwenye ulimwengu wa sasa na kapotea maxima ila wabongo Bado wanamsema tu
Wanamsema au yeye ndio anatafuta huruma? Eti wanataka kumuangamiza, chizi yule
 
Hakuna aliyewahi fanya bifu na Gwajima akabakia salama yupo wapi Job ndugai, bashite alishafutwa kwenye ulimwengu wa roho. Bashite ni gunia la misumari jiwe kalibeba akachemka.
Ni wakati wake wa mavuno asiyakimbie mazao yake.
Gwajima
 
Hakuna aliyewahi fanya bifu na Gwajima akabakia salama yupo wapi Job ndugai, bashite alishafutwa kwenye ulimwengu wa roho. Bashite ni gunia la misumari jiwe kalibeba akachemka.
Ni wakati wake wa mavuno asiyakimbie mazao yake.
Gwajiboy ni mchawi
 
Mzee wa Kanyaga twende tumechelewa sana ...... MARKO!!!!!!

NI WEWE KWELI????
 
Back
Top Bottom