Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

- Saafi sana mkuu tupo pamoja "YOU CAN'T BEAT THEM JOIN THEM"

LE MUTUZ
Najoin upumbavu na utoto. We vijana wadogo akina Millard Ayo mbona hawana kelele na majigambo kama we babu mzima. Mimi nimekuona hamnazo nikaona nikuache na mimi nisije kuwa mburura kama wewe.
 
Una laana wewe ya kumtelekeza mama yako alipougua halafu ukaenda kumzika umevaa kama kibaka






Daah[emoji30][emoji30][emoji24] aibu mama yake ndio alikua akiishi hapo bila Shaka alimuachia laana... kukaa ulaya 30 years mama aliishi hapo mmh[emoji23][emoji23]
 
Najoin upumbavu na utoto. We vijana wadogo akina Millard Ayo mbona hawana kelele na majigambo kama we babu mzima. Mimi nimekuona hamnazo nikaona nikuache na mimi nisije kuwa mburura kama wewe.

- sasa mbona unajibu kama ni ujinga ina maana wewe ni mjina na mpumbavu? hahahahahahahhahaha unalo mkuu umeyataka mwenyewe kurukia wanaume usiowajua kwa majina ya bandia hahahahahahah

le Mutuz
 
Daah[emoji30][emoji30][emoji24] aibu mama yake ndio alikua akiishi hapo bila Shaka alimuachia laana... kukaa ulaya 30 years mama aliishi hapo mmh[emoji23][emoji23]

- hayo yalikuwa ni maisha ya mama yangu Tunduma, labda ukuonyesha maisha bora ya mama yako kijijini ndio utakuwa na moral ya kuulizia wengine hahahahahaha kalete zingine hahahahahahahhaha



le Mutuz
 
Busara ni mtaji sister wako yupo anakula nchi wewe utaishia kufanya hahahahahahahah

- Really? hahahahaha mimi nakula taabu? hahahahahahaha unasema maisha yangu ni Taabu? hahahaha



- hiyo ilikuwa Nairobi Intercontinental unasema ni maisha ya taabu haya ninayoishi hahahahahahah


- unasema maisha yangu ya kusaifiri kwa Business Class ni taabu sana hahahahahahaha wewe unayo haya? hebu weka picha hapa tuone hahahahaha enjoy the show hahahahahahahahaha


- Hilton Hotel Johannesburg hahahahahaha unasema haya ya kuishi humu kila wakati ni maisha ya taabu sana hahahahahahahah wewe umevurugwa hahahahahahahahaha

le Mutuz
 
Busara ni mtaji sister wako yupo anakula nchi wewe utaishia kufanya hahahahahahahah


- kazi ya kukarabati my new Studio inaendelea soon tutaanza kurusha matangazo ya Online TV na Streaming live from here na ikiisha itakuwa kama hiyo picha hapo pembeni ok hahahahaha ni maisha yangu ya taabu hayo hahahahahaha

le Mutuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…