Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Messages:201
Likes Received:172
Trophy Points:60
New
chige said:
E bhana eh!! Kama Online TV tu imemfanya apite kote huko basi siku akija kuanzisha japo sawa na Star TV itabidi afike hadi mwezini; na akienda level za Azam TV atalazimika kwenda beyond the solar system kabisa!!!

Equipments for Online TV unaweza kuagiza hata ukiwa ndani ya daladala coz' all you need is internet connected device na online payment processor yenye pesa ya kutosha...!!! Sasa alienda kote huko kufanya nini!!!!!!

Anyway, Best Wishes Le Mutuz popote ulipo lakini majuzi tu hapa nilikuponda kuhusu blog yako ambayo ranking yake ni very low!!

Ungeanza kuipandisha chat blog yako ingekuwa umefanya jambo la maana sana kwa ajili ya hiyo Online TV!!!

- Nilipofungua Blog niliambiwa maneno kama haya mbona zipo nyingi sana, so ni maneno ya wakosaji wasiokuwa na maisha huwa siyasikilizi, Blog yangu iliishia kuwa tofauti na ndio hata hii TV online nakuja kivingine, kama unayoyasema ni kweli basi Millardayo asingetumia mamilioni kama yale kujenga studio ya online, pole sana ila utakufa kwa wivu na chuki

le Mutuz
Unatia huruma kijana
 
- huku kote nilikuwa natafuta njia ya kufikia hapa mkuu:-

18813950_763474880501579_439172276321563329_n.jpg


- Yaani nilianza na Blog, nikaingia Instagram na sasa my Own Studio ya kurushia matangazo ya Online na Streaming live next itakuwa kimiliki Radio na TV yangu, pole pole ninawaacha mpo hapa hapa na makelele mengi toka Miaka na miaka hahahahaha Akili ni nyweele U know

le Mutuz
Sasa na wewe mzee mzima unabaki kubishana na vijana na kutoleana vijembe kwenye mitandao ili iweje? We fanya mambo yako yakiwa tayari watu waone na tukakaokusapoti tutafanya hivyo. Kwa umri wako hata hiki unachokifanya si jambo kujivunia sana ingawa ni hatua pia kwenye maisha. Mungu akubariki na kukupa hekima na busara
 
Lemutuz my Brother huwa napenda kukushauri sana katika Ukweli na ndio maana siku zote huwa nawaza sana Umri wako kila nnapo ona Andiko lako ama kukutana na ww , Mm na ww tumeshakutana sana bila ww kujua , wht I knw ni kwamba , ww ni kati ya watu mliokua na chance kubwa ya kufanya mambo makubwa zaidi ya hayo unayodhani umefanikiwa kuyafanya , mistake unayoifanya ni moja , umeshindwa kujitofautisha ww na watu wengine badala yake umejikuta unafanya competation hadi kwnye minor issue .
Nadhani una wasiwasi na wakati uliopo/umri Vs mafanikio yako na ndio maana kwa lolote dogo utakalolifanya unaharibu kulipublisize ili ujipatie Selfconfort.

Najua unanielewa ..!
Mkuu umenena kweli kabisa, wakati mwingine nashindwa kuona uhusiano wa umri wake na anayoyaandika. Lakini kwa wanasaikolojia hili si la ajabu, umri unamtupa mkono, alikuwa na fursa safi kabisa na sasa ndo anazinduka. Atulie asonge mbele kwani maisha lazima yaendelee aache kuweweseka
 
@lemutuz_nation - THE GOOD NEWS.......LE MUTUZ TV ONLINE (LTO) ....nilianzia Jamiiforums ...nikaingia Facebook ...nikafungua Blog yangu Mwaka 2012....Mwaka 2014 nikajiongeza kwenye all the Social Media tools pamoja na Instagram ...kote humo tulichofanya ni KUJITOFAUTISHA NA WENGINE ndicho kilichotufanya tufikie hapa tulipo na Social Media ...now its about time NIAMEAMUA KUSOGEA MBELE TENA to the Next step ....yaani LE MUTUZ TV ONLINE & STREAMING LIVE ....ni an expensive PROJECT na ndio hasa iliyokuwa sababu ya Safari zangu za hivi Karibuni to CHINA, MACAU, HONG KONG na JOHANNESBURG/SOUTH AFRICA ...ilikuwa ni matayarisho ya kuingia into TV ONLINE ...so now I am ready to go ...kwanza ni makamilisho ya ujenzi wa Studio ambao tayari umeshaanza at the TANCOT HOUSE gorofa ya Tatu pale Posta Mpya ....ujenzi utachukua like Mwezi mzima wa June na by the middle of July tutaanza kuwa rasmi hewani ...na kama kawaida yangu kama nilivyofanya kwenye Social Media I am looking FORWARD TO CHANGE THE GAME sio kisindikiza wengine tu ....NEVER ...so guys huko kwenye Online TV Industry get ready I AM IN.. So help me God!... KAMA UNA USHAURI AU MAONI YA KUSAIDIA PLEASE NITUMIE NAYAPOKEA BILA UBISHI! - le Mutuz Nation -

Ameirusha saa moja iliyopita
View attachment 515599

==========
Hongera sana Mr. W. J. Malecela kwa wengi tunasubiria. Na mimi ni mmoja wa tulioanza kukusoma humu tangu... hadi instagram. Mola azidi kukuongoza na kukusimamia.
Try not to be too focused on pleasing others and end up losing your true self..learn the different btn love and pleasing, respect and obeying...Dont learn to be good learner of pleasing people...
 
Mkuu umenena kweli kabisa, wakati mwingine nashindwa kuona uhusiano wa umri wake na anayoyaandika. Lakini kwa wanasaikolojia hili si la ajabu, umri unamtupa mkono, alikuwa na fursa safi kabisa na sasa ndo anazinduka. Atulie asonge mbele kwani maisha lazima yaendelee aache kuweweseka

- Maisha yangu yapo safi na poa sana, sijawahi kuiba cha mtu always ninaishi maisha yangu na sasa hivi ninafanya mambo yangu ya pesa bila tatizo, hahahahaha nashangaa kwa umri wako na kuandika kwa majina ya bandia ukiwa mzee si utakuwa mchawi kabisa hahahahahahaha mimi huniwezi ngoma kubwa sana hii jhahahahahah

le Mutuz
 
Sasa na wewe mzee mzima unabaki kubishana na vijana na kutoleana vijembe kwenye mitandao ili iweje? We fanya mambo yako yakiwa tayari watu waone na tukakaokusapoti tutafanya hivyo. Kwa umri wako hata hiki unachokifanya si jambo kujivunia sana ingawa ni hatua pia kwenye maisha. Mungu akubariki na kukupa hekima na busara

- hahahahaha ningekuwa na umri kama wako nisingepoteza muda na majina ya bandia kurukia wanaume nisowajua kwenye mitandao licha ya kutafuta umri wao kwa mtoto wa kiume ungejiangalia wewe kwanza kama upo sawa au? hahahahahha

le Mutuz
 
Ungekuwa unatumia akili ungekuwa mpole na kutumia mwanya huu kuwa convince customers kuitumia hiyo on line tv yako na mengine lkn waapiiii

- my Customers hawatumii majina ya bandia ndio maana sina huo muda hahahahahahahhaa

le Mutuz
 
- Maisha yangu yapo safi na poa sana, sijawahi kuiba cha mtu always ninaishi maisha yangu na sasa hivi ninafanya mambo yangu ya pesa bila tatizo, hahahahaha nashangaa kwa umri wako na kuandika kwa majina ya bandia ukiwa mzee si utakuwa mchawi kabisa hahahahahahaha mimi huniwezi ngoma kubwa sana hii jhahahahahah

le Mutuz
Pole sana
 
Back
Top Bottom