Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Unataka tuweke sms zako na makonda pamoja nawauza ngada alafu mnajidai nilianza ivi hadi vile nyoo sasa kuanzia whatsapp had sms Messenger, fb hadi linkdin bila kusahau viber na sauti mnayo zungumza tunayo p*mb* nyinyi...
 
Unataka tuweke sms zako na makonda pamoja nawauza ngada alafu mnajidai nilianza ivi hadi vile nyoo sasa kuanzia whatsapp had sms Messenger, fb hadi linkdin bila kusahau viber na sauti mnayo zungumza tunayo p*mb* nyinyi...
Embu ziweke mkuu tukate mzizi wa fitna
 
Unataka tuweke sms zako na makonda pamoja nawauza ngada alafu mnajidai nilianza ivi hadi vile nyoo sasa kuanzia whatsapp had sms Messenger, fb hadi linkdin bila kusahau viber na sauti mnayo zungumza tunayo p*mb* nyinyi...

- Kama unazo huhitaji kuuliza, Wauza Unga toka lini wakauliza kama wana ushahidi? hahahahaha halafu hayo yametokea wapi na mimi kujenga Studio yangu? hahahahhahahaa usiweweseke mkuu tulia kwanza subiri habari kamili

le Mutuz
 
Lemutuz my Brother huwa napenda kukushauri sana katika Ukweli na ndio maana siku zote huwa nawaza sana Umri wako kila nnapo ona Andiko lako ama kukutana na ww , Mm na ww tumeshakutana sana bila ww kujua , wht I knw ni kwamba , ww ni kati ya watu mliokua na chance kubwa ya kufanya mambo makubwa zaidi ya hayo unayodhani umefanikiwa kuyafanya , mistake unayoifanya ni moja , umeshindwa kujitofautisha ww na watu wengine badala yake umejikuta unafanya competation hadi kwnye minor issue .
Nadhani una wasiwasi na wakati uliopo/umri Vs mafanikio yako na ndio maana kwa lolote dogo utakalolifanya unaharibu kulipublisize ili ujipatie Selfconfort.

Najua unanielewa ..!
 
Unajidefend et eeeeeeh
- Kama unazo huhitaji kuuliza, Wauza Unga toka lini wakauliza kama wana ushahidi? hahahahaha halafu hayo yametokea wapi na mimi kujenga Studio yangu? hahahahhahahaa usiweweseke mkuu tulia kwanza subiri habari kamili

le Mutuz
 
Lemutuz my Brother huwa napenda kukushauri sana katika Ukweli na ndio maana siku zote huwa nawaza sana Umri wako kila nnapo ona Andiko lako ama kukutana na ww , Mm na ww tumeshakutana sana bila ww kujua , wht I knw ni kwamba , ww ni kati ya watu mliokua na chance kubwa ya kufanya mambo makubwa zaidi ya hayo unayodhani umefanikiwa kuyafanya , mistake unayoifanya ni moja , umeshindwa kujitofautisha ww na watu wengine badala yake umejikuta unafanya competation hadi kwnye minor issue .
Nadhani una wasiwasi na wakati uliopo/umri Vs mafanikio yako na ndio maana kwa lolote dogo utakalolifanya unaharibu kulipublisize ili ujipatie Selfconfort.

Najua unanielewa ..!

- HUWA nayaita maneno ya wasiokuwa na maisha, labda siku moja nikukutanishe na Vijana 5 ninaowaajiri waliomaliza Vyuo Vikuu hapa Bongo uwaambie haya maneno yako na by the way katika kufanikiwa kwako kimaisha ukiwa mtoto mdogo unatoa ajira kwa watu wangapi hapa nchini? hahahahahahaha

- Pole sana huwa sisikilizi mburulazzz cause huna hoja jifunze kutumia ID yako kamili kama mimi may be naweza kukusikiliza ila kusikiliza maoni ya mtu anayetumia majina ya bandia NEVER

le Mutuz
 
@lemutuz_nation - THE GOOD NEWS.......LE MUTUZ TV ONLINE (LTO) ....nilianzia Jamiiforums ...nikaingia Facebook ...nikafungua Blog yangu Mwaka 2012....Mwaka 2014 nikajiongeza kwenye all the Social Media tools pamoja na Instagram ...kote humo tulichofanya ni KUJITOFAUTISHA NA WENGINE ndicho kilichotufanya tufikie hapa tulipo na Social Media ...now its about time NIAMEAMUA KUSOGEA MBELE TENA to the Next step ....yaani LE MUTUZ TV ONLINE & STREAMING LIVE ....ni an expensive PROJECT na ndio hasa iliyokuwa sababu ya Safari zangu za hivi Karibuni to CHINA, MACAU, HONG KONG na JOHANNESBURG/SOUTH AFRICA ...ilikuwa ni matayarisho ya kuingia into TV ONLINE ...so now I am ready to go ...kwanza ni makamilisho ya ujenzi wa Studio ambao tayari umeshaanza at the TANCOT HOUSE gorofa ya Tatu pale Posta Mpya ....ujenzi utachukua like Mwezi mzima wa June na by the middle of July tutaanza kuwa rasmi hewani ...na kama kawaida yangu kama nilivyofanya kwenye Social Media I am looking FORWARD TO CHANGE THE GAME sio kisindikiza wengine tu ....NEVER ...so guys huko kwenye Online TV Industry get ready I AM IN.. So help me God!... KAMA UNA USHAURI AU MAONI YA KUSAIDIA PLEASE NITUMIE NAYAPOKEA BILA UBISHI! - le Mutuz Nation -

Ameirusha saa moja iliyopita
View attachment 515599

==========
Hongera sana Mr. W. J. Malecela kwa wengi tunasubiria. Na mimi ni mmoja wa tulioanza kukusoma humu tangu... hadi instagram. Mola azidi kukuongoza na kukusimamia.
Mbona kama umeandika kiswahili, ni TV online/online TV.?
 
Nadhani jamaa yule katoa support kubwa sana ili mambo yake yaende kupitia hapo !!!
 
- HUWA nayaita maneno ya wasiokuwa na maisha, labda siku moja nikukutanishe na Vijana 5 ninaowaajiri waliomaliza Vyuo Vikuu hapa Bongo uwaambie haya maneno yako na by the way katika kufanikiwa kwako kimaisha ukiwa mtoto mdogo unatoa ajira kwa watu wangapi hapa nchini? hahahahahahaha

- Pole sana huwa sisikilizi mburulazzz cause huna hoja jifunze kutumia ID yako kamili kama mimi may be naweza kukusikiliza ila kusikiliza maoni ya mtu anayetumia majina ya bandia NEVER

le Mutuz
Brother wala mm sihitaji kushindana na ww , kwa Jina lako , na Chochote unachoweza kukifanya nakiheshimu , tena sana , huwenda sithubutu hata kufunga Gidamu za Viatu vyako.
But kwenye ukweli nitabaki kusema ukweli.
Kilio changu ni kimoja tu kwako , kama kweli unahitaji kufika mahala zaidi ya hapa ulipo just get confedence/I kwn unayo but keep it on use effectivelly ,kua na maisha yanayoendana na Umri wako , zungumza na watu as A Big Bro, hizi lugha za vijana wadogo mitandaoni acha, zinafanya uonekane hata unayoyafanya ni useless .
Jus be smart.
Kuna mda mtu anakuignore tu sio kwa ajali ya kitu kingine ,No Jis the way unavyofanya Raaction zako Vs Umri wako.

NOTE.
JINA NINALOLITUMIA NDILO JINA LANGU HALISI.
 
- Thanks sana my friend Mungu akupe baraka sana, pamoja ninakimbisha ujenzi ili tuanze kazi juu ya kazi!

le Mutuz
Le mutuz Br uliniblock kimakosa Ista mpaka sahivi sijui kosa ni nini! Pls le Mutuz ni unblock.
 
@lemutuz_nation - THE GOOD NEWS.......LE MUTUZ TV ONLINE (LTO) ....nilianzia Jamiiforums ...nikaingia Facebook ...nikafungua Blog yangu Mwaka 2012....Mwaka 2014 nikajiongeza kwenye all the Social Media tools pamoja na Instagram ...kote humo tulichofanya ni KUJITOFAUTISHA NA WENGINE ndicho kilichotufanya tufikie hapa tulipo na Social Media ...now its about time NIAMEAMUA KUSOGEA MBELE TENA to the Next step ....yaani LE MUTUZ TV ONLINE & STREAMING LIVE ....ni an expensive PROJECT na ndio hasa iliyokuwa sababu ya Safari zangu za hivi Karibuni to CHINA, MACAU, HONG KONG na JOHANNESBURG/SOUTH AFRICA ...ilikuwa ni matayarisho ya kuingia into TV ONLINE ...so now I am ready to go ...kwanza ni makamilisho ya ujenzi wa Studio ambao tayari umeshaanza at the TANCOT HOUSE gorofa ya Tatu pale Posta Mpya ....ujenzi utachukua like Mwezi mzima wa June na by the middle of July tutaanza kuwa rasmi hewani ...na kama kawaida yangu kama nilivyofanya kwenye Social Media I am looking FORWARD TO CHANGE THE GAME sio kisindikiza wengine tu ....NEVER ...so guys huko kwenye Online TV Industry get ready I AM IN.. So help me God!... KAMA UNA USHAURI AU MAONI YA KUSAIDIA PLEASE NITUMIE NAYAPOKEA BILA UBISHI! - le Mutuz Nation -

Ameirusha saa moja iliyopita
View attachment 515599

==========
Hongera sana Mr. W. J. Malecela kwa wengi tunasubiria. Na mimi ni mmoja wa tulioanza kukusoma humu tangu... hadi instagram. Mola azidi kukuongoza na kukusimamia.
Birds of the same feather.........Congrats Le Mutuz now you must act your age!
 
Back
Top Bottom