Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Africa Swahili alishatoka?mpk aje na hii onlive TV?hongera sana big up
 
- Millard Ayo harushi magazeti yake so kama ni kuiga wote tupo kwenye mstari mmoja ila kwa sasa yeye anayo hizo dhana na soon nitaifanya, so relax this is business ninategema ku invest 40M labda kama unahitaji ajira unaweza kutuma maombi!!

le Mutuz
Babu umepambana sana mana kustaafu kuko mlangoni tayari,ila hiyo 40m unayoinvest ni zim$$.....mana wewe kwa uwongo ni nambari one
 
Dada yangu huyu bilionea alipita hapa na jibu alilolitoa hili[emoji116]
Umri huu sio wa kujipendekeza kwa watu na kushikilia bango project za watu kama zako
huyu ajuza sijui ana akili gani au ulimbukeni sijui
lepumbazzzz-jpg.518399


C.c W. J. Malecela
 

Attachments

  • LePumbazzzz.jpg
    LePumbazzzz.jpg
    206.6 KB · Views: 151
Akue na aache utoto kwanza... Na ni vizuri akawa na ABC 's za taaluma ya Habari..
Na aache ujinga wa kuchanganya kiswahili na hilo li broken English... Hii ni dalili ya kutokupevuka.

Kama ni Kiswahili then aongee Kiswahili tu...kama Kiingereza aongee hivyo. Ubishoo mwingine ni wa kipumbavu.

.............
 
Umri huu sio wa kujipendekeza kwa watu na kushikilia bango project za watu kama zako
huyu ajuza sijui ana akili gani au ulimbukeni sijui
lepumbazzzz-jpg.518399


C.c W. J. Malecela

- huku kote nilikuwa natafuta njia ya kufikia hapa mkuu:-

18813950_763474880501579_439172276321563329_n.jpg


- Yaani nilianza na Blog, nikaingia Instagram na sasa my Own Studio ya kurushia matangazo ya Online na Streaming live next itakuwa kimiliki Radio na TV yangu, pole pole ninawaacha mpo hapa hapa na makelele mengi toka Miaka na miaka hahahahaha Akili ni nyweele U know

le Mutuz
 
Akue na aache utoto kwanza... Na ni vizuri akawa na ABC 's za taaluma ya Habari..
Na aache ujinga wa kuchanganya kiswahili na hilo li broken English... Hii ni dalili ya kutokupevuka.

Kama ni Kiswahili then aongee Kiswahili tu...kama Kiingereza aongee hivyo. Ubishoo mwingine ni wa kipumbavu.

.............
18813950_763474880501579_439172276321563329_n.jpg


- Usiniambie na utuuzima wako una Studio kama hii ninayoijenga sasa au? hahahahhahaa

le Mutuz
 
Babu umepambana sana mana kustaafu kuko mlangoni tayari,ila hiyo 40m unayoinvest ni zim$$.....mana wewe kwa uwongo ni nambari one
18768235_762928423889558_4503905644697301762_o.jpg


- Kazi inaendelea ya kujenga my new Studio, labda nikupatie ajira mkuu lete maombi maana hapa ni kazi tu hatuna longo longo!! -

le Mutuz
 
Mambo yale , style zile zile .. ndio maana Dsm kuna maduka ya nguo hadi mlangoni. ..kila biashara tunacopy na kupaste.

Sasa ww Lumutuz endelea kushindana na Millard Ayo.
At the end utaelewa tofauti kati ya tallented na bahati mbaya.

- Nilipofungua Blog niliambiwa maneno kama yako, na sasa unarudia tena kaaa mkao wa kula sijawahi kubahatisha!

le Mutuz
 
Ubunifu zero kabisa kilakitu anamwiiga millardayo.com ukiangalia hata blog yake magazeti yote asubuhi anakopi kutoka millardayo.com tena yakiwa na logo ya millardayo
Shame on you....!
Hahahahahahaaaa Nafwaaz you know zero brain sina muda wakubishana nao, hawa ndio wale rafiki wa kibibi gagula
 
Back
Top Bottom