PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Mimi niligundua tu kanijibu kikanjanja nikampotezea.Mh kuna kitu hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi niligundua tu kanijibu kikanjanja nikampotezea.Mh kuna kitu hapa
nakumbuka alisema ana hisa na dav mosha ila ndio uanaume atafute vya kwakeMimi niligundua tu kanijibu kikanjanja nikampotezea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tatizo la baba swalehe kazoea kudananda sana.nakumbuka alisema ana hisa na dav mosha ila ndio uanaume atafute vya kwake
kashapigwa chini naona huyu bongeSwahili TV na FM zimeishia wapi hadi kakurupuka kuanza na kitu kingine?
Ohoooooo!!!kashapigwa chini naona huyu bonge
Alikua na hisa 0.0001%kashapigwa chini naona huyu bonge
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alikua na hisa 0.0001%
halali na chupi huyu bilionea prof ndumila😀Dada yangu huyu bilionea alipita hapa na jibu alilolitoa hili[emoji116]
Babu umepambana sana mana kustaafu kuko mlangoni tayari,ila hiyo 40m unayoinvest ni zim$$.....mana wewe kwa uwongo ni nambari one- Millard Ayo harushi magazeti yake so kama ni kuiga wote tupo kwenye mstari mmoja ila kwa sasa yeye anayo hizo dhana na soon nitaifanya, so relax this is business ninategema ku invest 40M labda kama unahitaji ajira unaweza kutuma maombi!!
le Mutuz
Umri huu sio wa kujipendekeza kwa watu na kushikilia bango project za watu kama zakoDada yangu huyu bilionea alipita hapa na jibu alilolitoa hili[emoji116]
Umri huu sio wa kujipendekeza kwa watu na kushikilia bango project za watu kama zako
huyu ajuza sijui ana akili gani au ulimbukeni sijui
![]()
C.c W. J. Malecela
Akue na aache utoto kwanza... Na ni vizuri akawa na ABC 's za taaluma ya Habari..
Na aache ujinga wa kuchanganya kiswahili na hilo li broken English... Hii ni dalili ya kutokupevuka.
Kama ni Kiswahili then aongee Kiswahili tu...kama Kiingereza aongee hivyo. Ubishoo mwingine ni wa kipumbavu.
.............
Babu umepambana sana mana kustaafu kuko mlangoni tayari,ila hiyo 40m unayoinvest ni zim$$.....mana wewe kwa uwongo ni nambari one
Mambo yale , style zile zile .. ndio maana Dsm kuna maduka ya nguo hadi mlangoni. ..kila biashara tunacopy na kupaste.
Sasa ww Lumutuz endelea kushindana na Millard Ayo.
At the end utaelewa tofauti kati ya tallented na bahati mbaya.
Hahahahahahaaaa Nafwaaz you know zero brain sina muda wakubishana nao, hawa ndio wale rafiki wa kibibi gagulaUbunifu zero kabisa kilakitu anamwiiga millardayo.com ukiangalia hata blog yake magazeti yote asubuhi anakopi kutoka millardayo.com tena yakiwa na logo ya millardayo
Shame on you....!
Ajira wape mabebez![]()
- Kazi inaendelea ya kujenga my new Studio, labda nikupatie ajira mkuu lete maombi maana hapa ni kazi tu hatuna longo longo!! -
le Mutuz