Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)


- HAHAHAHAHAA unahangaika sana mambo ya maisha yangu na watoto wangu huyajui, mamambo ya kujenga nyumba wala sio muhimu sana sio watu wote duniani wanajenga nyumba, ninaweza nikanunua hata ninapoishi sasa hivi. Mjinga ni mke wako unayemlisha hapa hakuna majinga cause hakuna unayemlisha, wewe ni mjinga cause unataka kujifanya una akili sana kwa kutumia majina ya bandia ninasema wewe ni mjinga wenye akili hawatumii majina ya bandia kama mimi, so jipange tena ila hapa kwangu unapoteza muda wako bure wameshindwa wengi wameniacha kama nilivyo na hakuna hata moja walilotabiri lililonikuta,

- I am me na I love myself, kama niliyemuacha ni dada yako pole sana maana hii chuku haiwezi kuwa ya hivihivi nakuona mara nyingi sana ukihangaika na mimi, tatizo unatumia majina ya bandia so nakuona mjinga tu, ila ninapenda kwamba unajaza pages.

le Mutuz
 
Jibu hayo maswali we mstaafu ili tuone ni kama ni kweli una hizo sifa za kujiita social media king!

Kilichopo kwako ni hata mimi hivi sasa naweza kujiita Social Media Emperor kwa sababu ulichofanya ni kujiita tu ingawaje hizo sifa haina!!!


- Ngoja tuendelee na kazi ikiisha tutakuja kuripoti so uswe na wasi wasi na tukianza majaribio tutasema pia, so relax mkuu sisi ni kazi tu hatusumubuliwi na maneno maneno ya wasiojielewa hahahahahahahaha

le Mutuz
 


- hapo ni nyumbani kwangu sasa niambie kuna kids wanaishi hivi? hahahahahahha weka unapoishi basi tuone kama tunalingana hahahahahahaa

le Mutuz
Una nyumba ww?,mtu unashindana na mjukuu wako Tunda kuishi kwenye mahotel
 


- ni kweli badala yake najenga Studio downtown wewe piga story na wajukuu sawa hahahahahahahhaa

le Mutuz
Wewe jingaa wadanganye uliozoea kuwadanganya haohao....we zee zima mpaka ulifikia stage ya kudownload chakula na kuanza kutuma kwenye social network eti unakula were....nani anayeweza kukaa nakuliamini zee zima ongo kama wewe
 
Wewe jingaa wadanganye uliozoea kuwadanganya haohao....we zee zima mpaka ulifikia stage ya kudownload chakula na kuanza kutuma kwenye social network eti unakula were....nani anayeweza kukaa nakuliamini zee zima ongo kama wewe



- so jana kumbe ile futari nili down load? hahahahahahhahaa futari ya jana hiyo mtuwangu kumbe uliniona niki down load hahahahaha

le Mutuz
 



- so jana kumbe ile futari nili down load? hahahahahahhahaa futari ya jana hiyo mtuwangu kumbe uliniona niki down load hahahahaha

le Mutuz
hahaaaaaah ndo mana nasema wewe ni kubwa jinga....unajisahaulisha ulishawahi download chakula ukapost instagram baada ya kuumbuliwa ukafuta...akili za kibashiteeeee
 
- hahahahahahaha unahangaika na mi id kibao pole sana hahahahaha kumbe nakutesa hahahahahahaa

le Mutuz
Mimi nitaku discipline tu wewe zee jinga...kama wengine hadi leo wameshindwa kukushikisha adabu watulie pembeni hii kazi waniachie mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…