Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Unatia huruma kijana
 
Sasa na wewe mzee mzima unabaki kubishana na vijana na kutoleana vijembe kwenye mitandao ili iweje? We fanya mambo yako yakiwa tayari watu waone na tukakaokusapoti tutafanya hivyo. Kwa umri wako hata hiki unachokifanya si jambo kujivunia sana ingawa ni hatua pia kwenye maisha. Mungu akubariki na kukupa hekima na busara
 
Mkuu umenena kweli kabisa, wakati mwingine nashindwa kuona uhusiano wa umri wake na anayoyaandika. Lakini kwa wanasaikolojia hili si la ajabu, umri unamtupa mkono, alikuwa na fursa safi kabisa na sasa ndo anazinduka. Atulie asonge mbele kwani maisha lazima yaendelee aache kuweweseka
 
Try not to be too focused on pleasing others and end up losing your true self..learn the different btn love and pleasing, respect and obeying...Dont learn to be good learner of pleasing people...
 

- Maisha yangu yapo safi na poa sana, sijawahi kuiba cha mtu always ninaishi maisha yangu na sasa hivi ninafanya mambo yangu ya pesa bila tatizo, hahahahaha nashangaa kwa umri wako na kuandika kwa majina ya bandia ukiwa mzee si utakuwa mchawi kabisa hahahahahahaha mimi huniwezi ngoma kubwa sana hii jhahahahahah

le Mutuz
 

- hahahahaha ningekuwa na umri kama wako nisingepoteza muda na majina ya bandia kurukia wanaume nisowajua kwenye mitandao licha ya kutafuta umri wao kwa mtoto wa kiume ungejiangalia wewe kwanza kama upo sawa au? hahahahahha

le Mutuz
 
Ungekuwa unatumia akili ungekuwa mpole na kutumia mwanya huu kuwa convince customers kuitumia hiyo on line tv yako na mengine lkn waapiiii

- my Customers hawatumii majina ya bandia ndio maana sina huo muda hahahahahahahhaa

le Mutuz
 
Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…