Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

- hahahahaha ningekuwa na umri kama wako nisingepoteza muda na majina ya bandia kurukia wanaume nisowajua kwenye mitandao licha ya kutafuta umri wao kwa mtoto wa kiume ungejiangalia wewe kwanza kama upo sawa au? hahahahahha

le Mutuz
Sawa mkuu wewe naona ni sikio la dawa, yaani huwezi ongea lugha inayoendana na umri wako kabisa, au laana!!. Hiyo TV yako ikiwa vizuri nitakuwa wa kwanza kuangalia.
 
Uende kwa kaburi la mzee wetu mpendwa ukatambikiwe, hiyo laana ikutoke si bure. Kwanza kwa legacy ya mzee unamtia aibu sana
 
Sawa mkuu wewe naona ni sikio la dawa, yaani huwezi ongea lugha inayoendana na umri wako kabisa, au laana!!. Hiyo TV yako ikiwa vizuri nitakuwa wa kwanza kuangalia.

- seriously unataka nisikilize ushauri wa majina ya bandia? hahahahaha niende mbele ya watu wenye akili niseme huu ushauri nilipewa na watu wenye majina ya bandia? hahahahahahahhaha si watanishangaahahaha inaelekea una laana so unadhani kila mtu ni kama wewe hahahahahahahha

le Mutuz
 
Uende kwa kaburi la mzee wetu mpendwa ukatambikiwe, hiyo laana ikutoke si bure. Kwanza kwa legacy ya mzee unamtia aibu sana

- yaani mtu ukiishi maisha mazuri kama ninayoishi unakuwa na laana? basi naomba mniongezee ili nile batazz zaidi hahahahahaha

le Mutuz
 
William huwa unanishangaza sana na matambo yako ya sijui pesa sijui nini vile! Hivi kama una pesa kiasi hicho nini sababu ya kuacha mama yako akafa katika dimbwi la umasikini namna ile kama tulivyoona zile picha? au wewe hukuwa na mpango naye shauri ya mabebez?
 
- yaani mtu ukiishi maisha mazuri kama ninayoishi unakuwa na laana? basi naomba mniongezee ili nile batazz zaidi hahahahahaha

le Mutuz
Hongera jomnba
Ila nasikia mwezihuu au Dec utahudhuria tena after school bash na kukaa siti za mbele km kawa
Hivyo natarajia utajirekodi na kurusha Live kupitia Online TV unayoianzisha
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Hongera jomnba
Ila nasikia mwezihuu au Dec utahudhuria tena after school bash na kukaa siti za mbele km kawa
Hivyo natarajia utajirekodi na kurusha Live kupitia Online TV unayoianzisha
[emoji2] [emoji2] [emoji2]



- Nitakuwa home relaxing kama hapo kwenye picha so au? hahahahhahahahaha

le Mutuz
 

- Biblia inasema ni makosa kujadili Marehemu na kama unataka fungua thread maalum for that hapa sio, pole sana bado mpaka leo una hasira na mimi kiasi hicho mkuu toka miaka ile tunaanzisha JF mpaka leo? maana haya maneno umeyaandika kwa hasira sana hahahahaha pole sana huku bongo maisha yanaendelea hatusumbuliwi na kelele za mlango ona hapa chini

 

Umetumwa...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…