Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Huyu babu lemutuz mjinga sana kwa umri wake sio wa kuwa kwenye entertainment atafute shamba alime afuge kuku awe na assert za kumsogeza akijishindwa sabab siku siyo nyingi pale
 
Endelea kumweka sawa huyo ajuza, naona anaweweseka huko aliko [emoji2] [emoji3]
Nimekua nikimkosoa sana Lemutuz Popote , ila kwa aliteweka hii kitu humu nadhani kakosea . , hakuna haja ya kufanya hivi kwa mtu , kitu hiyo ipo Too personal halafu pia kuna haja Gani ya kumkumbusha mtu machungu yake Jus B'cause of hizi Discusion tunazoendelea nazo humu.
Umefika mbali. , mm nadhani hata Lemutuz huwa anaelewa Binadamu walivyo, unapotaka kufanya kitu usitegee jamii nzima ukikubali , lakini sasa kufika ulipofika ww ni dhairi hata hujui maana ya maisha nini.
Tuchalengiane kibiashara and so on. .. but huku duuh.
 
Hii service ingekuwa nzuri kwangu, ila kwa vile nishakuona tu wewe bhaaaasi, hii ishakuwa batili...ni wale wale

Fuatilia wewe na bwanako sisi huku tunajenga taifa

Cc: Cocochannel
 
- Mapungufu anayajua Mungu aliyeniumba tu, hahahahaha wengine wote ni binadam tu kama wengine wote so relax man hahahahahahaa ninaweza nikawa na mapungufu ila sio low mpaka kutukuana wanaume nisiowajua kwenye mitandao that can be the lowest binadam can get hahahahahahahaha hawa wote hawaniwezi si unaona hata picha za maisha yao hawana wanaogopa nini? hahahahahaha ndioo maana siku zote hapa wananipa platform ya kujitangaza na kuongeza biashara zangu za social media bila kujijua hahahahahahaha wajinga ndio waliwao


le Mutuz
Keep it up man, when it comes to hustling na muheshimu sana mtafutaji.
 
Mzee wake kahesabu hasara
19059404_768314926684241_3575097086353797598_n.jpg


- JANA kuelekea batannn na Rangi ya Mtume, sasa imagine makelele yote haya sisi maisha yanaendelea kama kawaida hahahahahahah poleni sana ona maisha hayo yaani kazi na batazzz na Super Mtindizz hahahaha U know

le Mutuz
 
Huyu babu lemutuz mjinga sana kwa umri wake sio wa kuwa kwenye entertainment atafute shamba alime afuge kuku awe na assert za kumsogeza akijishindwa sabab siku siyo nyingi pale
19105975_768315536684180_7537813003479161646_n.jpg


- hahahahahha kama kawaida Friday Night batannn pamoja na makelele yote haya watu tunaishi tunakula bata na wabebezz Rangi ya mtume, wewe piga kelele huku sisi tunaendelea na maisha U know hahahahahahahha I lov it

le Mutuz
 
Umetoa wapi hii na inahusiana nini na hiki ulichoandika hapa chini?
Halafu unaandika:Eti wivu na chuki!!! Yaani we jamaa unaona kila mtu ana wivu na wewe...!! Yaani hata mtu anayejaribu kukushauri unamuona ana wivu na chuki na wewe!!! What's so special ulichonacho cha mtu kukuonea wivu?!

Kama kuwa na blog yenye poor traffic na Instagram Account yenye less than 1M followers nakuonea wivu; Millard Ayo atasemaje nikikutana nae?!

Oh! Millard Ayo nimeenda mbali sana! Jamaa wa Bongo5 au hata Swahili Times watasema nini?!
19105975_768315536684180_7537813003479161646_n.jpg


- hahahahahha ona maisha yanavyoendelea na makelele yako yote hahahahahaha nipe wiki 3 nitakuwa hewani na Online TV, na hutabadili lolote, tayari nimeshaingia mkataba na Vodacom, ASAS, pamoja na Amariah Hotel. Hao wote uliowataja size yangu ni Millard tu wote tunadhaminiwa na Vodacom, hao wengine nitajie wadhamini wao hahahahahahahhaa

- Pole sana hapa ni ngoma kubwa mkuu wewe piga kelele zako huko vichochoroni sisi huku mjini tunafanya kweli hahahahaha

le Mutuz
 
Sorry mkuu, huwa siwezi malumbano naona umekasirika sana na wakati mzee naye ana matusi kwelikweli. Ungeona comments zangu za jana ungejua namuunga mkono kwa hako kaproject kake ila apunguze sifa na awe na PR nzuri tu. Otherwise tukubali kutofautiana wakati mwingine, natumai hakuna la ziada mkuu. Weekend njema
18813602_760935847422149_5398164013913185130_n.jpg


- Halafu ninakribia kuoa le mbebezzz so ni lazima kumtambulisha kwa Rafiki wa kweli, here majuzi na my babe Hilton Hotel hahahahahaha wewe piga kelele huku JF sisi huko Duniani tunaishi kweli hahahahahahaha U know

le Mutuz
 
jamani TV online mbona rahisi sana hata Mimi nafungua tu ilimradi Nina google account
Duuh! nadhani inategemeana na quailty,Le Mutuz yeye anasema anawekeza 40M,wewe unasema ni google account tu,duuh! umetisha,sasa kufanya interview utakua unafanyia kwenye google account au kwenye chumba maalum ambacho ni sound proof ?
 
Back
Top Bottom