Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

10955680_390358997813171_8023044971578825204_n.jpg


- hahahahahahaa wewe piga kelele weee mpaka ulie machozi, Social Media is my field ndiyo inayonipa mkate na nitaendelea mpaka nifikie kumiliki Radio na TV, ndiko ninakoelekea wewe piga kelele hapa pole sana hahahahahaha, nitatoa ajira na ukitaka utapewa ajira hahahahahahha

le Mutuz
Jibu hayo maswali we mstaafu ili tuone ni kama ni kweli una hizo sifa za kujiita social media king!
Una followers wangapi instagram?

Engagement rate kwenye post zako ipoje?

Unapata likes kutoka kwenye posts zako?

Una Followers wangapi Tweeter?

Rate ya Retweet kutoka kwenye posts zako ikoje?

Una friends wangapi au like ngapi Facebook?

Engagement rate na audience ipoje?!

Wanagapi wame-subscribe kwenye Youtube Channel yako?!

Engagement rate yako ipo vipi?

Average views per content iko vipi?

Sijataja social networks zingine ambazo hazina umaarufu Tanzania!!!!

Hivi ukiji-evaluate wewe mwenyewe unaamini kabisa unastahili kujiita Social Media King?!

Duniani kuna kitu kinaitwa social media influencers!!!!

Kwavile kuna indicators za ku-evaluate viable social media influencers; hata kwenye top 10 social media influencers wewe huwezi kutokea!!!!

Kwahiyo endelea tu kujiita social media king lakini kwa wanaofahamu haya mambo wanakuona juh'a tu!!!
Kilichopo kwako ni hata mimi hivi sasa naweza kujiita Social Media Emperor kwa sababu ulichofanya ni kujiita tu ingawaje hizo sifa haina!!!
 
Jibu hayo maswali we mstaafu ili tuone ni kama ni kweli una hizo sifa za kujiita social media king!

Kilichopo kwako ni hata mimi hivi sasa naweza kujiita Social Media Emperor kwa sababu ulichofanya ni kujiita tu ingawaje hizo sifa haina!!!

- tatizo sio kujiita ila ni kama kweli unalipwa pesa kwa kazi ya Social Media, mimi siku nikiacha kulipwa ndio nitaamini maneno yako lakini kwa maisha ninayoishi sasa bado ninajiamini sana na ndio maana ninapigana kuingia kwenye Online TV, unachokipigania hata sikielewi maana unatumia majina ya bandia lakini unataka kuongea ukweli HAIWEZEKANI hahahahaha so nakuona ni kichekesho na ninaomba tufike page 30 niondoke so keep on coming

le Mutuz
 
- hapana ninapokwenda kufanya interview ya kazi zangu za Social Media huwa ninawaambia kuhusu how popular I am, so huwa ninawaonyesha JF kuwa tizama hakuna mjadala unaonihusu ambao upo chini ya page 10, hakuna mtu wa Social Media ambaye hajui how tough kujadiliwa kwa page 10 ilivyo hapa JF,

- so ndio maana ninakuambia hapa ikifikia page 30 inatosha cause inanipa nguvu ya kusema mpaka leo 2017 sasa ndio kabisa ninafikia mpaka page 30 JF, hahahahahahaha pole sana nilikuambia hii game huijui

le Mutuz
Kwanini uwaambie how popular you are kupita JF wakati publishing unafanyia kwingine?!

We tafuta watu wa kudanganya wewe!!! Yaani nikupe tangazo langu kwa sababu threads za JF kuhusu wewe zinakuwa na posts nyingi wakati tangazo linataka kuwa posted kwenye ka-blog kako?!

NI maju'ha wenzako ndio wanaweza kutumia maelezo kama hayo!!!!!

Kama tangazo langu nataka liwe instagram, nitaufanyia evaluation instagram account yako... PERIOD! Kama nataka Tweeter, nitaifanyia evaluation Tweeter Account yako!!!

Na kama kuna mtu anayekupa tangazo la kutolewa Instagram lakini evaluation anaifanyia JF basi hao ni mazwazwa wenzako wasiofahamu ni namna gani haya mambo yanaenda!!!
 
Kwanini uwaambie how popular you are kupita JF wakati publishing unafanyia kwingine?!

We tafuta watu wa kudanganya wewe!!! Yaani nikupe tangazo langu kwa sababu threads za JF kuhusu wewe zinakuwa na posts nyingi wakati tangazo linataka kuwa posted kwenye ka-blog kako?!

NI maju'ha wenzako ndio wanaweza kutumia maelezo kama hayo!!!!!

Kama tangazo langu nataka liwe instagram, nitaufanyia evaluation instagram account yako... PERIOD! Kama nataka Tweeter, nitaifanyia evaluation Tweeter Account yako!!!

Na kama kuna mtu anayekupa tangazo la kutolewa Instagram lakini evaluation anaifanyia JF basi hao ni mazwazwa wenzako wasiofahamu ni namna gani haya mambo yanaenda!!!

- hahahahahaha ni lazima niitaje JF kwa sababu ni Social Media pamopja na my other tools, unayejidanganya ni wewe mwenyewe mimi maisha yanaenda na infact tumeshafika page 30 tayari, so naomba uniruhusu niondoke maana ndicho nilichokuwa ninakitaka, hahahahahahaha pole sana mkuu, ila kuna Vijana ninaowaajiri ndio maana ile blog ipo on 24 hours, bakiza maneno maana nikianza online TV utaabikia sana cause ninajua ninachokifanya hahahahahahaha


le Mutuz
 
- tatizo sio kujiita ila ni kama kweli unalipwa pesa kwa kazi ya Social Media, mimi siku nikiacha kulipwa ndio nitaamini maneno yako lakini kwa maisha ninayoishi sasa bado ninajiamini sana na ndio maana ninapigana kuingia kwenye Online TV, unachokipigania hata sikielewi maana unatumia majina ya bandia lakini unataka kuongea ukweli HAIWEZEKANI hahahahaha so nakuona ni kichekesho na ninaomba tufike page 30 niondoke so keep on coming

le Mutuz
Sio ufike page 30 uondoke sema lazima uondoke manake badala ya kwenda kupambana na wanaomponda bwana mkubwa wako Makonda leo umepoteza muda JF kubandika picha za wasichana unaowafanyia ukuwadi!!! Na kama hujafokewa leo sio mimi!!!

Kuhusu majina bandia ni hoja ya kiju'ha manake ni ju'ha tu ndie anaweza ku-challenge kitu ambacho ni official!!! Na ni ju'ha tu ndie anaweza kuamini huwezi kuongea mambo ya msingi mpaka utumie real name!!!

In short huna hoja na ndio maana unaishia kujificha kwenye viroja!!!
 
Tatizo la kukumbuka SHUKA pamekucha...
Le Mutuzz alitakiwa awafundishe mtu kama J.Makamba, R.Kikwete n.k .(jinsi ya kutoka kimaisha)

Ajabu wao wako mbele na mbali zaidi yake..!!

Kaishi Ng'ambo kwa kula BATA, akajisahau kwamba iko SIKU Daddy atatoka MADARAKANI.

Anaamua kurudi Nyumbani, anadhani fikira na mawazo ya Wabongo alio waacha bado ni yaleyale..

Watanzania wa leo (majority) wako more advanced than Le Mutuzz..

Mtakuja kunipa majibu...
 
- hahahahahaha ni lazima niitaje JF kwa sababu ni Social Media pamopja na my other tools, unayejidanganya ni wewe mwenyewe mimi maisha yanaenda na infact tumeshafika page 30 tayari, so naomba uniruhusu niondoke maana ndicho nilichokuwa ninakitaka, hahahahahahaha pole sana mkuu, ila kuna Vijana ninaowaajiri ndio maana ile blog ipo on 24 hours, bakiza maneno maana nikianza online TV utaabikia sana cause ninajua ninachokifanya hahahahahahaha


le Mutuz
Eti JF ni your other tool!! Una-link vipi JF na kale ka-blog kako hadi useme ni nyenzo yako?
Btw, unasema nikuruhusu kwanu nilikuita? Sema wakati umefika wa kwenda kumtumikia Makonda ju'ha wewe!!!
 
Tatizo la kukumbuka SHUKA pamekucha...
Le Mutuzz alitakiwa awafundishe mtu kama J.Makamba, R.Kikwete n.k .(jinsi ya kutoka kimaisha)

Ajabu wao wako mbele na mbali zaidi yake..!!

Kaishi Ng'ambo kwa kula BATA, akajisahau kwamba iko SIKU Daddy atatoka MADARAKANI.

Anaamua kurudi Nyumbani, anadhani fikira na mawazo ya Wabongo alio waacha bado ni yaleyale..

Watanzania wa leo (majority) wako more advanced than Le Mutuzz..

Mtakuja kunipa majibu...

- nonsense!

le Mutuz
 
Hivi kwa nini WAZEE wote waliokuwa WAUMINI wa sera ya UJAMAA walizaa MITOTO TAAHIRA...

Jaribu kuwafuatilia wote...King***e.. Mal****a.. Jec**a (znz) ..endelea na wengine...
 
Nimrkua follower wako i guess since 2012, i hv been see u expanding... hongera mkuu
 
15698126_678835998965468_2964039171909786195_n.jpg


- hahahaha now you are talking maana huwezi kumjua kuwadi unless alikuuza kwa wanaume hahahahahahahaha

le Mutuz
Dah[emoji23] [emoji23] [emoji23]
19059570_768381636677570_1999361845994564515_n.jpg


- hahahahaha nikitaka ninaweza kuuza hapa nikamaliza ile nyumba, siipendi ile nyuma kwa sababu ipo karibu na my ex ndio maana natafuta mnunuzi nyumba yangu ya ukweli itakuwa hapa ok mkuu so wachana na mimi sio size yako nipo mbali sana na maisha hahahahahahahaha

le Mutuz
 
Hivi kwa nini WAZEE wote waliokuwa WAUMINI wa sera ya UJAMAA walizaa MITOTO TAAHIRA...

Jaribu kuwafuatilia wote...King***e.. Mal****a.. Jec**a (znz) ..endelea na wengine...
Lakini kwa huyu mzee ndo too much!! Yaani leo ndo nimejua huyu jamaa hamna kitu! Eti bila aibu anasema kwake hakuna umuhimu wowote kujenga kwa sababu hata Wahindi hawajengi! Wakati huo huo anasahau kwamba ana watoto aliowakimbia US ambao anatakiwa kuwaachia msingi kwavile bado ni wadogo!!!
 
Back
Top Bottom