Huyi anafahamika fb 2 kwao dodoma hata hawamjui,istoshe hela hana anaishi kwa upambe tu toka lini kiblog kikakupa hela wa2 kibao wana blog na hawana kitu zaidi y umaarufu mbuzii
Wametengeneza hela ngapi mpaka hivi sasa kwa kutumia majina yao?
Kwani wewe upo sales department ya cocacola??
Wao wanajua faida wanayopata.
Jaribu kuchimba zaidi.
Sasa kama huwezi kujua kwa nini mtu utoe kauli kwamba wanatengeneza hela kupitia majina ya hao wasanii?
Coca-Cola wametumia hela ngapi? Au una-speculate tu?
Umeongea na hata mmoja wa hao wasanii na kuwauliza ilikuwakuwaje hadi jina lake likawekwa kwenye chupa?
Je, unajua makubaliano yao hadi kufikia hatua ya kudai kuwa wananyonywa? Hizo chupa za soda zenye majina yao zitauzwa na kusambazwa nchi nzima au hilo tukio lilikuwa ni moja tu la kutambulisha hiyo kampeni na baada ya hapo Coca-Cola watauza chupa zenye majina ya watu mbalimbali na si zenye majina ya hao wasanii?
Au madai yako yote ni ya kusadiki tu?
Kwani Coca wamesema nan kalipwa nan hajalipwa? Inawezekana le mutuz anafanya hivo ili malipo yazidi kwa kuwekwa jina lake na kuitangaza coke zaid. Na amesema well kwamba ukiamua kuelimisha sio mpaka utukane.
Kwa hiyo unajaribu kusema hawataingiza chochote kupitia campaign hii?
Unauliza wametumia ngapi wakati unajua fika hakuna mwenye figure kamili hapa
hila kwa kuwa wamewekeza hela lazima warejeshe pesa na ukitaka kujua wamewekeza pesa angalia matangazo na kila kitu na hata kuandika majina pesa imetumika
Hivyo vinywaji vitasambazwa nchi nzima!
- sALUTE!!
Le Mutuz
Wajamvi wasalaam.
Kuna vita ya maneno imezuka na inayo endelea kati ya Lemutuz na Mwana sheria Albert Msando.
Hii vita ya maneno imezuka baada ya kampuni ya Coca-cola kutangaza kampeni ya kuweka majina ya watu maarufu kwenye makopo ya Kinywaji cha Coca-cola na bila shaka hii vita imezuka baada ya wawili hao kushindwa kuelewana kwenye hili swala maana kila mmoja ana malengo yake.
Lemutuz ameonesha kuwa Msando ana wivu kwa kuwa jina lake halipo kwenye list ya watakao wekwa kwenye makopo huku Msando akisisitiza kuwa Wasanii wasikubali kuwekwa Majina yao kama hawalipwi na akisema kukubali hilo ni kukubali unyonyaji.
Kimsingi Alberto Msando amepinga wasanii anao wasimamia kukubali kuwekwa majina yao kwenye vinywaji hivyo bila malipo yeyote yale. Na katika hili nami naungana na Msando kuwashauri Wasanii wote au watu maarufu kutokubali mpango huu wa kutumika majina yao kuwatajirisha Coca-cola.
Kimsingi Coca-cola watatumia Majina ya Wasanii na watu maarufu kuingiza pesa huku wenye majina wakibaki watupu mifukoni! Hakika hili litatokea Tanzania pekee kama watu watakubali kutumiwa bure.
Kuna watu wako tayari kutumiwa bure lakini hawa Wasanii wetu kwakweli itakuwa ni aibu sana na sitaki kuamini kama Coca-cola wana mpango wa kuwanyonya Wasanii kwa njia hii huku wao wakitajirika.
Wasanii wanatakiwa kuonesha msimamo wao kwenye hili na kulipinga na wahakikishe wanalipwa ndio wakubaliane na mpango huu.
Katika hili kuna mmoja anapigania haki za Wasanii na mwingine anapigania kopo la Coca-cola
Karibuni wanajamvi.
Japanese PM right?...Mnamjua huyu?
Japanese PM right?...
wabongo kwa kupiga hela hehehe,
waende coca basi wakadai malipo lol
hii share a coke ya siku nyingi sana,hata bila maceleb coke inauza tu
enewei na me nataka customized badiebey jmn namwambia nan anapeleka majina huko.??
Glad to see you here ma man.
Please give us the inside skinny on what really went down.
Wametengeneza hela ngapi mpaka hivi sasa kwa kutumia majina yao?
That's doesn't matter mkuu
What mattaz is "y utumie jina lake bila kumlipa"/?
Kwani wewe upo sales department ya cocacola??
Wao wanajua faida wanayopata.
- got you maan huo juu ndio ukweli wa what happened, huyo dogo ni Mwanasheria wa Zitto sasa nashangaa kwamba Zitto ana hela kuliko yeye lakini sijasikia akitukana mtu, kijana pesa kidogo tu utadhani anamlipia mtu maisha hapa mjini kumbe wala kila mtu hapa mjini anakula kwa urefu wa kamba yake mamen U know the deal!!
Le Mutuz
Unayajua makubaliano au maafikiano ambayo pande zote mbili ziliyafikia?
le mutuz na mi waambie wantengenezee le badiebey u know,for freee
- Hii picha nilipiga na wafanyakazi wa ICL Miezi 2 iliyopita siku nilipokwenda kusaini mkataba mpya na ICL ambao ndio handlers wa Cocacola, baada ya makubaliano wakaniomba nihudhurie party yao hii hapo juu. So nilianza mahusiano na Cocacola loong time ago hata kabla hawajafikiria kutengeneza makopo, na walipoamua kutengeneza makopo wiki nne zilizopita walinifahamisha na kwamba watanitengenezea kopo lenye jina langu as a sample na hatimaye watatengeneza ya kuuza tukakubaliana kwamba kopo la kwanza is no problem ila ya kuuza tutakaa chini kuhusu malipo yake separate, sasa nashangaa supposedly Mwanasheria wa Instagram, sijawahi kuona Mwanasheria akifanya mambo ya Sheria Instagram na kutukana watu asiowajua, kama alitaka kuwaonya wasanii wake angefanya hivyo lakini kutujumuisha wote that was wrong, sio yeye peke yake hapa mjini anayejua Sheria wapo Wanasheria wengi sana hapa mjini na besides kweli anaweza kunifundisha mimi my rights za kisheria? Are serious au unajichezea.
- Mwanasheria wa kwenda kutukana watu Instagram kwangu ni maajabu makubwa sana hili suala la Cocacola na makopo limeleta kizungu zungu sana mapaka ninajiuliza ni kweli ni tatizo la makopo au kuna zaidi ya makopo? Nimewaomba wale wote wanaohusika wawe wawazi kuhusu tatizo lao la kweli badala ya kujificha nyuma ya makopo!
- Tena tizama mkono wangu wa kushoto nimeushika mkataba wenyewe mkononi live!!
Le Mutuz
Japanese PM right?...
wabongo kwa kupiga hela hehehe,
waende coca basi wakadai malipo lol
hii share a coke ya siku nyingi sana,hata bila maceleb coke inauza tu
enewei na me nataka customized badiebey jmn namwambia nan anapeleka majina huko.??