Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Teh Teh ngoja aje
Manchester United class of 1992 nao walipata chupa zao. Baadhi ya wachezaji ni Nicky Butt, Paul Scholes, David Beckham, Garry Neville, Ryan Giggs na wengineo.
Sasa sijui hawa nao walilipwa?
Manchester United's 'Class of 92' recreated as customised Coke bottles
Sasa watu kama Asprin na mate wake Kaizer watajulia wapi?
Personally mie sie mnywaji wa Coke, sema nilimkuta rafiki yangu anakunywa maji meusi ndani ya chupa yenye jina lake ndo nikataka kujua.
Ili hii kitu iwe popular nchini itabidi TBL nao waanze ya kwao aka Share A Beer.
Ukipitisha round meza nzima chupa zimeandikwa EMT.
Jaribu kuchimba zaidi.
sitaki kuamini kwamba coca hawatowalipa hao wasanii,nakumbuka babu wa ku-humble alisema anatushukuru sisi wana jf kwa kumfanya afahamike na kuchangia jina lake kuwa kwenye kopo.
Naleo wame kwenda kwenye launch party mlimani city! Wangekuwa wanalipwa MsandoAlberto asinge andika yale maana kwanza yuko karibu nao! Hakika sanaa haito songa mbele kabisa kwa mtindo huu.
Hichi ndio kitakuwa kipimo cha uwezo wa kufikiri wa wasanii wetu.
Hivi bifu la ke mnazi na bikira halijaisha???
Okay, sasa kama yapo tatizo liko wapi? Hayo majina yao yalichapishwa bila ridhaa yao?
Kusema ukweli mimi naona hapa kuna overreaction inayotokana na ujinga (ujinga siyo tusi, btw) tu.
Coca-Cola is a global conglomerate that has been around for almost 129 years. It doesn't need no-talent celebs to endorse its products.
Kilichotokea hapo ni win-win situation.
Sidhani kama Wema na Jide wanaweza kuongeza mauzo ya Coca-Cola.
Brand ya Coca-Cola ni iconic.
If anything, profile ya hao no-talent celebs ndo inaweza kuwa raised na Coca-Cola na pengine kuongeza idadi ya watu wanaowajua.
Lakini kudai eti Wema aongeze mauzo ya Coke kisa jina lake lipo kwenye chupa? Sidhani hata kidogo.
Labda kwa Azam Cola lakini siyo Coca-Cola, the iconic brand that's almost 129 years old.
Mkuu don't be "fooled" with years of operations coca-cola has. Kutumia hayo majina lazima kuta-influence sales whether you like or not. Social Networks zinatosha sana kumfanya mtu afahamike (kwasababu imesambaa sana na kufahamika na wengi) ila sio kwenye coca-cola.
Hapo coca wanatumia hayo majina kwasababu wanajua hayo majina yatawainua sana.
Kampuni inaweza kukaa miaka 300 lakini ikafanya kitu kama hiki. Marketing department ya Coca-Cola imetumia akili sana kwenye hili. Lazima itawaongezea sales na hao "wasanii" imekula kwao.
So, hawa maselebu wawe compensated na global publishers kwa kunufaika na habari zao? Sidhani una maana hiyo.
Pili hivi hao maselebu hawanufaiki kwa lolote kwa Global Publishers kuwaandika magazetini?
Haya hata huko Naija kina Iyanya and co. nao wanazo chupa zao.
[h=1]Entertainment: Iyanya, Kemi Adetiba get customised Coke bottles[/h]
Iyanya, and Kemi Adetiba are the latest pair to
receive personalised Coke bottles. Photo: Instagram
Pop star, Iyanya and and music video director, Kemi
Adetiba are the latest pair to receive personalised
bottles of Coke in the brands ongoing campaign,
Share a Coke.
The two excitedly showed off their personalised
bottles on Wednesday, December 24, 2014 as they
join the likes of Nollywood actress, Funke Akindele;
Sasha P and Yaw of Wazobia FM in the campaign
which allows fans nationwide to personalise their
drinks with their name or the name of a friend.
So what? kwani kosa linaacha kuwa kosa pale mtu mwingine anapokuwa amelifanya?
Mi nilijua wanatoa tu zawadi kwa wasanii, kumbe ndo makopo mapya?
Na hyu bikira n mwanaume kamili?
Alafu bikra kalipwa anvodai, kwahyo wamefanya upendeleo? hapa either bikra hajalipwa ila maneno ya msando yamemgusa ama wote wamelipwa ila hawajaamua kusema. 'nawaza tu'