Le Mutuz (W. Malecela) Vs Alberto Msando: Hii ni vita ya kupigania haki za wasanii au kopo la Coca?

Le Mutuz (W. Malecela) Vs Alberto Msando: Hii ni vita ya kupigania haki za wasanii au kopo la Coca?

Status
Not open for further replies.
Zikifika page10 atakuja!!!nahitaji nione utetez wake katika hizi tuhuma anakuja na le tamKOz gan mazafanta:what::what:
 
Tatizo la msando anataka kuwachukulia wasanii au viceleb vya bongo vyote vijinga na kwa kiasi kikubwa kawawin wengi amesahau kama Le mutuz kuna mambo huwezi kulipeleka. ..ujue ukiwa mtoto wa town hata ukiwa boya kiasi gani huwezi kupelekeshwa na mtu wa mkoani. ..Le mutuz town moja,msando mkoa moja

Attitude kama hii ya kwako imepelekea vijana wengi wa hapo unapopaita town kuishia kula miguu ya kuku na utumbo wa kuku.
Una attitude ya masikini mzoefu.
 
sitaki kuamini kwamba coca hawatowalipa hao wasanii,nakumbuka babu wa ku-humble alisema anatushukuru sisi wana jf kwa kumfanya afahamike na kuchangia jina lake kuwa kwenye kopo.
 
Wajamvi wasalaam!
Kuna vita ya maneno imezuka na inayo endelea kati ya Lemutuz na Mwana sheria Albert Msando!

Hii vita ya maneno imezuka baada ya kampuni ya Coca-cola kutangaza kampeni ya kuweka majina ya watu maarufu kwenye makopo ya kinywaji cha Coca-cola na bila shaka hii vita imezuka baada ya wawili hao kushindwa kuelewana kwenye hili swala maana kila mmoja ana malengo yake!
Lemutuz ameonesha kuwa Msando ana wivu kwa kuwa jina lake halipo kwenye list ya watakao wekwa kwenye makopo huku Msando akisisitiza kuwa Wasanii wasikubali kuwekwa majina yao kama hawalipwi na akisema kukubali hilo ni kukubali unyonyaji.

Kimsingi Alberto Msando amepinga wasanii anao wasimamia kukubali kuwekwa majina yao kwenye vinywaji hivyo bila malipo yeyote yale! Na katika hili nami naungana na Msando kuwashauri wasanii wote au watu maarufu kukubali mpango huu wa kutumika majina yao kuwatajirisha Coca-cola!

Kimsingi Coca-cola watatumia majina ya wasanii na watu maarufu kuingiza pesa huku wenye majina wakibaki watupu mifukoni! Hakika hili litatokea Tanzania pekee kama watu watakubali kutumiwa bure!

Kuna watu wako tayari kutumiwa bure lakini hawa wasanii wetu kwakweli itakuwa ni aibu sana na sitaki kuamini kama Coca-cola wana mpango wa kuwanyonya wasanii kwa njia hii huku wao wakitajirika!

Wasanii wanatakiwa kuonesha msimamo wao kwenye hili na kulipinga na wahakikishe wanalipwa ndio wakubaliane na mpango huu!

Katika hili kuna mmoja anapigania haki za wasanii na mwingine anapigania kopo la Coca-cola!
Karibuni wanajamvi

Wasanii wasipokuwa makini watutumika kama toelet pepa,huu ni wakati wao wa kupata pesa wasiuchezee wakati wao,mbona wasimchukue daz nunda au mister nice kama wanawapenda wasanii?nia yao nikuwatumia kama karatasi ya kuchambia mavi ukishaimaliza unaitupa
 
Tatizo la msando anataka kuwachukulia wasanii au viceleb vya bongo vyote vijinga na kwa kiasi kikubwa kawawin wengi amesahau kama Le mutuz kuna mambo huwezi kulipeleka. ..ujue ukiwa mtoto wa town hata ukiwa boya kiasi gani huwezi kupelekeshwa na mtu wa mkoani. ..Le mutuz town moja,msando mkoa moja

Nafikiri msando yuko sahihi yeye alichokifanya ametumia taluma kushauri ili wasanii wanufaike
 
Wasanii wasipokuwa makini watutumika kama toelet pepa,huu ni wakati wao wa kupata pesa wasiuchezee wakati wao,mbona wasimchukue daz nunda au mister nice kama wanawapenda wasanii?nia yao nikuwatumia kama karatasi ya kuchambia mavi ukishaimaliza unaitupa

Naleo wame kwenda kwenye launch party mlimani city! Wangekuwa wanalipwa MsandoAlberto asinge andika yale maana kwanza yuko karibu nao! Hakika sanaa haito songa mbele kabisa kwa mtindo huu.

Hichi ndio kitakuwa kipimo cha uwezo wa kufikiri wa wasanii wetu.
 
Last edited by a moderator:
sitaki kuamini kwamba coca hawatowalipa hao wasanii,nakumbuka babu wa ku-humble alisema anatushukuru sisi wana jf kwa kumfanya afahamike na kuchangia jina lake kuwa kwenye kopo.

Mkuu we msome MsandoAlberto kuna attachment humu utaelewa kuwa hawalipwi
 
Last edited by a moderator:
Attitude kama hii ya kwako imepelekea vijana wengi wa hapo unapopaita town kuishia kula miguu ya kuku na utumbo wa kuku.
Una attitude ya masikini mzoefu.

Teh Teh wanafurahi kuitwa wa town huku mfukoni hakuna kitu ni ujinga! Yani mtu mzima anafurahia jina lake kuwekwa kwenye kopo!
 
Vita inayoendele kati ya Le Mutuz na mwanasheria Alberto Msando Kuhusu zawadi zinazotewa na coca cola kwa ma celebrate wa bongo imeingia hatua nyingine baada ya Le Mutuz kutoa karipio kali baada ya kutishiwa na Alberto Msando na nukuu kama Le Mutuz aliyoandika Insta...

Hahahahaha eti haya maneno yameandikwa na Mwanasheria hahahahh ni Mwanasheria wa nini hasa ambaye hajui kwamba hapa mjini kuna apartment zinauzwa USD $300,000 ambazo unaweza kujenga nyumba 10 kama zake huko swekeni anakoishi? .......sikufahamu ila leo nimeuliza wanaokufahamu vizuri pale Tripple 777 I mean hakuna hata mmoja anayetaka kukuskia kumbe ndio maana umekimbilia Uanasheria wa Instagram wa kutishia na kutukana wasio jua sheria hahah.....eti unanitisha mimi about choosing the battle hahahahah kwani unaweza kufanya nini Mwanasheria wa kutukana usiowajua Instagram? ... wewe u aweza kunitisha mimi are U serious au unatania hahahhahah nenda jipange tena hao unaowacheka wanakaa chumba kimoja cha kupanga ni binadam pia kama wewe mimi sikai chumba cha kupanga pole sana tishia wengine hapa umepiga mwamba una hela za kukutosha mwenyewe ila huna za kumsaidia yoyote badala ya kuandika ujinga huku nipigie tukutane mkuu mimi huwa sina uoga halla at 0717 618 997 wacha filimbi boss wako Zitto ananifahamu sana kijana mdogo ila hana ujinga kama wako you just an idiot! - le Mutuz
 
Leo nimekuja kujua kuwa lemutuz ni jamaa flan asiyekuwa na akili. Cjui nilichelewa wapi kujua hilo!! Msando hakukosea kutoa maoni yke ni kama ushauri kwa wasanii" wazo zuri lakn huku mtu mwenye utindio wa ubongo kubwa zima linaanza kuandika IG upuuzi na kumkashifu msando"
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom