Le Mutuz (W. Malecela) Vs Alberto Msando: Hii ni vita ya kupigania haki za wasanii au kopo la Coca?

Le Mutuz (W. Malecela) Vs Alberto Msando: Hii ni vita ya kupigania haki za wasanii au kopo la Coca?

Status
Not open for further replies.
- Wala usiwe na wasi wasi mkuu si unanijua huwa sina tatizo na anything kwa sababu ninajua ukweli wa ishu, huwezi kuwahukumu wasanii wote kwa sababu umekosa kopo, wanaomjua wote ndivyo walivyosema kwamba amekasirika kwa sababu wamemnyima kopo, simjui na wala sijwahi kumuona ila amenishangaza kwa Mwanasheria anayetaka kushika soko la Dar kunishambulia mimi kweli nimemshangaa sana, hivi unajua ni nani wanaosoma kila siku habari zangu kwenye mitandao? I mean what a joke!!

- Yeye angeongelea Wasanii wake tu sio kuchanganya kila mtu mimi sio msanii wake na after 30 years majuu kwenye anaamini sijui sheria ya kunilinda na kujisimamia? Please poleni sana ila kwenye hii ishu amekosea sana!1

Le Mutuz

Le Mutuz

Mkuu Asante! Ningefurahi na MsandoAlberto angejitokeza kwenye huu mjadala ingekuwa vizuri! Pengine wasanii anao wasimamia ndio walimwabia kuwa hawalipwi!

Lakini nini msimamo wako kuhusu lile linalosemwa kuwa hili swala la kuweka majina ya watu hasa mashuhuri kwenye makopo kuwa ni bure hata huko ulaya na Coca-cola husema ni zawadi tuu kwa wahusika!
 
Last edited by a moderator:




- Baada ya kuliona lile kopo hii kampuni ya American Engineering Group Inc, wakanipa mkataba mpya wa kuwatangaza Juzi Jumatano kwa Mwaka mmoja, jana nimesaini mktaba mpya na One Extreme Solutions TZ kuwatangaza for the next 2 years kwa sababu ya kuwa na kopo lenye jina langu, poleni sana msio na uwezo mkubwa wa kufikiri maana ni rahisi kuamini wengine wote tupo na akili finyu kama wewe, duh!!

Le Mutuz

Hongera ndugu..... Move on! You know! No time to argue.... Ha ha haaaaa!!
 
Kwanza mkuu ningekuomba u-apologise kwa ku-mislead jukwaa kuhusu picha ya Manchester United Class of92' sababu umeshindwa kutolea maelezo hiyo picha imetoka wapi? nani kaipiga?

Niombe radhi ya nini wakati nimeweka link ya nilipoitoa?

Hujaiona hiyo link ya gazeti la Daily Mail?
 
Nilivyoelewa baada ya maelezo ya W. J. Malecela, Coka wamewachukua maceleb kwenye uzinduz na kuwapa personalised Le Kopoz kama token.

As it looks, wanazouza zina majina ya kawaida kabisa tena moja moja. Mfano kwa Tz unaeza kuta Mrisho, Benjamin, Ali, Julius, etc. Kwa maelezo ya Le Mutu, hutakuta Le kopo la koka la Le Mutu likiuzwa kitaa.

Hiyo ndo Albert alikataa wasanii 'wake' wasikubali. Mfano ukute Le Kopo la Kidoti, AY, MwanaFA, etc. Hiyo itaenda moja kwa moja kwenye kuhitaji mikataba na malipo.

To that extent, kuna yoyote mwenye ushahidi wa jina la staa ambalo si common name, hata huko nje, lililotumika madukani ukiacha lile Le Kopoz la token?
 
Last edited by a moderator:
Nilivyoelewa baada ya maelezo ya W. J. Malecela, Coka wamewachukua maceleb kwenye uzinduz na kuwapa personalised Le Kopoz kama token.

As it looks, wanazouza zina majina ya kawaida kabisa tena moja moja. Mfano kwa Tz unaeza kuta Mrisho, Benjamin, Ali, Julius, etc. Kwa maelezo ya Le Mutu, hutakuta Le kopo la koka la Le Mutu likiuzwa kitaa.

Hiyo ndo Albert alikataa wasanii 'wake' wasikubali. Mfano ukute Le Kopo la Kidoti, AY, MwanaFA, etc. Hiyo itaenda moja kwa moja kwenye kuhitaji mikataba na malipo.

To that extent, kuna yoyote mwenye ushahidi wa jina la staa ambalo si common name, hata huko nje, lililotumika madukani ukiacha lile Le Kopoz la token?

Pili mkuu hakuna aliyelipwa kwenye hii scheme, kwahiyo hawa wanaopiga porojo hapa wamelipwa hakuna hata mmoja. Issue nzima ilikuwa ni kutumia common names na watu wajitolee wenyewe haikuwa swala la endorsement ya Coke sababu CocaCola brand yenyewe inajitosheleza.

Ila kama wenyewe walikubali hayo makopo kama appreciation ya kazi au michango yao kwa jamii ni wao wenyewe. Ila wajue CocaCola Tz watapiga hela na sales yao itaongezeka maradufu kama watatumia majina ya hao maselebu kuuza soda zao.

Wajinga ndiyo waliwao sababu maselebu wengi hapa home hawana menejimenti timilifu inayojua swala zima ya kutetea branda zao. Na ninavyojua mimi hapa nyumbani hakuna hata masanii mmoja mwenye IP na jina lake hivyo hata CocaCola wakiamua wanaweza kutumia majina yao na wasifanye chochote.
 
Last edited by a moderator:
Okay, sasa kama yapo tatizo liko wapi? Hayo majina yao yalichapishwa bila ridhaa yao?



Kusema ukweli mimi naona hapa kuna overreaction inayotokana na ujinga (ujinga siyo tusi, btw) tu.

Coca-Cola is a global conglomerate that has been around for almost 129 years. It doesn't need no-talent celebs to endorse its products.

Kilichotokea hapo ni win-win situation.



Sidhani kama Wema na Jide wanaweza kuongeza mauzo ya Coca-Cola.

Brand ya Coca-Cola ni iconic.

If anything, profile ya hao no-talent celebs ndo inaweza kuwa raised na Coca-Cola na pengine kuongeza idadi ya watu wanaowajua.

Lakini kudai eti Wema aongeze mauzo ya Coke kisa jina lake lipo kwenye chupa? Sidhani hata kidogo.

Labda kwa Azam Cola lakini siyo Coca-Cola, the iconic brand that's almost 129 years old.

Kaka Wema na Jide wanauwezo mkubwa wa kuongeza mauzo ya coke and trust me hata one bottle counts, wanaweza wakaongeza directly and inderctly Mf leo wema apost IG aombe followers 100 wajitokeze kununja soda yenye jina lake trust me wataumizana(hio ni directly) indirectly ni watu KUSHAWISHIKA kwenda na kuomba watengenezewe chupa zenye majina yao na ya wanaowataka(hata kwa wale wasiokunywa coke) hii ni alama ya kumbukumbu nak watataka wawe kama Jide..
 
Kutoka insta
 

Attachments

  • 1421436535428.jpg
    1421436535428.jpg
    59.1 KB · Views: 149
  • 1421436557451.jpg
    1421436557451.jpg
    80.4 KB · Views: 153
  • 1421436581648.jpg
    1421436581648.jpg
    81.3 KB · Views: 142
  • 1421436604093.jpg
    1421436604093.jpg
    66.9 KB · Views: 148
  • 1421436680148.jpg
    1421436680148.jpg
    69.6 KB · Views: 142
  • 1421436703693.jpg
    1421436703693.jpg
    91.5 KB · Views: 134
Le mutuz hana hekima hata tone....... Yule ni msomi vyeti ila kichwani big 0
Hamuwezi Msando
 
Wenyewe wakiwa na tabasamuuuu
 

Attachments

  • 1421437044432.jpg
    1421437044432.jpg
    62.9 KB · Views: 197
  • 1421437078933.jpg
    1421437078933.jpg
    69.3 KB · Views: 186
  • 1421437114939.jpg
    1421437114939.jpg
    60.1 KB · Views: 181
  • 1421437133734.jpg
    1421437133734.jpg
    57.1 KB · Views: 185
  • 1421437148543.jpg
    1421437148543.jpg
    71.7 KB · Views: 174
  • 1421437165444.jpg
    1421437165444.jpg
    67.4 KB · Views: 170
  • 1421437184938.jpg
    1421437184938.jpg
    81.2 KB · Views: 167
  • 1421437203277.jpg
    1421437203277.jpg
    62.2 KB · Views: 164
  • 1421437218048.jpg
    1421437218048.jpg
    62.9 KB · Views: 164
Ahsante kwa response nzuri.

Yeah,hapa elimu sahihi na uelewa wa kutosha ndio silaha kubwa kupindukia kabla ya hela. Upotofu unaleta hofu, kutojiamini na mwishowe kusababisha watu kuwa na maamuzi ya mwisho na yasiyo na mabadiliko hata pale panapohitaji mawazo mapya. Pole kwa kukumbana na vipingamizi ktk kuunda jamii yenye dira sahihi.

Na ndio maana wenzetu wana vyama ambavyo ni conservative, democratic, liberal etc ambavyo vinapambana kuleta mabadiliko, kuzuia mabadiliko yasiyo na msingi etc.Katik vuta nikuvute huku ndipo panapofikiwa muafaka ambao unaweza kuwa optimum. Yaani panakuwepo na constant process ya kufikia equilibrium. Sasa kwa bongo hapa tunachagua moja na kubaki huko matokeo yake hakuna cha kuturudisha ktk dira na yeyote atakayejaribu hilo anahukumiwa kuwa mpotoshaji.

Kuhusu kutumia traditional products km ngombe wa kienyeji na si wa hawa wa kisayansi(hata wazungu nao wana wao wa kiasili japo wanapungua) hiyo nayo ni ishue. Tatizo la wabongo hatupendi alternatives "Na ndio maana naamini kabisa km mbongo ndiye angegundua pikipiki baada ya kugundua baiskeli basi basikeli zingepotea na maendeleo yake yasingefika hapa yalipo leo". Na ndio maana tunakimbilia kutaka jenga majengo yote ya sehemu za starehe kwa kutumia malighafi za bei mbaya, huku anakuaj mzungu anajenga mabanda ya makuti na kuchuma hela kibao na kuishia zake.Tatizo hapa si nini (what), ila ni how (yaani aje). Sasa sisi huwa tunaishia ktk nini (what?) na kushindwa angalia how?

TEF wanachoweza fanya ni kuanzia wazo pale halipo na kulihimiza.

Attitude hii ya utoto wa mujini ndio imefanya Panya Road wazidi kuongezeka mujini.Utakula utoto wa mjini?
 
Nilivyoelewa baada ya maelezo ya W. J. Malecela, Coka wamewachukua maceleb kwenye uzinduz na kuwapa personalised Le Kopoz kama token.

As it looks, wanazouza zina majina ya kawaida kabisa tena moja moja. Mfano kwa Tz unaeza kuta Mrisho, Benjamin, Ali, Julius, etc. Kwa maelezo ya Le Mutu, hutakuta Le kopo la koka la Le Mutu likiuzwa kitaa.

Hiyo ndo Albert alikataa wasanii 'wake' wasikubali. Mfano ukute Le Kopo la Kidoti, AY, MwanaFA, etc. Hiyo itaenda moja kwa moja kwenye kuhitaji mikataba na malipo.

To that extent, kuna yoyote mwenye ushahidi wa jina la staa ambalo si common name, hata huko nje, lililotumika madukani ukiacha lile Le Kopoz la token?

Ulivyoeleza ndo haswa na mimi nilichokielewa tokea mwanzo.

Kwamba, si kwamba Coca-Cola wameingia kwenye long term deal na Wema au Le Mutuz na kwamba chupa za soda zenye majina yao zitakuwa zikiuzwa madukani kuanzia sasa kote nchini.

Hapana. Ni kwamba kwenye uzinduzi wamewachagua hao watu na baada ya hapo hutaenda kwenye baa na kukuta chupa ya Coke yenye jina la P Funk.

Pia, wamechagua majina kama 200 hivi yaliyo common ambayo yatachapishwa kwenye hizo chupa. Ila, ikitokea wewe jina lako si moja la hayo mia mbili basi na wewe unaweza kuomba chupa ya soda yako iwe personalized free of charge.

Hivyo ndivyo nilivyoelewa mimi na hivyo ndivyo Le Mutuz alivyoelezea.
 
Ila kama wenyewe walikubali hayo makopo kama appreciation ya kazi au michango yao kwa jamii ni wao wenyewe. Ila wajue CocaCola Tz watapiga hela na sales yao itaongezeka maradufu kama watatumia majina ya hao maselebu kuuza soda zao.

Hivi imesemwa kuwa Coca-Cola itayachapisha majina ya hao wasanii kwenye soda zitakazokuwa zinauzwa madukani na kwenye kumbi za starehe?
 
Hivi imesemwa kuwa Coca-Cola itayachapisha majina ya hao wasanii kwenye soda zitakazokuwa zinauzwa madukani na kwenye kumbi za starehe?

Mkuu not necessary wachapishe majina yao kwenye chupa zinazouzwa street, NO! kitendo cha kutoa Picha ya FidQ et al na kichupa chenye jina lake tayari ni promotion ya bure kwa CocaCola. Unaweza kuwadharau sababu ni bongo flavour/movie lakini kama ungekuwa na idea ya marketing and sales strategies ungeweza kunielewa ni nini naongea.

Hawa watu wana-followers na kwa nafasi zao influence yao ni kubwa kulinganisha mimi na wewe regardless of their background or education level.
 
Nilivyoelewa baada ya maelezo ya W. J. Malecela, Coka wamewachukua maceleb kwenye uzinduz na kuwapa personalised Le Kopoz kama token.

As it looks, wanazouza zina majina ya kawaida kabisa tena moja moja. Mfano kwa Tz unaeza kuta Mrisho, Benjamin, Ali, Julius, etc. Kwa maelezo ya Le Mutu, hutakuta Le kopo la koka la Le Mutu likiuzwa kitaa.

Hiyo ndo Albert alikataa wasanii 'wake' wasikubali. Mfano ukute Le Kopo la Kidoti, AY, MwanaFA, etc. Hiyo itaenda moja kwa moja kwenye kuhitaji mikataba na malipo.

To that extent, kuna yoyote mwenye ushahidi wa jina la staa ambalo si common name, hata huko nje, lililotumika madukani ukiacha lile Le Kopoz la token?

Mkuu not necessary wachapishe majina yao kwenye chupa zinazouzwa street, NO! kitendo cha kutoa Picha ya FidQ et al na kichupa chenye jina lake tayari ni promotion ya bure kwa CocaCola. Unaweza kuwadharau sababu ni bongo flavour/movie lakini kama ungekuwa na idea ya marketing and sales strategies ungeweza kunielewa ni nini naongea.

Hawa watu wana-followers na kwa nafasi zao influence yao ni kubwa kulinganisha mimi na wewe regardless of their background or education level.

Kwa mfano Juma Nature kwenye kutoa albamu yake ya Ugali alijaza watu Uwanja wa Taifa hii inaonyesha huyo mtu ana nafasi yake kwenye jamii kwa mantiki hiyo kibiashara anaweza kutumika na akainfluence sales sababu ana followers.

Mfano mdogo tu na wa Mwisho sikiliza kwa makini sana wimbo wa Afande Sele "Kioo cha Jamii"
 
Last edited by a moderator:
Sasa sikilizeni nyie watu, mimi nawapa taarifa za moja kwa moja kutoka global headquarters za Coca-Cola, Atlanta, GA.

Hii 'Share a Coke' campaign ilianzia Australia mwaka 2011 ambapo walianza kuweka majina yaliyo maarufu (popular) kwenye chupa na makopo ya Coke, Diet Coke na Zero.

Marekani hiyo campain ilianza summer ya mwaka jana, 2014.

Kwa mnaodai hao watu ambao majina yao yapo kwenye hayo makopo walipwe, sidhani kama mna hoja maana huko kwingine, hususan Marekani ambako hiyo soda inatengenezwa, hakuna aliyelipwa kisa eti jina lake lipo kwenye kopo la Coca-Cola.

Coca-Cola hawamuhitaji Aunty Ezekiel wala Wema Sepetu kujitangaza. They've been around for 128 years.

Sasa je, Tanzania hakuna majina ya watu wengine yaliyopo kwenye hayo makopo zaidi ya hao wasanii? Hakuna majina kama Bahati, Tumaini, Upendo, na mengineyo katika hayo makopo?



Americans can now get on a first-name basis with their bottle of Coca-Cola, Diet Coke and Coke Zero.

This summer, Coke is swapping out three of its iconic logos on 20-oz. bottles for the 250 most popular first names among American teens and Millennials. “Share a Coke”, which first launched in Australia in 2011 and has since rolled out in more than 50 countries, invites fans to find their names -- and the names of family members, friends, coworkers and people they’d like to know better -- on bottles of Coke, Diet Coke and Zero across the U.S.


“Summer is the perfect time to get together with others and share moments of happiness over an ice-cold Coke at barbecues, sporting events, family reunions, amusement park outings and other gatherings,” said Stuart Kronauge, senior vice president, sparkling brands, Coca-ColaNorth America. “Now, enjoying a Coke with your name on it and sharing the occasion with someone else makes these moments even more special.”


Shareable 1.25- and 2-liter bottles will sport group names like “Family” and “Friends”, and colloquial nicknames like “BFF,” “Star,” “Bestie,” “Legend,” “Grillmaster,” “Buddy” and “Wingman” will appear on 12-oz. cans. The terms will express each brand’s individual personality.


“Share a Coke” packaging will roll out nationwide in June and will remain on the shelves through August. The campaign will come to life online and via social media, too. Starting Thursday, fans can visit www.shareacoke.com to personalize virtual bottles and share them with friends via Facebook, tumblr, Twitter and Instagram.


By using the #ShareaCoke hashtag, consumers can share their stories and photos for the chance to be featured on interactive Coke billboards across the country. And anyone with the free Coca-Cola Freestyle mobile app can scan a QR code on the fountain dispenser’s touch screen and send a friend a coupon for a $1 off a 20-oz. Coke.


Kronauge said the campaign puts a modern, youthful twist on the brand’s 128-year legacy of bringing people together and making them feel special. “For teens and Millennials, personalization is not a fad, it’s a way of life,” she adds. “It’s about self-expression, individual storytelling and staying connected with friends. ‘Share a Coke’ taps into all of those passions.”

Initial response across social media has been strong, according to Jennifer Healan, group director, integrated marketing content and design, Coca-Cola North America.


“‘Share a Coke’ is designed to get people talking and sharing,” she said. “When teens see that the iconic Coca-Cola logo has been replaced by their name or their friends’ names, they can’t help but take a picture and post it online.”


Coke will amplify and curate the #ShareaCoke conversation via its social channels.


“We’ll not only be talking about the names on bottles, but also putting a great deal of focus on celebrating real moments of sharing and the stories behind them,” Healan adds. “We’ll highlight the best examples to encourage sharing among our fans and followers and inspire teens to recreate these sharing moments with their friends.”


Momentum is expected to build as more personalized packs reach the market and a multifaceted advertising campaign kicks off on July 1.


A 500-stop, cross-country “Share a Coke” tour featuring traveling kiosks will enable fans to customize a Coca-Cola mini can for themselves and a second can for someone special. The tour will satisfy fans who can’t find their names on store shelves.


Coca-Cola

After reading this,i have nothing to add

Thanks Nyani Ngabu
 
Last edited by a moderator:
Mbona yule bikra wa kisukuma nae naona anasema kuna mtu anaona wivu cos jina lake halipo.. nikajua anamuongelea le mutu

Hivi huyu bikira wa kisukuma mbna kajipatia umaarufu kizembe namna hii??? Anahusika na nini haswa ukichia hiyo akaunti yake ya instagram
 
Wajamvi wasalaam.

Kuna vita ya maneno imezuka na inayo endelea kati ya Lemutuz na Mwana sheria Albert Msando.
Hii vita ya maneno imezuka baada ya kampuni ya Coca-cola kutangaza kampeni ya kuweka majina ya watu maarufu kwenye makopo ya Kinywaji cha Coca-cola na bila shaka hii vita imezuka baada ya wawili hao kushindwa kuelewana kwenye hili swala maana kila mmoja ana malengo yake.

Lemutuz ameonesha kuwa Msando ana wivu kwa kuwa jina lake halipo kwenye list ya watakao wekwa kwenye makopo huku Msando akisisitiza kuwa Wasanii wasikubali kuwekwa Majina yao kama hawalipwi na akisema kukubali hilo ni kukubali unyonyaji.

Kimsingi Alberto Msando amepinga wasanii anao wasimamia kukubali kuwekwa majina yao kwenye vinywaji hivyo bila malipo yeyote yale. Na katika hili nami naungana na Msando kuwashauri Wasanii wote au watu maarufu kutokubali mpango huu wa kutumika majina yao kuwatajirisha Coca-cola.

Kimsingi Coca-cola watatumia Majina ya Wasanii na watu maarufu kuingiza pesa huku wenye majina wakibaki watupu mifukoni! Hakika hili litatokea Tanzania pekee kama watu watakubali kutumiwa bure.

Kuna watu wako tayari kutumiwa bure lakini hawa Wasanii wetu kwakweli itakuwa ni aibu sana na sitaki kuamini kama Coca-cola wana mpango wa kuwanyonya Wasanii kwa njia hii huku wao wakitajirika.

Wasanii wanatakiwa kuonesha msimamo wao kwenye hili na kulipinga na wahakikishe wanalipwa ndio wakubaliane na mpango huu.

Katika hili kuna mmoja anapigania haki za Wasanii na mwingine anapigania kopo la Coca-cola
Karibuni wanajamvi.

attachment.php
attachment.php


Mkuu nsando vs lemutuz heading haipo sawa ni kudhalilisha jamii ya Learned Brothers & Sisterz.Nsandro ametoa Legal advice huyu mburura ye kaongea ki lay man.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom