Lebanon yaishutumu Iran kwa kuingilia masuala yake ya ndani

Lebanon yaishutumu Iran kwa kuingilia masuala yake ya ndani

Iran

Lebanon yaishutumu Iran kwa kuingilia masuala yake ya ndani​

xx

Chanzo cha picha, Reuters

Waziri Mkuu wa Lebanon Najib Mikati ameelezea kughadhabishwa kwake na kauli iliyotolewa na spika wa bunge la Iran juu ya mustakabali wa kusini mwa Lebanon.

Spika wa Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amejitolea kufanya mazungumzo na Ufaransa kuhusu azimio nambari 1701 la Umoja wa Mataifa, ambalo lilimaliza mzozo mkubwa wa mwisho kati ya Israel na Hezbollah mwaka 2006 na kuupa Umoja wa Mataifa mamlaka ya kulisaidia jeshi la Lebanon kudumisha amani.

Mikati alielezea kauli ya Iran kama "uingiliaji wa wazi katika masuala ya Lebanon na jaribio la kuanzisha ulezi usiokubalika dhidi ya Lebanon".

Hezbollah inachukuliwa kuwa wakala wa Iran - ambayo hutoa ufadhili wake mwingi na silaha - na kwa kambi yake kubwa ya wabunge bungeni, ina ushawishi mkubwa kwa serikali ya Lebanon.

Qalibaf alikuwa Lebanon wikendi iliyopita tu, alipokutana na waziri mkuu.

Mikati anasema ameomba baraza la mawaziri la Iran kutoa ufafanuzi kuhusiana na taarifa hiyo - akiongeza kwamba mazungumzo yoyote kuhusu Azimio nambari 1701 yanapaswa kufanywa na serikali ya Lebanon.
Iran ni shetani. Iran inachukiwa na serikali zote za mataifa ya kiarabu kutokana na kupandikiza makundi ya magaidi kwenye mataifa yao, na kuzidhoofisha serikali za nchi hizo.

Kwa ujumla mataifa ya kiarabu yana uhusiano mzuri na Israel kuliko Iran. Ndiyo maana hakuna Setikali ya nchi ya kiarabu inayoweza kuyasaidia makundi ya kigaidi ya Iran. Kwa sasa serikali za mataifa ya kiarabu yanachofanya ni kuisaidia Israel kwa kuipa taarifa za kiintelijensia dhidi ya Iran na makundi yake ya kigaidi.

Ifahamike kuwa magaidi wa Houthi, hukoYemen ndio walimwua Rais wa Yemen, Ali Salehe eti kwa nini anafanya mazungumzo na Ufaransa na Uingereza. Haya makundi yote ni ya Iran.

2017

Yemen: Ex-President Ali Abdullah Saleh killed​

Former leader killed in grenade and gun attack, Houthis say, as death is also confirmed by Saleh’s own political party.
Yemen’s ousted leader Ali Abdullah Saleh has been killed by Houthi rebels near the capital, Sanaa, a development expected to have major implications for the war in the Arab world’s poorest country.

The death was first announced on Monday by the Sanaa-based interior ministry, controlled by Saleh’s allies-turned-foes, the Houthi rebel group.
 
Hamna lolote hizo ni propaganda za Israel na US. Sunni na Shia wako miaka wanaishi kwa amani pamoja aliye leta hii fitna ni hao US na Israel kwa faida zao

Siyo kweli. Wewe ni mwongo mkubwa au siyo mfuatiliaji, na hivyo hujui chochote.

Kuna uhasama mkubwa sana kati ya Washia na Wasunni. Uhasama huo unachochewa na Iran inayoamini kuwa kila nchi ambako kuna washia, serikali ni lazima iongozwe na washia, na ifuate sharia law, iwe chini ya kiongozi mkuu wa kidini, kama ilivyo Iran.

Ndiyo maana nchi zote za kiarabu ambazo serikali zao zinaongozwa na wasunni, haziitaki kabisa Iran.

Serikali ya wasunni ya Iraq ilipigana na Iran kwa zaidi ya miaka 10. Serikali ya wasuni ya Lebanon, imedhoofishwa na Iran kupitia hezbollah. Serikali ya wasunni ya Yemen ni kama imemalizwa kabisa na Houthis; kiongozi wake mkuu aliondolewa na Houthi, kisha wakamwua. Saudia kwa miaka yote ilikataa kabisa uhusiano wa kibalozi na Iran. Kwa mara ya kwanza wamefungua mahusiano mwaka jana.
 
Siyo kweli. Wewe ni mwongo mkubwa au siyo mfuatiliaji, na hivyo hujui chochote.

Kuna uhasama mkubwa sana kati ya Washia na Wasunni. Uhasama huo unachochewa na Iran inayoamini kuwa kila nchi ambako kuna washia, serikali ni lazima iongozwe na washia, na ifuate sharia law, iwe chini ya kiongozi mkuu wa kidini, kama ilivyo Iran.

Ndiyo maana nchi zote za kiarabu ambazo serikali zao zinaongozwa na wasunni, haziitaki kabisa Iran.

Serikali ya wasunni ya Iraq ilipigana na Iran kwa zaidi ya miaka 10. Serikali ya wasuni ya Lebanon, imedhoofishwa na Iran kupitia hezbollah. Serikali ya wasunni ya Yemen ni kama imemalizwa kabisa na Houthis; kiongozi wake mkuu aliondolewa na Houthi, kisha wakamwua. Saudia kwa miaka yote ilikataa kabisa uhusiano wa kibalozi na Iran. Kwa mara ya kwanza wamefungua mahusiano mwaka jana.
dogo we unishinde mimi navyo ifahumu Lebanon toka lini serekali ya Lebanon iliongozwa na Shia? Nipe point, unarukia kunita muongo we hata hujui lolote kuhusu Lebanon.

Lebanon wana sheria ya mkataba unaitwa mkataba wa Taif ulio fanyika Saud Arabia, huo mkataba unasema Rais awe mkristo na PM awe sunni na Speaker of the Parliament awe mshia.

Usiniletee ujinga wa story za kujitungia hapa leta fact za ukweli na uwe na dalili.

Lebanon usidhani US na Europe hata wawe na influence vipi na PM hachaguliwi Raisi bila Hezbullah kupendekeza huyo Rais mkristo na hata kama Hezbullah atakaa pembeni kwenye hio issue Mkuu wa Majeshi lazma awe very close na Hezbullah huo ndio ukweli

US, Europe, Israel na Saud Arabia wameshindwa kabisa kubadilisha hapo hata wafanye vipi.

Na lazima ufahamu Hezbullah mara nyingi sana ndio anaweza kuamua vita hapo Lebanon sio serekali. Hata US akienda kuongelea peace pale anajua bila Hezbullah kukubali hakuna jipya litatokea.

Poleni sana Hezbullah ipo na itabaki hapo hata US na Israel watie fitna hakuna mwenye uwezo wakuwatoa hao sio US sio Israel sio Saud Arabia sio vibaraka wa US na Saudi waliopo Lebanon.
 

Lebanon yaishutumu Iran kwa kuingilia masuala yake ya ndani​

xx

Chanzo cha picha, Reuters

Waziri Mkuu wa Lebanon Najib Mikati ameelezea kughadhabishwa kwake na kauli iliyotolewa na spika wa bunge la Iran juu ya mustakabali wa kusini mwa Lebanon.

Spika wa Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amejitolea kufanya mazungumzo na Ufaransa kuhusu azimio nambari 1701 la Umoja wa Mataifa, ambalo lilimaliza mzozo mkubwa wa mwisho kati ya Israel na Hezbollah mwaka 2006 na kuupa Umoja wa Mataifa mamlaka ya kulisaidia jeshi la Lebanon kudumisha amani.

Mikati alielezea kauli ya Iran kama "uingiliaji wa wazi katika masuala ya Lebanon na jaribio la kuanzisha ulezi usiokubalika dhidi ya Lebanon".

Hezbollah inachukuliwa kuwa wakala wa Iran - ambayo hutoa ufadhili wake mwingi na silaha - na kwa kambi yake kubwa ya wabunge bungeni, ina ushawishi mkubwa kwa serikali ya Lebanon.

Qalibaf alikuwa Lebanon wikendi iliyopita tu, alipokutana na waziri mkuu.

Mikati anasema ameomba baraza la mawaziri la Iran kutoa ufafanuzi kuhusiana na taarifa hiyo - akiongeza kwamba mazungumzo yoyote kuhusu Azimio nambari 1701 yanapaswa kufanywa na serikali ya Lebanon.

Hawataki Lebanon igeuke Gaza..

1729367653030.png
 
Basi lileeleweka. ndo maana viongozi wa Hezbollah wanauawa kama kuku. Kumbe usaliti upo ndani ya lebaanoni. Inaonesha Hezbolah haipendwi Lebanon.
Sio USALITI bali huo ndio UZALENDO. Ukivamiwa na kunguni, huwatoi kwa kuwasha dawa ya mbu. Kunguni wakivamia godoro lako UNACHOMA GODORO na hata KITANDA ili kuhakikisha unau wazee,vijana, watoto hadi mayai yao.

Hezbullah ni KUNGUNI. Lebanoni inasaidiana na wataalam kuchoma magodoro na vitanda. Huwezi kumwambia avumilie, bila kujua adha anayo ipata kutoka kwa kunguni hao. Maswala ya ndani ya Lebanon, ni Lebanon tu ndiye mwenye mamlaka hao IRAN wapandikizi wa kunguni nani anawataka dunia hii.
 
Back
Top Bottom