LeBron James avunja rekodi ya Kareem Abdul Jabal awa mfungaji wa muda wote NBA

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
5,445
Reaction score
14,828
Leo hii Lebron James anaivunja rekodi hiyo na atakuwa kinara wa mabao huko NBA kwa sasa King 👑 James hana mpinzani na inaaminika huenda akajengewa sanamu lake pale Ikulu ya Marekani.

Huyu Lebron ni kama ujumuishe Curry, Jordan, Magic, Shaquille na Durant ndio upate kiwango chake hivyo unaweza kuona ni mchezaji wa aina gani.


=============

LeBron James aweka rekodi ya mchezaji aliyefunga pointi nyingi NBA

Ameweka rekodi hiyo na kumzidi Kareem Abdul-Jabbar baada ya kufikisha pointi 38,388 wakati akiichezea timu yake ya Los Angeles Lakers dhidi ya Oklahoma City Thunder.

Kabla ya kuivunja rekodi hiyo iliyodumu kwa miaka 34, James alihitaji pointi 36 kuifukia lakini akafanikiwa kufunga pointi 38 huku akishuhudiwa na Abdul-Jabbar ambaye alikuwa uwanjani.

Amefanikiwa zoezi hilo zikiwa zimesalia sekunde 10.9 mchezo kumalizika ambapo Lakers ilipoteza kwa vikapu 133-130
 
Huyu Lebron ni kama ujumuishe Curry, Jordan, Magic, Shaquille na Durant ndio upate kiwango chake hivyo unaweza kuona ni mchezaji wa aina gani.
Mtoe Curry hapo.

Mie shabiki dam dam wa LA Lakers na Lebron ila Curry pekee ndo hunifanya niangalie games za warriors, jamaa ni very calm na mchezo wake ni tofauti sana na wa kina lebron na wengine coz wanatumia sana nguvu. Hao kina Shaq sawa lkn Curry yupo kwenye dimension yake peke yake, Kobe Bryant aliwahi kukiri kwamba Calmness ya Curry ni hatari na hajawahi kuiona ppt pale
 
Warrior are playing bad basketball hivi unamtoaje Kevon Looney from the starting lineup na hizo dakika ishirini ndio leading rebounder.

How you gonna trade GP2 to Blazers ambae tayari ameilewa system, defensive reliable and replace him na watu kama Diviceonzo and other crap.

The only reason Curry is great is because he is allowed to take lots of shots at this moment, otherwise Warriors has a lot of shooters kama umeangalia game yao ya mwisho na Oklahoma even without Curry.

For now they’re just a bad team, too much turnovers and offensive thinking kushinda defence. Yaani Steve Kerr anaweza mtoa mtu ambae yupo on fire offensively au defensively mpaka unajiuliza vipi
 
Mkuu unajua kuwa lebron James pote alipopita amebeba ubingwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…