Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoe Curry hapo.
Mie shabiki dam dam wa LA Lakers na Lebron ila Curry pekee ndo hunifanya niangalie games za warriors, jamaa ni very calm na mchezo wake ni tofauti sana na wa kina lebron na wengine coz wanatumia sana nguvu. Hao kina Shaq sawa lkn Curry yupo kwenye dimension yake peke yake, Kobe Bryant aliwahi kukiri kwamba Calmness ya Curry ni hatari na hajawahi kuiona ppt pale
No offense MalcolM XII umefatilia career ya lebron James vizuri lakini?No offence but Curry all the time!
Naimagine huyo jamaa aliyemzidi urefu LeBron James sijui atakuwa na muonekano gani!Tayari naona kishavunja quarter ya 3 imeisha ana 36pts.
View attachment 2510022
Duh hapa Stive C hayupo??Hii ndio list ya ufungaji bora sasaivi Lakers wako uwanjani na Oklahoma city thunder ntaiupdate mechi ikiisha.View attachment 2510009
Kareem huyo, na ndo alokua anashikiria record, ni tall hadi anaboa. Inaonekana alikuaga hata aruki, anaweka tu mpira kikapunNaimagine huyo jamaa aliyemzidi urefu LeBron James sijui atakuwa na muonekano gani!
Kareem huyo, na ndo alokua anashikiria record, ni tall hadi anaboa. Inaonekana alikuaga hata aruki, anaweka tu mpira kikapun
View attachment 2510185
Ile ring ya bubble hatuhesabii kama real ring kwa sie wengine..Mkuu unajua kuwa lebron James pote alipopita amebeba ubingwa?
He is Five time champ as a player & 4 Times champ as a couch. Anyone who doubts Steve Kerr huwa namshangaa sana.Warrior are playing bad basketball hivi unamtoaje Kevon Looney from the starting lineup na hizo dakika ishirini ndio leading rebounder.
How you gonna trade GP2 to Blazers ambae tayari ameilewa system, defensive reliable and replace him na watu kama Diviceonzo and other crap.
The only reason Curry is great is because he is allowed to take lots of shots at this moment, otherwise Warriors has a lot of shooters kama umeangalia game yao ya mwisho na Oklahoma even without Curry.
For now they’re just a bad team, too much turnovers and offensive thinking kushinda defence. Yaani Steve Kerr anaweza mtoa mtu ambae yupo on fire offensively au defensively mpaka unajiuliza vipi
Ni ngumu sana.. Labda kama hawa akina Luca, Ja Morant, Jayson Tatum watacheza mpaka kufikia huo umri wa Bron kwa consistence hii hii bila kupata majeraha ya muda mrefu labda tunaweza kushahudia rekodi yake ikivunjwa baada ya miaka 15 huko baadae.Tuna bahati kuwashuhudia Messi na Ronaldo, na sasa LeBron akifanya yake.
Hii historia tuliyoishuhudia LeBron akiiweka, naamini itachukua miaka zaidi ya 40 ambayo imechukua rekodi ya AbdulJabar kuvunjwa, na hiyo ni kama atatokea kiumbe wa kuivunja.
Curry goat tena????😂😂😂😂😂No matter what Lakin curry ni goat
Hao uliowataja hawawezi kuivunja hii rekodiNi ngumu sana.. Labda kama hawa akina Luca, Ja Morant, Jayson Tatum watacheza mpaka kufikia huo umri wa Bron kwa consistence hii hii bila kupata majeraha ya muda mrefu labda tunaweza kushahudia rekodi yake ikivunjwa baada ya miaka 15 huko baadae.