LeBron James avunja rekodi ya Kareem Abdul Jabal awa mfungaji wa muda wote NBA

LeBron James avunja rekodi ya Kareem Abdul Jabal awa mfungaji wa muda wote NBA

Warrior are playing bad basketball hivi unamtoaje Kevon Looney from the starting lineup na hizo dakika ishirini ndio leading rebounder.

How you gonna trade GP2 to Blazers ambae tayari ameilewa system, defensive reliable and replace him na watu kama Diviceonzo and other crap.

The only reason Curry is great is because he is allowed to take lots of shots at this moment, otherwise Warriors has a lot of shooters kama umeangalia game yao ya mwisho na Oklahoma even without Curry.

For now they’re just a bad team, too much turnovers and offensive thinking kushinda defence. Yaani Steve Kerr anaweza mtoa mtu ambae yupo on fire offensively au defensively mpaka unajiuliza vipi
Hata wewe ungekua ni coach, na una mchezaji who is too good at converting them 3 or 2 point shots, huwezi mnyima au kubania nafasi ya kushoot. Utakua ni uzwazwa kumnyima asishoot. Kuhusu kuachia wachezaji wazuri kama Garry Payton na wengine kweli ni kosa. Ila hii pia huwa ni gamble or a much calculated move for future round picks.

Clay, Draymond and Curry. Hawana zaidi ya miaka mitano pamoja pale. Na nina uhakika executives wa warriors wameliona hilo and they are already preparing themselves for what is to come
 
Tuna bahati kuwashuhudia Messi na Ronaldo, na sasa LeBron akifanya yake.

Hii historia tuliyoishuhudia LeBron akiiweka, naamini itachukua miaka zaidi ya 40 ambayo imechukua rekodi ya AbdulJabar kuvunjwa, na hiyo ni kama atatokea kiumbe wa kuivunja.
Sidhani kama itachukua miaka 40 kuvunjwa. Kwa pace ya nba games ilivyo and how much softer it keeps on gettin everyday which allows players to score more points
 
Unafurahisha sana mkuu yaani Stephen Curry umfaninishe na King Lebron james?
Curry michezo 880 ana vikapu 1500


King James kacheza michezo zaidi ya 1500 kuvunja hiyo rekod.


Kahesabu Curry anaenda kuvunja hiyo rekod tena haitachukua miaka 40

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Warrior are playing bad basketball hivi unamtoaje Kevon Looney from the starting lineup na hizo dakika ishirini ndio leading rebounder.

How you gonna trade GP2 to Blazers ambae tayari ameilewa system, defensive reliable and replace him na watu kama Diviceonzo and other crap.

The only reason Curry is great is because he is allowed to take lots of shots at this moment, otherwise Warriors has a lot of shooters kama umeangalia game yao ya mwisho na Oklahoma even without Curry.

For now they’re just a bad team, too much turnovers and offensive thinking kushinda defence. Yaani Steve Kerr anaweza mtoa mtu ambae yupo on fire offensively au defensively mpaka unajiuliza vipi
Basi mtaanza kubishana na kugombana japo mmeleta kitu kizuri, Lazima mkubaliane kutokukubaliana.
 
Curry michezo 880 ana vikapu 1500


King James kacheza michezo zaidi ya 1500 kuvunja hiyo rekod.


Kahesabu Curry anaenda kuvunja hiyo rekod tena haitachukua miaka 40

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Haiwezekani kamwe unajua lebron kampita zaidi ya magoli 17,000/= na Curry ana miaka 34 hapa unaeza kuona hilo gape na ili curry ampite lebron inabidi kila msimu awe anafunga points 4500 na asiwe na injury. Watu wengi mnamkubali curry ila yeye mwenyewe anakwambia hilo jambo haliwezekani kamwe!
 
Ni ngumu sana.. Labda kama hawa akina Luca, Ja Morant, Jayson Tatum watacheza mpaka kufikia huo umri wa Bron kwa consistence hii hii bila kupata majeraha ya muda mrefu labda tunaweza kushahudia rekodi yake ikivunjwa baada ya miaka 15 huko baadae.
Honestly, sioni hiyo ikitokea kwa hawa watoto wa sasa.
 
Haiwezekani kamwe unajua lebron kampita zaidi ya magoli 17,000/= na Curry ana miaka 34 hapa unaeza kuona hilo gape na ili curry ampite lebron inabidi kila msimu awe anafunga points 4500 na asiwe na injury. Watu wengi mnamkubali curry ila yeye mwenyewe anakwambia hilo jambo haliwezekani kamwe!
Na hiyo uki_assume pia LeBron amestaafu baada ya mechi ya leo.
 
Kevin Durant

Russel Westbrook

James harden

Steph curry

DeMar DeRozan

Hao ndio players walio active hadi sasa kwenye 50 scoring leaders tukimtoa lebron James.

Hongera kwa king James ila pia pia imechangiwa kuwa na consistency ya ufungaji na kuwahi mapema kuingia kwenye league since Yuko 18 years akiotoka high school

Now walio drafted wengi ni kutoka college/university.
 
Unafurahisha sana mkuu yaani Stephen Curry umfaninishe na King Lebron james?
Kitu pekee lebron anachomzidi Steph ni urefu na uwezo wa kudunk labda na defence kidogo.

Defense sema Ina range nyingi Kwenge number of blocks and steals

Lebron has good number of block(his height) wakati curry ana good number of steals(now days)

Kwenye scoring wote wako sawa lebron na curry wote ni scoring players you can ralay

Dribbling and ball handling Steph kamwacha lebron mbali sana.

Shooting ndio kabisa hapo hatuzungumzi Steph ni greatest shooters of all time.

Free throw both Wana good numbers.

Lay ups both can do them in good way.

Playmaking both are playmakers.

Team leaders both of them.

Asist wote wako vizuri.

Hawana turnovers nyingi the passing accuracy ni kubwa.

Nachoweza kusema Kila mmoja ana uzuri wake

Lebron anaoneka Yuko complete sababu pia urefu wake umechangia kuweza fanya yote lakini sio wachezaji wote warefu wanaweza fanya anayofanys lebron kile ni kipaji.

Steph tokana kuwa na mfupi katika 6'3 (kibongo bongo mrefu sana) aliamua kuutilize hizi shooting prowess maana huwezi dunk mbele ya mijitu yenye 6'9-7'3 foots watakublock tu labda utafuta majeruhi ya lazima ( yule dogo Ja Morant same height na curry soon atakuwa injury prone).

So Steph kaamua kuwa mdunguaji na kashinda 4 rings kwa shooting skills tu. Ana very few dunks pis na lay ups za kutosha.

Kama kwenye Soka utasema Steph curry ni kama Messi yeye anatungua kwa guu lake la kushoto na mfupi.hana magoli ya vichwa kama Ronaldo Wala a mguu wa kulia mengi lakini huwezi deny his ability his the GOAT.This is Steph curry.
 
Mtoe Curry hapo.

Mie shabiki dam dam wa LA Lakers na Lebron ila Curry pekee ndo hunifanya niangalie games za warriors, jamaa ni very calm na mchezo wake ni tofauti sana na wa kina lebron na wengine coz wanatumia sana nguvu. Hao kina Shaq sawa lkn Curry yupo kwenye dimension yake peke yake, Kobe Bryant aliwahi kukiri kwamba Calmness ya Curry ni hatari na hajawahi kuiona ppt pale
Steph curry changed the games for good.

Siku hizi kama huwezi shoot ball we mzembe tu.

Kutumia mabavu bulldozing kwenye oldskool basketball imeonekana ushamba tu.

Still Kuna wachezaji wanacheza Ile staili hadi Sasa mcheki Giannis antentokumnpo anacheza complete old skool basketball miguvu mingi. Basketball ya wahuni wa zamani[emoji1]akina shaq,
 
Warrior are playing bad basketball hivi unamtoaje Kevon Looney from the starting lineup na hizo dakika ishirini ndio leading rebounder.

How you gonna trade GP2 to Blazers ambae tayari ameilewa system, defensive reliable and replace him na watu kama Diviceonzo and other crap.

The only reason Curry is great is because he is allowed to take lots of shots at this moment, otherwise Warriors has a lot of shooters kama umeangalia game yao ya mwisho na Oklahoma even without Curry.

For now they’re just a bad team, too much turnovers and offensive thinking kushinda defence. Yaani Steve Kerr anaweza mtoa mtu ambae yupo on fire offensively au defensively mpaka unajiuliza vipi
Mzee huwezi waelewa GSW.

Wanajaribu kugroom new talents ziendane na system yao.

Kuna madogo pale Wana vipaji sana ila hawana minutes za kutosha akina KUMINGA, MOODY, BALDIWN, etc.

Huwezi chezesha veteran Kila wakati Hawa wanaweza pata injury ikawacost team.

Veterans Wana umuhimu sawa wakati wa playoffs ukianza sababu Wana exprinence kubwa na jamaa wanataka team ifike playoffs veterans wote wakiwa health, na bench players wakiwa wamepata moto.

Cheki hata stats zao kwenye hii regular season wako katika balance sheet Wana save energy for playoffs games achana na wale wenye winning games nyingi wakifika playoff ulimi nje.

Hii GSW wamejifunza baada ya ile rekodi yao ya 72-9 na still wakalose Kes CAVs final games.

So jamaa siku hizi wanatumia regular season games kuwapasha hawa madogo mcheki KUMINGA na Poole walivyo Sasa.

Usiombe Hawa jamaa waje playoff wazima wote mmekwisha halafu umeona Klay anavyofanya mambo.
 
Hata wewe ungekua ni coach, na una mchezaji who is too good at converting them 3 or 2 point shots, huwezi mnyima au kubania nafasi ya kushoot. Utakua ni uzwazwa kumnyima asishoot. Kuhusu kuachia wachezaji wazuri kama Garry Payton na wengine kweli ni kosa. Ila hii pia huwa ni gamble or a much calculated move for future round picks.

Clay, Draymond and Curry. Hawana zaidi ya miaka mitano pamoja pale. Na nina uhakika executives wa warriors wameliona hilo and they are already preparing themselves for what is to come
Ndio wanachofanya Sasa kujiandaa na the future.
 
Mzee huwezi waelewa GSW.

Wanajaribu kugroom new talents ziendane na system yao.

Kuna madogo pale Wana vipaji sana ila hawana minutes za kutosha akina KUMINGA, MOODY, BALDIWN, etc.

Huwezi chezesha veteran Kila wakati Hawa wanaweza pata injury ikawacost team.

Veterans Wana umuhimu sawa wakati wa playoffs ukianza sababu Wana exprinence kubwa na jamaa wanataka team ifike playoffs veterans wote wakiwa health, na bench players wakiwa wamepata moto.

Cheki hata stats zao kwenye hii regular season wako katika balance sheet Wana save energy for playoffs games achana na wale wenye winning games nyingi wakifika playoff ulimi nje.

Hii GSW wamejifunza baada ya ile rekodi yao ya 72-9 na still wakalose Kes CAVs final games.

So jamaa siku hizi wanatumia regular season games kuwapasha hawa madogo mcheki KUMINGA na Poole walivyo Sasa.

Usiombe Hawa jamaa waje playoff wazima wote mmekwisha halafu umeona Klay anavyofanya mambo.
I get what they are trying to achieve but it’s too costly.

Worst walikuwa na vijana last year the likes of Tuscano Anderson and GP2 on the roaster jumlisha na Kaminga, Moody, Wiseman ambao bado wanajifunza system. Shida they traded some of those players na kuleta wengine.

Nini sasa kinachoendelea hawa vijana wamekuwa not consistent, they make lots of unforced errors, offensively erratic taking bad shots, it’s just chaos when the second group plays the only credible ball handler ni JP and now he is starting.

Nadhani wamebadili since January second unit inakuwa na two players hasa Curry until his injury. Ila bado turnovers ni shida so careless with the ball all of them including Curry, Klay na Draymond sasa I don’t see other learning the good habit kama veterans wenye ndio culprit kwenye turnover.

If you ask me Curry akiacha kuwa primary scorer and more of a facilitator offensively (like Harden’s role in Philly) I am not saying aache offence yake kama Harden but be a facilitator more often kuliko kutafuta shot. Hiyo itatoa nafasi ya mtu kama Wiseman to get more minutes and besides they have other good scorers but erratic with curry leadership they could get better.

Ni hivi I watch warriors a lot they are just not playing good basket ball only that they have lots of good shooters and if they explode hakuna wa kwenda nao but you can’t be hot each game.

I feel bad for Wiseman wakati wenzake high ranking picks this season got max or good extension, yeye value yake imeshuka mno yes injury imechangia but he is not given opportunity to play and he was the second pick. I don’t fancy warriors this season they haven’t gelled as a team they just play bad basket ball.
 
Mzee huwezi waelewa GSW.

Wanajaribu kugroom new talents ziendane na system yao.

Kuna madogo pale Wana vipaji sana ila hawana minutes za kutosha akina KUMINGA, MOODY, BALDIWN, etc.

Huwezi chezesha veteran Kila wakati Hawa wanaweza pata injury ikawacost team.

Veterans Wana umuhimu sawa wakati wa playoffs ukianza sababu Wana exprinence kubwa na jamaa wanataka team ifike playoffs veterans wote wakiwa health, na bench players wakiwa wamepata moto.

Cheki hata stats zao kwenye hii regular season wako katika balance sheet Wana save energy for playoffs games achana na wale wenye winning games nyingi wakifika playoff ulimi nje.

Hii GSW wamejifunza baada ya ile rekodi yao ya 72-9 na still wakalose Kes CAVs final games.

So jamaa siku hizi wanatumia regular season games kuwapasha hawa madogo mcheki KUMINGA na Poole walivyo Sasa.

Usiombe Hawa jamaa waje playoff wazima wote mmekwisha halafu umeona Klay anavyofanya mambo.
Mzee unajua sana
 
I get what they are trying to achieve but it’s too costly.

Worst walikuwa na vijana last year the likes of Tuscano Anderson and GP2 on the roaster jumlisha na Kaminga, Moody, Wiseman ambao bado wanajifunza system. Shida they traded some of those players na kuleta wengine.

Nini sasa kinachoendelea hawa vijana wamekuwa not consistent, they make lots of unforced errors, offensively erratic taking bad shots, it’s just chaos when the second group plays the only credible ball handler ni JP and now he is starting.

Nadhani wamebadili since January second unit inakuwa na two players hasa Curry until his injury. Ila bado turnovers ni shida so careless with the ball all of them including Curry, Klay na Draymond sasa I don’t see other learning the good habit kama veterans wenye ndio culprit kwenye turnover.

If you ask me Curry akiacha kuwa primary scorer and more of a facilitator offensively (like Harden’s role in Philly) I am not saying aache offence yake kama Harden but be a facilitator more often kuliko kutafuta shot. Hiyo itatoa nafasi ya mtu kama Wiseman to get more minutes and besides they have other good scorers but erratic with curry leadership they could get better.

Ni hivi I watch warriors a lot they are just not playing good basket ball only that they have lots of good shooters and if they explode hakuna wa kwenda nao but you can’t be hot each game.

I feel bad for Wiseman wakati wenzake high ranking picks this season got max or good extension, yeye value yake imeshuka mno yes injury imechangia but he is not given opportunity to play and he was the second pick. I don’t fancy warriors this season they haven’t gelled as a team they just play bad basket ball.
Vingereza vya ugoko vingi hueleweki unataka kusema nn.
 
Back
Top Bottom