Lecturer UDSM azawadiwa na Wanafunzi

Lecturer UDSM azawadiwa na Wanafunzi

Unajua tatizo letu tulishakuwa na mtizamo hasi sana kwamba siyo rahisi mtu akawa na tabia zile nzuri za kuwapendeza wengine katika kiwango cha juu. Hawa wanafunzi ni watu wazima na wana akili, na wanajua kuwa kwa kumpa zawadi mwalimu anayegawa marks, wanakuwa wanamchongea. Angekuwa anagawa marks wasingeweza kufanya hivyo, lazima wangekausha!

Mimi kwa muda huu bado niko convinced kwa kiasi kikubwa kabisa kwamba mwalimu huyu anaweza kuwa ana tabia nzuri na za kipekee sana na ndizo hizo zilizopelekea watoto hawa wakampa zawadi, na ninachokiona mini siyo kwamba anawapa alama nzuri bali huwa anawafundisha wanaelewa vizuri sana katika namna ambayo si walimu walio wengi wanaweza kuwaelewesha kwa kiwango hicho. Kwa hiyo kinachoweza kuwa kimepelekea mwalimu kupewa zawadi si alama nzuri kwa wanafunzi, bali ufundishaji wake pamoja na PR yake kwao.

Zaidi ni kuwa kawaida mwalimu unapendwa zaidi na wanafunzi hasa unapokuwa unafundisha darasa ambalo baadhi yao wana umri mkubwa kuliko wewe; hawa ndiyo huwa wanakuwa mahakimu wa kupelekea wengine wakufahamu vizuri namna utu wako halisi wa ndani ulivyo! Huwa siyo rahisi sana mdogo mmoja kuwaficha kitu wakubwa wengi
Huyo ni Mshana jamani! Wapare tupo vyema upstairs when it comes to intellectual intelligence na washana ni walimu wazuri sana kwenye kumwaga nondo na unafundishwa mpaka unafurahia somo!

Tuko friendly sana ndio maana wanafunzi wamemkubali mchizi! I am Mshana too!
 
Nyie mnaoponda hiyo zawadi, mlitaka huyo lecturer wampe nini!

RRONDO

Ova
Yellow and White roses,mi ukiniletea zawadi ya nguo na viatu ili hali Nina kipato kuliko wewe naona kama umeniona labda uenda sijui kuvaa,ama hapo nilipo nimesimama jalalani.
 
Huyo ni Mshana jamani! Wapare tupo vyema upstairs when it comes to intellectual intelligence na washana ni walimu wazuri sana kwenye kumwaga nondo na unafundishwa mpaka unafurahia somo!

Tuko friendly sana ndio maana wanafunzi wamemkubali mchizi! I am Mshana too!
Inawezekana kweli,ila tatizo mko rough kwenye kuvaa wazee Wa kusagura minadani.

Ushawahi kuona kosa utende we we aibu nione Mimi.
 
Hakupaswa kupokea hiyo zawadi kwani kama mtumishi wa umma Kuna taratibu za kupokea zawadi ili isije ikawa rushwa.Ni hatari sana tukiendekeza tabia hii.Wangempa kwenye mahafali ya kumalizia ninsingekuwa na neno sana Ila hili wahusika walikemee.

Acheni wivu
Lecturer wengi chuoni wana buy time tu na kuwa na visirani
Ukipata wanaojielewa na kuthamini wanafunzi ni wachache acheni wapewe zawadi

Hasa hawa Ngazi ya Masters wengi wanajaza stress kwa wanafunzi
 
Huyu mwalimu watu wanaohusika mimi nashauri wamwangalie kwa jicho la kipekee pengine anaweza akaja akatufaa sana kama kiongozi wa ngazi za juu ndani ya nchi yetu, huko mbele ya safari. Watoto wa rika hili huwa siyo rahisi sana wakampenda mtu kwa bahati mbaya tu; huyu mtu lazima atakuwa ana qualities za kipekee sana ambazo watu tulio wengi hatuna. Mungu ambariki sana mwalimu huyu
Hakika kabisaaaah.
 
Mie mwenyewe kuna lect nataka nimpe zawadi 1 kubwa hiyoooh, tatizo naanzaje sasa ndo mtihani. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo ni Mshana jamani! Wapare tupo vyema upstairs when it comes to intellectual intelligence na washana ni walimu wazuri sana kwenye kumwaga nondo na unafundishwa mpaka unafurahia somo!

Tuko friendly sana ndio maana wanafunzi wamemkubali mchizi! I am Mshana too!
Kumbe huyo lect ni mparee? Woiiiiiiiiiiih.
 
Acheni wivu
Lecturer wengi chuoni wana buy time tu na kuwa na visirani
Ukipata wanaojielewa na kuthamini wanafunzi ni wachache acheni wapewe zawadi

Hasa hawa Ngazi ya Masters wengi wanajaza stress kwa wanafunzi
Ngoja na wa PhD ndo utajua hujui
 
Katika kuendeleza dhima ya Uchumi wa viwanda wanafunzi wamemzawadia lecturer wao viatu na shati . Kazi ndo imeanza.

**Wakihojiwa wanaonyesha kufurahia tendo hilo.

Naomba kujua tu hawa Wanafunzi wanaompongeza sana wengi wao ni Wanaume au ni Wanawake?
 
Back
Top Bottom