Lecturers wanatumalizia dada na wadogo zetu

Aiseee mbona na ngono za mitaani hamkemei kama mnavyokemea za vyuoni? Hao lecturers wanaowaharibu wanafunzi wa vyuo wana utofauti gani na wanaume wa mitaani wanaowaharibu mabinti wa mitaani?

Ni kipi kinachofanya muone kama wanawake wa mitaani ni sawa tu kuharibiwa ila wa mavyuoni na makazini ndiyo hawafai kuharibiwa! Au ndiyo kuwaonea wivu lecturers kwa kuwa huko mavyuoni na makazini ndiko kuna watoto wazuri!

Mimi nasemaga ukiona mwanaume anajifanya anatoa ushauri kwenye jambo lolote linalohusiana na jinsia ya kike ujue lina maslahi kwake mwanaume na si vinginevyo! Hakuna mwanaume anayeweza kutetea jambo lolote ambalo linamfaidisha mwanamke peke yake pasipo yeye mwanaume kufaidika kitu narudia hayupo sasa endeleeni kujidanganya!

Wengi wenu mnaosema eti kulea mabinti kazi ndiyo ninyi mnaoharibu mabinti za watu wengine huku mitaani ila kujifanya mnawasema lecturers eti wanawaharibu wanavyuo! Na ndiyo muone jinsi gani inauma kuharibia watu mabinti zao haijalishi ni wanavyuo au si wanavyuo!

Mngekuwa mnakemea uzinzi kwenye nyanja zote kuanzia mavyuoni, makazini, mitaani na majumbani kweli tungewaona wa maana! Ila hii ya kujifanya mnakemea kwenye baadhi ya nyanja tu inafanya muonekane wanafiki tu na hamna lolote zaidi ya kutetea maslahi yenu na kuvutia upande wenu!

Tena mbaya zaidi lawama zote mnawatupia wanawake kama kawaida yenu kana kwamba hao wanaume wanaowatongoza hao wanawake wako sawa tu na hawana makosa kabisa! Wengine wanatetea eti ni ngumu wanaume kuepuka vishawishi vya hao wanawake wa vyuoni!

Vishawishi kila jinsia inakutana navyo na inashawishika kwahiyo kusema eti wanawake ndiyo waache kushawishi bila kuwaasa wanaume nao waache inakuwa ni kazi bure sababu wanaume watajiona wanachofanya ni haki yao kwahiyo hata wanawake wakiacha wanaume bado wataendelea na kusababisha wanawake warudi tena mtegoni! Kila jinsia inatakiwa ibadilike kwa nafasi yake na siyo kutegeana!
 
Suluhu ni mitihani na coursework na usahihishaji itoke nje ya chuo husika. Either chuo kingine au bodi maalum ya taifa ya mitiani vyuoni. Vyuo viwe vinafundisha tu na kutoa majaribio. Hapo lactures watakuwa hawana kisu cha kumtishia mwanafunzi.
Kisu utakihamishia kwa watu wa bodi husika
 
Kuna demu mmoja hivi pisi kali alikuwa anabanduliwa anapewa paper anaileta geto namsovia na ilikuwa ni siri yetu wawili. Alikuwa anapewa section B pekee. Alikuwa na kichwa kigumu sana
 
Degree za Vyuma[emoji1787][emoji1787][emoji115]
 
Na wakija kitaa napo boda boda nk nao wanatembeza rungu
 
Umalaya wa Mabinti,Tamaa ya Pesa kwa Ajili ya Ushindani wa SIMU,Mavazi na KUTOKA OUTS wacha Wamalizapo VYUO warudi na UKIMWI
 
Rushwa ya ngono ilikuwepo tangu haujazaliwa that's life.
 
Ukweli mtupuuuh.
 
Kuna demu mmoja hivi pisi kali alikuwa anabanduliwa anapewa paper anaileta geto namsovia na ilikuwa ni siri yetu wawili. Alikuwa anapewa section B pekee. Alikuwa na kichwa kigumu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dada zenu / Mabinti zenu 'Watatiwa' sana na Wahadhiri ( Lecturers ) hadi wakome kwani Kutokuwa Kwao na Akili na Kutopenda Kusoma ndiko Kunawagharimu na nasisitiza tena kuwa 'Watakazwa' mno tu huko Vyuoni.

Yaani Mhadhiri uko busy unafundisha mbele huku hata Usiku hujalala vyema kwa ajili ya Kuandaa Somo halafu unawaona Watoto wa Kike wanachati na Vibwana vyao huku wakiwaangalia tu akina Diamond, Harmonize, Nandy na Zuchu na Kujadiliana Umbea mtupu tu halafu anataka umpe 'Maksi' kiuwepesi.

Watapigwa 'Pumbu' ile mbaya mpaka Akili za Kupenda Kusoma ziwajie ( ziwarudie ) Kudadadeki. Kwanza mmeshajiuliza kwanini Wanafunzi ( Wanavyuo ) Werevu wa Kike huwa hawasumbuliwi hovyo na Wahadhiri ( Lecturers ) Vyuoni?

Wahadhiri wa Kiume Vyuoni heko sana.
 
Huudhurii class, test unapata 2, assignment unafanyiwa,, presentation nayo zero course work inakuja 10,, na sheria inasema huwez kufanya UE bila marks 16,,, hv unategemea huyo mdada atafanya nn[emoji16][emoji16][emoji16] wameyataka wenyewe,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…