Lecturers wanatumalizia dada na wadogo zetu

Nilipokuwa field nimeenda ofisi flani nikakuta mwanamke mmoja ndio CPA wengine ni accountants wa kawaida ila yeye ndiye ana performance ndogo kuliko wote na ndiye hajui mambo kuliko wengine. Sasa nikashangaa hiyo pisi kali ilipataje kuwa CPA wakati kuna mchakato mkali. Nilikaa ile ofisi kwa mwezi mzima ila sikuona mchango wake, yani alikuwa na dharura nyingi mno na anakuja wa mwisho ila kuondoka wa kwanza.
 
Watoto wa chuo halafu 80% yao ndani ya miaka walioko masomoni wanachomoa mimba kati ya 2-3
 

Pisi kali zinapendelewa kupata kazi big 4 auditing firms soon after graduations.. huko ndipo wanapopata cpa kiurahisi, maana kuna majembe mengi yanawamezesha majibu ya maswali. Na ofisi za big 4 zinawapa sapoti ya kila mbinu ili wapate cpa haraka
 
Yaani mtu anakufata sister nitafutie miso

Unamuuliza ya nini anakwambia imenasa [emoji28]

Yaani wanaume nawahurumia na hii generation mpo,

Wanatumia p2 kama panadol, badae wataanza kutafutana uchawi
Wanajiua hawa mademu ila mwisho kwenye kuolewa ndio majanga unashangaa mtoto kila siku ashiki mimba inazingua tu kuchoropoka kumbe kuna utumbo kafanya chuo mda mrefu!
 
Why Kingereza mkuu....!nikikutana na binti hajui Kingereza sawia nijue....vipi kuhusu wavulana!
 
Bila Shaka umechapiwa. Komaa tu kama huna hela mademu wazuri utakalia kuwaita shem
 
Serikali sijui ipo wapi katika hili? Ni miezi miwili sasa nilileta uzi wa mie kutokuoa huku nikilia na kuumia.Ukweli ni kwamba huyo binti kafanya na Lecturer wa UDSM ambaye pia ana sessions pale DUCE anaposoma binti.Namfahamu kwa jina moja tu mkufunzi huyo.Siwezi mfanyia lolote kwasababu inawezekana walikubaliana na si kwa mashinikizo.Nimesonga mbele na maisha yangu kwa kukaa kimya.

Swali nalojiuliza;
Je,huyu binti ana uhakika kuwa ataolewa na huyo mkufunzi?Ana nia ya dhati kama niliyokuwa nayo?
Kwakweli nabaki namhurumia huyu binti sana,acha aijue Dunia ilivyo.
Refer:

 
Kwote umeongea vizuri, but kwenye kingereza hapo why kitumike ku judge ability ya mtu? Tena yule aliyekijulia secondary?
 
Kulikoni?
 
Why Kingereza mkuu....!nikikutana na binti hajui Kingereza sawia nijue....vipi kuhusu wavulana!
Ma Prof na ma PhD kiingereza shida. Vipi yule waziri wa mashule au yule aliyekwenda nao je?
 
Watoto wakike wapo kwenye hatari maeneo mengi Sana ya mapito yao ya maisha, siyo chuo tu, nimeshuhudia maeneo mengi sana kuanzia safari yao ya masomo ya primary Hadi kupata ajira kote ni hatari tupu na hii inatokana na mifumo mibaya ya elimu ktk nchi yetu,
Anapokuwa shule ya msingi na secondary wengi hurubuniwa na waalimu wenyewe na hata wauza chips na zaidi Sana Bodaboda kwa wale wanao soma Day haswa shule za kata zilizo vijijini,
Kwa wanafunzi wa vyuo vyoootee kuanzia certificate had masters hao ni chakula ya ma lacturers, ili apate GPA nzuri lazima aliwe, na katika hili mm nailaumu sana serikali kwa kuwaachia hao lacturers kutunga mitihani na kuisahisha wenyewe, viongozi wetu wengi ni wanawake sijui hawalioni hilo?
Wanapo enda Field huko nako wanakutana na changamoto za wakuu wa idara ama kazi, ili wapate ripoti nzuri lazima agawe papuchi kwa mkuu wa idara na pengine hata wasaidizi wao,na wengi hudanganywa kuwa baada ya field watapatiwa ajira eneo husika.
Wanapo enda Sasa kutafuta ajira huko ndiko balaa kabisa maana kama hugawi uchi basi ajira utaisikia kwa wenzako, namfahamu jamaa mmoja yeye ni manager wa kituo fulani kikubwa cha mafuta ambacho pia kinahusika na masuala ya Hotel's, yeye kila wiki anatoka na demu mpya kwa kuwadanganya atawapa kazi,wengi wanao enda omba ajira pale huacha no zao za cm na baadae jamaa anawatafuta private na kuwarubuni,
Kwahiyo kwa ujumla watoto wakike wapo ktk wakati mgumu kwa 80% ya maisha yao.
 
Mbna kama leo hizi mada zmekuwa nyingi wamewafanyaje man[emoji23]
 
...na PhD ya Prof. Tashwishi Miakenda nayo ni ya chupi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…