Legacy iliyoandikwa kwa vitendo haiwezi kufutwa kwa maneno ukitaka kuifuta legacy ni lazima ukubali kuyatoa maisha yako kwaajili ya wa Tanzania maskin

Legacy iliyoandikwa kwa vitendo haiwezi kufutwa kwa maneno ukitaka kuifuta legacy ni lazima ukubali kuyatoa maisha yako kwaajili ya wa Tanzania maskin

EllySkyWilly

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
2,204
Reaction score
2,085
Sasa watu wamebaki wanapambana na legacy ya JPM. Basi tuseme tukwamba pengo lake halitozibika mpaka watakapo gombana na legacy na kuishinda.

Na legacy ya huyu JPM haiwezi kufutwa kwa maneno, never. Namimi nasema Legacy inatengenezwa kwa vitendo na sio maneno, wakuifuta legacy inatakiwa aifute kwa vitendo.

Wakuifuta legacy ya JPM ni lazima ajitoe na kusacrafice maisha yake kwaajili ya watanzania kwa kufanya yafuatayo.

1. Kupambana na mafisadi kwa nguvu zote,
2. Kupambana na matajiri yanayokwepa kodi kwa nguvu zote.
3. Kupambana na yanayouza madawa ya kulevya kwa nguvu zote
4. Kupambana kwa nguvu zote na majangiri yanayoua ndovu na kutoroka na pembe zake
5. Kupambana na yanayotorosha madini kwa nguvu zote.
6. Kuvunja mikataba ya kinyonyaji kwenye madini na gesi kwa nguvu zote.
7. Kuondoa wafanyakazi hewa, kuondoa yote yenye vyeti feki na yanayojilipa mishahara hewa ya wafanyakazi waliofariki.
8. Kutatua kesi zote za papo kwa papo za watu wanao kosa haki mahakamani kwa kutoakua na nguvu ya fedha.
9. Kupambana na rushwa kwa nguvu zote bila kuangalia sura, nguvu au cheo cha mtu.
10. Kupambana na vigogo wanaofanya nchi ya Tanzania ni mali ya familia zao na kuanza kutumia rasilimali na mali za nchi kutajirisha familia zao.
11. Kutumbua bila huruma yeyote anayefanya kazi kwa mazoea.

Hapo nimeandika kwa kifupi tu. Yeyote atakayeweza kufanya hivyo ndiye atakayeweza kuivunja legacy ya JPM. Na ukiivunja legacy ya JPM dunia nzima itakufahamu sasa. Lazima utakufa tu maana sio rahisi kuyafanya mambo hayo katika nchi za bara la Afrika. Huwezi pambana na matajiri na vigogo wakwepakodi bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na wazungu wenye mikataba ya kinyonyaji bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na majangiri na wauza madawa ya kulevya bila kutoa maisha yako. Hapo sijazungumzia ndoa za jinsia moja. Ngoja niishie hapa.

Ila nirudie tena legacy iliyotengenezwa kwa vitendo haifutwi kwa maneno bali kwa vitendo.

Hivyo kama wewe ni mwanasiasa au ni mtu wa kawaida jikite kwenye vitendo kama ni jimboni kwako kasimamie kwa bidii zote u hakikishe unamzidi JPM hapo ndio utaweza kuifuta legacy lkn sio kwa kutumia smart phone au mic.

His Legacy will live forever.
 
Unazijua legacy wewe au unaandika hata pasipo kujua.Magufuli he was poor kwenye hotuba ambazo hazina mashiko ataacha legacy gani.

Legacy ni urithi wa mawazo chanya yanayoishi kwenye Mioyo na vichwa vya watu,yaliyoleta mabadoliko ya kifkra kutoka generations moja hadi nyingine.
 
Unazijua legacy wewe au unaandika hata pasipo kujua.Magufuli he was poor kwenye hotuba ambazo hazina mashiko ataacha legacy gani.

Legacy ni urithi wa mawazo chanya yanayoishi kwenye Mioyo na vichwa vya watu,yaliyoleta mabadoliko ya kifkra kutoka generations moja hadi nyingine.
haya ni mawazo yako, na mimi yale ndio mawazo yangu. so it's better uyaandike nawewe mawazo yako.
 
Sasa watu wamebaki wanapambana na legacy ya JPM. Basi tuseme tukwamba pengo lake halitozibika mpaka watakapo gombana na legacy na kuishinda.

Na legacy ya huyu JPM haiwezi kufutwa kwa maneno, never. Namimi nasema Legacy inatengenezwa kwa vitendo na sio maneno, wakuifuta legacy inatakiwa aifute kwa vitendo. Na mtu wa namna hiyo ndiye Tanzania inamsubiria kwasasa. Inataka kuona.

Wakuifuta legacy ya JPM ni lazima ajitoe na kusacrafice maisha yake kwaajili ya watanzania kwa kufanya yafuatayo.

1. Kupambana na mafisadi kwa nguvu zote,
2. Kupambana na matajiri yanayokwepa kodi kwa nguvu zote.
3. Kupambana na yanayouza madawa ya kulevya kwa nguvu zote
4. Kupambana kwa nguvu zote na majangiri yanayoua ndovu na kutoroka na pembe zake
5. Kupambana na yanayotorosha madini kwa nguvu zote.
6. Kuvunja mikataba ya kinyonyaji kwenye madini na gesi kwa nguvu zote.
7. Kuondoa wafanyakazi hewa, kuondoa yote yenye vyeti feki na yanayojilipa mishahara hewa ya wafanyakazi waliofariki.
8. Kutatua kesi zote za papo kwa papo za watu wanao kosa haki mahakamani kwa kutoakua na nguvu ya fedha.
9. Kupambana na rushwa kwa nguvu zote bila kuangalia sura, nguvu au cheo cha mtu.
10. Kupambana na vigogo wanaofanya nchi ya Tanzania ni mali ya familia zao na kuanza kutumia rasilimali na mali za nchi kutajirisha familia zao.
11. Kutumbua bila huruma yeyote anayefanya kazi kwa mazoea.

Hapo nimeandika kwa kifupi tu. Yeyote atakayeweza kufanya hivyo ndiye atakayeweza kuivunja legacy ya JPM. Na ukiivunja legacy ya JPM dunia nzima itakufahamu sasa. Lazima utakufa tu maana sio rahisi kuyafanya mambo hayo katika nchi za bara la Afrika. Huwezi pambana na matajiri na vigogo wakwepakodi bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na wazungu wenye mikataba ya kinyonyaji bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na majangiri na wauza madawa ya kulevya bila kutoa maisha yako. Hapo sijazungumzia ndoa za jinsia moja. Ngoja niishie hapa.

His Legacy will live forever.
Mwendazake ameacha majeraha kwa Watanzania wengi baada ya kuwavurugia mipango yake ya maisha.

Legacy yake itakuwa ni Rais wa Tanzania aliyekuwa muuaji, mwizi, mwongo, mkandamizaji wa demokrasia ambaye alikataa uwapo wa COVID19 na akafa kwa hiyo hiyo COVID19.
 
Naomba tujibizane kwa hoja mkuu, mimi siwezi kutukana.
Sisi Watanzania hatukuwa na Rais bali kutokana na ajali ya kisiasa ya mwaka 2015 tulipata Shetani aliyejifanya anajuwa kila kitu.

Bado kuna Watanzania wapumbavu wengi tu ambao wanamsifia na ndiyo hao wanalazimisha hiyo legacy. Legacy haijadiliwi inakuja yenyewe.

Kwa kweli sioni cha kukaa na kumsifia Magufuli ambaye ameturudisha nyuma miaka 20 kiuchumi.

Lakini tumshukuru Mungu analipenda Taifa letu, alipomuona anapata kiburi na kutaka kubadili ukomo wa utawala akamtupilia Jehanam
 
Sisi Watanzania hatukuwa na Rais bali kutokana na ajali ya kisiasa ya mwaka 2015 tulipata Shetani aliyejifanya anajuwa kila kitu.

Bado kuna Watanzania wapumbavu wengi tu ambao wanamsifia na ndiyo hao wanalazimisha hiyo legacy. Legacy haijadiliwi inakuja yenyewe.

Kwa kweli sioni cha kukaa na kumsifia Magufuli ambaye ameturudisha nyuma miaka 20 kiuchumi.

Lakini tumshukuru Mungu analipenda Taifa letu, alipomuona anapata kiburi na kutaka kubadili ukomo wa utawala akamtupilia Jehanam
Sipo kwaajili ya kutukanana na watu hapa ndio nilisha post uzi hivyo.
 
Sisi Watanzania hatukuwa na Rais bali kutokana na ajali ya kisiasa ya mwaka 2015 tulipata Shetani aliyejifanya anajuwa kila kitu.

Bado kuna Watanzania wapumbavu wengi tu ambao wanamsifia na ndiyo hao wanalazimisha hiyo legacy. Legacy haijadiliwi inakuja yenyewe.
Ni afadhali tungepata lilesenge siyo?
 
Sisi Watanzania hatukuwa na Rais bali kutokana na ajali ya kisiasa ya mwaka 2015 tulipata Shetani aliyejifanya anajuwa kila kitu.

Bado kuna Watanzania wapumbavu wengi tu ambao wanamsifia na ndiyo hao wanalazimisha hiyo legacy. Legacy haijadiliwi inakuja yenyewe.

Kwa kweli sioni cha kukaa na kumsifia Magufuli ambaye ameturudisha nyuma miaka 20 kiuchumi.

Lakini tumshukuru Mungu analipenda Taifa letu, alipomuona anapata kiburi na kutaka kubadili ukomo wa utawala akamtupilia Jehanam
Wapumbavu kama wewe, wauza ngada kama wewe, wafurahiao kuona vijana wakifa Kwa madawa ya kulevya na biashara zenu haramu kama wewe, mafisadi kama wewe, majizi kama wewe, Wala rushwa kama wewe, wakwepa Kodi kama wewe,

Utaanzaje kumpenda aliyezuia ujinga wenu huo?

Si itakuwa ni upumbavu kwenu kukubali mambo yenu haramu mliyokuwa mkiyafanya bila kujali uhai wa wengine, mkifurahia kupata utajiri haramu, utaanzaje Kwa wewe kumkubali aliyewanyang'anya tonge mdomoni?
 
Sasa watu wamebaki wanapambana na legacy ya JPM. Basi tuseme tukwamba pengo lake halitozibika mpaka watakapo gombana na legacy na kuishinda.

Na legacy ya huyu JPM haiwezi kufutwa kwa maneno, never. Namimi nasema Legacy inatengenezwa kwa vitendo na sio maneno, wakuifuta legacy inatakiwa aifute kwa vitendo.

Wakuifuta legacy ya JPM ni lazima ajitoe na kusacrafice maisha yake kwaajili ya watanzania kwa kufanya yafuatayo.

1. Kupambana na mafisadi kwa nguvu zote,
2. Kupambana na matajiri yanayokwepa kodi kwa nguvu zote.
3. Kupambana na yanayouza madawa ya kulevya kwa nguvu zote
4. Kupambana kwa nguvu zote na majangiri yanayoua ndovu na kutoroka na pembe zake
5. Kupambana na yanayotorosha madini kwa nguvu zote.
6. Kuvunja mikataba ya kinyonyaji kwenye madini na gesi kwa nguvu zote.
7. Kuondoa wafanyakazi hewa, kuondoa yote yenye vyeti feki na yanayojilipa mishahara hewa ya wafanyakazi waliofariki.
8. Kutatua kesi zote za papo kwa papo za watu wanao kosa haki mahakamani kwa kutoakua na nguvu ya fedha.
9. Kupambana na rushwa kwa nguvu zote bila kuangalia sura, nguvu au cheo cha mtu.
10. Kupambana na vigogo wanaofanya nchi ya Tanzania ni mali ya familia zao na kuanza kutumia rasilimali na mali za nchi kutajirisha familia zao.
11. Kutumbua bila huruma yeyote anayefanya kazi kwa mazoea.

Hapo nimeandika kwa kifupi tu. Yeyote atakayeweza kufanya hivyo ndiye atakayeweza kuivunja legacy ya JPM. Na ukiivunja legacy ya JPM dunia nzima itakufahamu sasa. Lazima utakufa tu maana sio rahisi kuyafanya mambo hayo katika nchi za bara la Afrika. Huwezi pambana na matajiri na vigogo wakwepakodi bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na wazungu wenye mikataba ya kinyonyaji bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na majangiri na wauza madawa ya kulevya bila kutoa maisha yako. Hapo sijazungumzia ndoa za jinsia moja. Ngoja niishie hapa.

Ila nirudie tena legacy iliyotengenezwa kwa vitendo haifutwi kwa maneno bali kwa vitendo.

Hivyo kama wewe ni mwanasiasa au ni mtu wa kawaida jikite kwenye vitendo kama ni jimboni kwako kasimamie kwa bidii zote u hakikishe unamzidi JPM hapo ndio utaweza kuifuta legacy lkn sio kwa kutumia smart phone au mic.

His Legacy will live forever.
Legacy isiyofutika ni moja tu nayo ni ya Hayati Baba wa Taifa ya kujitolea kudai Uhuru wa Tanzania na baadhi ya Nchi za Afrika. Vizazi na Vizazi Vitaikumbuka leo ikienda Msumbiji Angola Zimbabwe n.k Vizazi na Vizazi wanamkumbuka Hayati Baba wa Taifa kama Majengo Nyerere amejenga Tanzania nzima kuliko Rais yeyeto wa Tanzania hakuna kitu Nyerere Hakufanya.
 
Back
Top Bottom