Legacy iliyoandikwa kwa vitendo haiwezi kufutwa kwa maneno ukitaka kuifuta legacy ni lazima ukubali kuyatoa maisha yako kwaajili ya wa Tanzania maskin

Legacy iliyoandikwa kwa vitendo haiwezi kufutwa kwa maneno ukitaka kuifuta legacy ni lazima ukubali kuyatoa maisha yako kwaajili ya wa Tanzania maskin

Sasa watu wamebaki wanapambana na legacy ya JPM. Basi tuseme tukwamba pengo lake halitozibika mpaka watakapo gombana na legacy na kuishinda.

Na legacy ya huyu JPM haiwezi kufutwa kwa maneno, never. Namimi nasema Legacy inatengenezwa kwa vitendo na sio maneno, wakuifuta legacy inatakiwa aifute kwa vitendo.

Wakuifuta legacy ya JPM ni lazima ajitoe na kusacrafice maisha yake kwaajili ya watanzania kwa kufanya yafuatayo.

1. Kupambana na mafisadi kwa nguvu zote,
2. Kupambana na matajiri yanayokwepa kodi kwa nguvu zote.
3. Kupambana na yanayouza madawa ya kulevya kwa nguvu zote
4. Kupambana kwa nguvu zote na majangiri yanayoua ndovu na kutoroka na pembe zake
5. Kupambana na yanayotorosha madini kwa nguvu zote.
6. Kuvunja mikataba ya kinyonyaji kwenye madini na gesi kwa nguvu zote.
7. Kuondoa wafanyakazi hewa, kuondoa yote yenye vyeti feki na yanayojilipa mishahara hewa ya wafanyakazi waliofariki.
8. Kutatua kesi zote za papo kwa papo za watu wanao kosa haki mahakamani kwa kutoakua na nguvu ya fedha.
9. Kupambana na rushwa kwa nguvu zote bila kuangalia sura, nguvu au cheo cha mtu.
10. Kupambana na vigogo wanaofanya nchi ya Tanzania ni mali ya familia zao na kuanza kutumia rasilimali na mali za nchi kutajirisha familia zao.
11. Kutumbua bila huruma yeyote anayefanya kazi kwa mazoea.

Hapo nimeandika kwa kifupi tu. Yeyote atakayeweza kufanya hivyo ndiye atakayeweza kuivunja legacy ya JPM. Na ukiivunja legacy ya JPM dunia nzima itakufahamu sasa. Lazima utakufa tu maana sio rahisi kuyafanya mambo hayo katika nchi za bara la Afrika. Huwezi pambana na matajiri na vigogo wakwepakodi bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na wazungu wenye mikataba ya kinyonyaji bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na majangiri na wauza madawa ya kulevya bila kutoa maisha yako. Hapo sijazungumzia ndoa za jinsia moja. Ngoja niishie hapa.

Ila nirudie tena legacy iliyotengenezwa kwa vitendo haifutwi kwa maneno bali kwa vitendo.

Hivyo kama wewe ni mwanasiasa au ni mtu wa kawaida jikite kwenye vitendo kama ni jimboni kwako kasimamie kwa bidii zote u hakikishe unamzidi JPM hapo ndio utaweza kuifuta legacy lkn sio kwa kutumia smart phone au mic.

His Legacy will live forever.
You wrote it straightaway
 
Mwendazake ameacha majeraha kwa Watanzania wengi baada ya kuwavurugia mipango yake ya maisha.

Legacy yake itakuwa ni Rais wa Tanzania aliyekuwa muuaji, mwizi, mwongo, mkandamizaji wa demokrasia ambaye alikataa uwapo wa COVID19 na akafa kwa hiyo hiyo COVID19.
Hayo si mawazo ya mtanzania yule aliyetandika khanga,mashuka na viatu ili gari la marehemu lipite, yule aliye lala barabarani akilia kwa uchungu. Mtanzania masikini anamwesabu Magufuli kama mwana mwema wa Africa. Umati aliomzika umewaaibisha mafisadi.
Hayo unauomsingizia nayo kipenzi chetu ni Western propaganda na ninyi ni vibaraka wake ambao ni 0.001 ya watanzania wote
 
Sasa watu wamebaki wanapambana na legacy ya JPM. Basi tuseme tukwamba pengo lake halitozibika mpaka watakapo gombana na legacy na kuishinda.

Na legacy ya huyu JPM haiwezi kufutwa kwa maneno, never. Namimi nasema Legacy inatengenezwa kwa vitendo na sio maneno, wakuifuta legacy inatakiwa aifute kwa vitendo.

Wakuifuta legacy ya JPM ni lazima ajitoe na kusacrafice maisha yake kwaajili ya watanzania kwa kufanya yafuatayo.

1. Kupambana na mafisadi kwa nguvu zote,
2. Kupambana na matajiri yanayokwepa kodi kwa nguvu zote.
3. Kupambana na yanayouza madawa ya kulevya kwa nguvu zote
4. Kupambana kwa nguvu zote na majangiri yanayoua ndovu na kutoroka na pembe zake
5. Kupambana na yanayotorosha madini kwa nguvu zote.
6. Kuvunja mikataba ya kinyonyaji kwenye madini na gesi kwa nguvu zote.
7. Kuondoa wafanyakazi hewa, kuondoa yote yenye vyeti feki na yanayojilipa mishahara hewa ya wafanyakazi waliofariki.
8. Kutatua kesi zote za papo kwa papo za watu wanao kosa haki mahakamani kwa kutoakua na nguvu ya fedha.
9. Kupambana na rushwa kwa nguvu zote bila kuangalia sura, nguvu au cheo cha mtu.
10. Kupambana na vigogo wanaofanya nchi ya Tanzania ni mali ya familia zao na kuanza kutumia rasilimali na mali za nchi kutajirisha familia zao.
11. Kutumbua bila huruma yeyote anayefanya kazi kwa mazoea.

Hapo nimeandika kwa kifupi tu. Yeyote atakayeweza kufanya hivyo ndiye atakayeweza kuivunja legacy ya JPM. Na ukiivunja legacy ya JPM dunia nzima itakufahamu sasa. Lazima utakufa tu maana sio rahisi kuyafanya mambo hayo katika nchi za bara la Afrika. Huwezi pambana na matajiri na vigogo wakwepakodi bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na wazungu wenye mikataba ya kinyonyaji bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na majangiri na wauza madawa ya kulevya bila kutoa maisha yako. Hapo sijazungumzia ndoa za jinsia moja. Ngoja niishie hapa.

Ila nirudie tena legacy iliyotengenezwa kwa vitendo haifutwi kwa maneno bali kwa vitendo.

Hivyo kama wewe ni mwanasiasa au ni mtu wa kawaida jikite kwenye vitendo kama ni jimboni kwako kasimamie kwa bidii zote u hakikishe unamzidi JPM hapo ndio utaweza kuifuta legacy lkn sio kwa kutumia smart phone au mic.

His Legacy will live forever.
You said it all. Ukiangalia zile siku 100 za mwanzo toka alivyoingia madarakani , alikwenda bandarini, kushiriki kufanya usafi, ziara za kushitukiza. N.k. Magufuli alikuwa action oriented. Wakati Mama yetu its the opposite. Huwezi ukaongelea ofisini halafu ukategemea. TRA wavunje rekodi ya kukusanya kodi kwa mfano
 
Sasa watu wamebaki wanapambana na legacy ya JPM. Basi tuseme tukwamba pengo lake halitozibika mpaka watakapo gombana na legacy na kuishinda.

Na legacy ya huyu JPM haiwezi kufutwa kwa maneno, never. Namimi nasema Legacy inatengenezwa kwa vitendo na sio maneno, wakuifuta legacy inatakiwa aifute kwa vitendo.

Wakuifuta legacy ya JPM ni lazima ajitoe na kusacrafice maisha yake kwaajili ya watanzania kwa kufanya yafuatayo.

1. Kupambana na mafisadi kwa nguvu zote,
2. Kupambana na matajiri yanayokwepa kodi kwa nguvu zote.
3. Kupambana na yanayouza madawa ya kulevya kwa nguvu zote
4. Kupambana kwa nguvu zote na majangiri yanayoua ndovu na kutoroka na pembe zake
5. Kupambana na yanayotorosha madini kwa nguvu zote.
6. Kuvunja mikataba ya kinyonyaji kwenye madini na gesi kwa nguvu zote.
7. Kuondoa wafanyakazi hewa, kuondoa yote yenye vyeti feki na yanayojilipa mishahara hewa ya wafanyakazi waliofariki.
8. Kutatua kesi zote za papo kwa papo za watu wanao kosa haki mahakamani kwa kutoakua na nguvu ya fedha.
9. Kupambana na rushwa kwa nguvu zote bila kuangalia sura, nguvu au cheo cha mtu.
10. Kupambana na vigogo wanaofanya nchi ya Tanzania ni mali ya familia zao na kuanza kutumia rasilimali na mali za nchi kutajirisha familia zao.
11. Kutumbua bila huruma yeyote anayefanya kazi kwa mazoea.

Hapo nimeandika kwa kifupi tu. Yeyote atakayeweza kufanya hivyo ndiye atakayeweza kuivunja legacy ya JPM. Na ukiivunja legacy ya JPM dunia nzima itakufahamu sasa. Lazima utakufa tu maana sio rahisi kuyafanya mambo hayo katika nchi za bara la Afrika. Huwezi pambana na matajiri na vigogo wakwepakodi bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na wazungu wenye mikataba ya kinyonyaji bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na majangiri na wauza madawa ya kulevya bila kutoa maisha yako. Hapo sijazungumzia ndoa za jinsia moja. Ngoja niishie hapa.

Ila nirudie tena legacy iliyotengenezwa kwa vitendo haifutwi kwa maneno bali kwa vitendo.

Hivyo kama wewe ni mwanasiasa au ni mtu wa kawaida jikite kwenye vitendo kama ni jimboni kwako kasimamie kwa bidii zote u hakikishe unamzidi JPM hapo ndio utaweza kuifuta legacy lkn sio kwa kutumia smart phone au mic.

His Legacy will live forever.
Kupambana na rushwa sio legacy bali kuwafanya watu waichukie rushwa ndio legacy. Kupanda miti sio legacy bali kuwafanya waipende na kuitunza na kuilinda.
Paka anaogopwa sana na panya lakini hamfanyi panya afe njaa.
 
Sasa watu wamebaki wanapambana na legacy ya JPM. Basi tuseme tukwamba pengo lake halitozibika mpaka watakapo gombana na legacy na kuishinda.

Na legacy ya huyu JPM haiwezi kufutwa kwa maneno, never. Namimi nasema Legacy inatengenezwa kwa vitendo na sio maneno, wakuifuta legacy inatakiwa aifute kwa vitendo.

Wakuifuta legacy ya JPM ni lazima ajitoe na kusacrafice maisha yake kwaajili ya watanzania kwa kufanya yafuatayo.

1. Kupambana na mafisadi kwa nguvu zote,
2. Kupambana na matajiri yanayokwepa kodi kwa nguvu zote.
3. Kupambana na yanayouza madawa ya kulevya kwa nguvu zote
4. Kupambana kwa nguvu zote na majangiri yanayoua ndovu na kutoroka na pembe zake
5. Kupambana na yanayotorosha madini kwa nguvu zote.
6. Kuvunja mikataba ya kinyonyaji kwenye madini na gesi kwa nguvu zote.
7. Kuondoa wafanyakazi hewa, kuondoa yote yenye vyeti feki na yanayojilipa mishahara hewa ya wafanyakazi waliofariki.
8. Kutatua kesi zote za papo kwa papo za watu wanao kosa haki mahakamani kwa kutoakua na nguvu ya fedha.
9. Kupambana na rushwa kwa nguvu zote bila kuangalia sura, nguvu au cheo cha mtu.
10. Kupambana na vigogo wanaofanya nchi ya Tanzania ni mali ya familia zao na kuanza kutumia rasilimali na mali za nchi kutajirisha familia zao.
11. Kutumbua bila huruma yeyote anayefanya kazi kwa mazoea.

Hapo nimeandika kwa kifupi tu. Yeyote atakayeweza kufanya hivyo ndiye atakayeweza kuivunja legacy ya JPM. Na ukiivunja legacy ya JPM dunia nzima itakufahamu sasa. Lazima utakufa tu maana sio rahisi kuyafanya mambo hayo katika nchi za bara la Afrika. Huwezi pambana na matajiri na vigogo wakwepakodi bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na wazungu wenye mikataba ya kinyonyaji bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na majangiri na wauza madawa ya kulevya bila kutoa maisha yako. Hapo sijazungumzia ndoa za jinsia moja. Ngoja niishie hapa.

Ila nirudie tena legacy iliyotengenezwa kwa vitendo haifutwi kwa maneno bali kwa vitendo.

Hivyo kama wewe ni mwanasiasa au ni mtu wa kawaida jikite kwenye vitendo kama ni jimboni kwako kasimamie kwa bidii zote u hakikishe unamzidi JPM hapo ndio utaweza kuifuta legacy lkn sio kwa kutumia smart phone au mic.

His Legacy will live forever.
Pia kaa ukijua huwezi kuijenga legacy kwa MANENO NA NYIMBO NA MAPAMBIO...POLE MKUUU,UNAUMIA UKIWA WAPI?
 
Pia kaa ukijua huwezi kuijenga legacy kwa MANENO NA NYIMBO NA MAPAMBIO...POLE MKUUU,UNAUMIA UKIWA WAPI?
Mkuu haumii ila hiyo ndio kazi ya 'Urithi Maalum'-Unprecedented Legacy kuibua kumbukizi na kutamani kuwa nayo. Ukikumbuka jambo lililopita lililotendwa na mtu likaleta athari chanya na hasi, kwa upande wa chanya ndio urithi lakini upande wa hasi sio urithi
 
Naomba tujibizane kwa hoja mkuu, mimi siwezi kutukana.
Legacy ya mtu haitetewi wala kuharibiwa na mwingine. Nashangaa kwanini watu wanatumia nguvu nyingi kujaribu kumtetea mwendazake Magufuli kwa kudai wanatetea legacy yake? Legacy ni kama jiwe la dhahabu. Ukilitupa kwenye tanuru linazidi kusafika na kung'aa. Kama ambavyo moto mkali husafisha dhahabu ndivyo legacy ya mtu ilivyo. Kama ipo, ipo tu!
 
Legacy ya mtu haitetewi wala kuharibiwa na mwingine. Nashangaa kwanini watu wanatumia nguvu nyingi kujaribu kumtetea mwendazake Magufuli kwa kudai wanatetea legacy yake? Legacy ni kama jiwe la dhahabu. Ukilitupa kwenye tanuru linazidi kusafika na kung'aa. Kama ambavyo moto mkali husafisha dhahabu ndivyo legacy ya mtu ilivyo. Kama ipo, ipo tu!
Mimi siwezi kutukanana na mtu mimi nakwenda kwa hoja tu
 
Screenshot_20210424-230359_Instagram.jpg
 
Sasa watu wamebaki wanapambana na legacy ya JPM. Basi tuseme tukwamba pengo lake halitozibika mpaka watakapo gombana na legacy na kuishinda.

Na legacy ya huyu JPM haiwezi kufutwa kwa maneno, never. Namimi nasema Legacy inatengenezwa kwa vitendo na sio maneno, wakuifuta legacy inatakiwa aifute kwa vitendo.

Wakuifuta legacy ya JPM ni lazima ajitoe na kusacrafice maisha yake kwaajili ya watanzania kwa kufanya yafuatayo.

1. Kupambana na mafisadi kwa nguvu zote,
2. Kupambana na matajiri yanayokwepa kodi kwa nguvu zote.
3. Kupambana na yanayouza madawa ya kulevya kwa nguvu zote
4. Kupambana kwa nguvu zote na majangiri yanayoua ndovu na kutoroka na pembe zake
5. Kupambana na yanayotorosha madini kwa nguvu zote.
6. Kuvunja mikataba ya kinyonyaji kwenye madini na gesi kwa nguvu zote.
7. Kuondoa wafanyakazi hewa, kuondoa yote yenye vyeti feki na yanayojilipa mishahara hewa ya wafanyakazi waliofariki.
8. Kutatua kesi zote za papo kwa papo za watu wanao kosa haki mahakamani kwa kutoakua na nguvu ya fedha.
9. Kupambana na rushwa kwa nguvu zote bila kuangalia sura, nguvu au cheo cha mtu.
10. Kupambana na vigogo wanaofanya nchi ya Tanzania ni mali ya familia zao na kuanza kutumia rasilimali na mali za nchi kutajirisha familia zao.
11. Kutumbua bila huruma yeyote anayefanya kazi kwa mazoea.

Hapo nimeandika kwa kifupi tu. Yeyote atakayeweza kufanya hivyo ndiye atakayeweza kuivunja legacy ya JPM. Na ukiivunja legacy ya JPM dunia nzima itakufahamu sasa. Lazima utakufa tu maana sio rahisi kuyafanya mambo hayo katika nchi za bara la Afrika. Huwezi pambana na matajiri na vigogo wakwepakodi bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na wazungu wenye mikataba ya kinyonyaji bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na majangiri na wauza madawa ya kulevya bila kutoa maisha yako. Hapo sijazungumzia ndoa za jinsia moja. Ngoja niishie hapa.

Ila nirudie tena legacy iliyotengenezwa kwa vitendo haifutwi kwa maneno bali kwa vitendo.

Hivyo kama wewe ni mwanasiasa au ni mtu wa kawaida jikite kwenye vitendo kama ni jimboni kwako kasimamie kwa bidii zote u hakikishe unamzidi JPM hapo ndio utaweza kuifuta legacy lkn sio kwa kutumia smart phone au mic.

His Legacy will live forever.
Wife: How much do you love me?
Husband: My heart is a mobile and you are the sim of it.
Wife: OMG! I'm so lucky you love me so much.

She really don't know that her Husband is a dual sim.
 
Sasa watu wamebaki wanapambana na legacy ya JPM. Basi tuseme tukwamba pengo lake halitozibika mpaka watakapo gombana na legacy na kuishinda.

Na legacy ya huyu JPM haiwezi kufutwa kwa maneno, never. Namimi nasema Legacy inatengenezwa kwa vitendo na sio maneno, wakuifuta legacy inatakiwa aifute kwa vitendo.

Wakuifuta legacy ya JPM ni lazima ajitoe na kusacrafice maisha yake kwaajili ya watanzania kwa kufanya yafuatayo.

1. Kupambana na mafisadi kwa nguvu zote,
2. Kupambana na matajiri yanayokwepa kodi kwa nguvu zote.
3. Kupambana na yanayouza madawa ya kulevya kwa nguvu zote
4. Kupambana kwa nguvu zote na majangiri yanayoua ndovu na kutoroka na pembe zake
5. Kupambana na yanayotorosha madini kwa nguvu zote.
6. Kuvunja mikataba ya kinyonyaji kwenye madini na gesi kwa nguvu zote.
7. Kuondoa wafanyakazi hewa, kuondoa yote yenye vyeti feki na yanayojilipa mishahara hewa ya wafanyakazi waliofariki.
8. Kutatua kesi zote za papo kwa papo za watu wanao kosa haki mahakamani kwa kutoakua na nguvu ya fedha.
9. Kupambana na rushwa kwa nguvu zote bila kuangalia sura, nguvu au cheo cha mtu.
10. Kupambana na vigogo wanaofanya nchi ya Tanzania ni mali ya familia zao na kuanza kutumia rasilimali na mali za nchi kutajirisha familia zao.
11. Kutumbua bila huruma yeyote anayefanya kazi kwa mazoea.

Hapo nimeandika kwa kifupi tu. Yeyote atakayeweza kufanya hivyo ndiye atakayeweza kuivunja legacy ya JPM. Na ukiivunja legacy ya JPM dunia nzima itakufahamu sasa. Lazima utakufa tu maana sio rahisi kuyafanya mambo hayo katika nchi za bara la Afrika. Huwezi pambana na matajiri na vigogo wakwepakodi bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na wazungu wenye mikataba ya kinyonyaji bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na majangiri na wauza madawa ya kulevya bila kutoa maisha yako. Hapo sijazungumzia ndoa za jinsia moja. Ngoja niishie hapa.

Ila nirudie tena legacy iliyotengenezwa kwa vitendo haifutwi kwa maneno bali kwa vitendo.

Hivyo kama wewe ni mwanasiasa au ni mtu wa kawaida jikite kwenye vitendo kama ni jimboni kwako kasimamie kwa bidii zote u hakikishe unamzidi JPM hapo ndio utaweza kuifuta legacy lkn sio kwa kutumia smart phone au mic.

His Legacy will live forever.

Kajenga
Chato International Airport
Chato VETA kanda
Chato Hospital rufaa
Chato 5 star hotel
Chato National Park
Chato CRDB
Chato Mahakama
Chato Zimamoto
Chato Takukuru
Chato National Stadium (Proposal)
Zote hizi ni kodi za wananchi zilitumika kuendeleza Wilaya moja tu.

Kweli legacy ya Mwendazake haitoka ifutike.
 
Sasa watu wamebaki wanapambana na legacy ya JPM. Basi tuseme tukwamba pengo lake halitozibika mpaka watakapo gombana na legacy na kuishinda.

Na legacy ya huyu JPM haiwezi kufutwa kwa maneno, never. Namimi nasema Legacy inatengenezwa kwa vitendo na sio maneno, wakuifuta legacy inatakiwa aifute kwa vitendo.

Wakuifuta legacy ya JPM ni lazima ajitoe na kusacrafice maisha yake kwaajili ya watanzania kwa kufanya yafuatayo.

1. Kupambana na mafisadi kwa nguvu zote,
2. Kupambana na matajiri yanayokwepa kodi kwa nguvu zote.
3. Kupambana na yanayouza madawa ya kulevya kwa nguvu zote
4. Kupambana kwa nguvu zote na majangiri yanayoua ndovu na kutoroka na pembe zake
5. Kupambana na yanayotorosha madini kwa nguvu zote.
6. Kuvunja mikataba ya kinyonyaji kwenye madini na gesi kwa nguvu zote.
7. Kuondoa wafanyakazi hewa, kuondoa yote yenye vyeti feki na yanayojilipa mishahara hewa ya wafanyakazi waliofariki.
8. Kutatua kesi zote za papo kwa papo za watu wanao kosa haki mahakamani kwa kutoakua na nguvu ya fedha.
9. Kupambana na rushwa kwa nguvu zote bila kuangalia sura, nguvu au cheo cha mtu.
10. Kupambana na vigogo wanaofanya nchi ya Tanzania ni mali ya familia zao na kuanza kutumia rasilimali na mali za nchi kutajirisha familia zao.
11. Kutumbua bila huruma yeyote anayefanya kazi kwa mazoea.

Hapo nimeandika kwa kifupi tu. Yeyote atakayeweza kufanya hivyo ndiye atakayeweza kuivunja legacy ya JPM. Na ukiivunja legacy ya JPM dunia nzima itakufahamu sasa. Lazima utakufa tu maana sio rahisi kuyafanya mambo hayo katika nchi za bara la Afrika. Huwezi pambana na matajiri na vigogo wakwepakodi bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na wazungu wenye mikataba ya kinyonyaji bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na majangiri na wauza madawa ya kulevya bila kutoa maisha yako. Hapo sijazungumzia ndoa za jinsia moja. Ngoja niishie hapa.

Ila nirudie tena legacy iliyotengenezwa kwa vitendo haifutwi kwa maneno bali kwa vitendo.

Hivyo kama wewe ni mwanasiasa au ni mtu wa kawaida jikite kwenye vitendo kama ni jimboni kwako kasimamie kwa bidii zote u hakikishe unamzidi JPM hapo ndio utaweza kuifuta legacy lkn sio kwa kutumia smart phone au mic.

His Legacy will live forever.
Hivi unafahamu maana ya LEGACY!!

Sent from my vivo 1611 using JamiiForums mobile app
 
Unazijua legacy wewe au unaandika hata pasipo kujua.Magufuli he was poor kwenye hotuba ambazo hazina mashiko ataacha legacy gani.

Legacy ni urithi wa mawazo chanya yanayoishi kwenye Mioyo na vichwa vya watu,yaliyoleta mabadoliko ya kifkra kutoka generations moja hadi nyingine.
Kiukweli hili la speech, nyingi nazozikumbuka ni slogan tu
Jipu ni kutumbua tu
Tumeibiwa sana, hii nchi tajiri
WATU WA KAGERA NA TETEMEKO
Nireteeeeeni Gwajima
Ile ya juzi ya kinyesi pale Mbezi
Tumtangulize Mungu.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Sasa watu wamebaki wanapambana na legacy ya JPM. Basi tuseme tukwamba pengo lake halitozibika mpaka watakapo gombana na legacy na kuishinda.

Na legacy ya huyu JPM haiwezi kufutwa kwa maneno, never. Namimi nasema Legacy inatengenezwa kwa vitendo na sio maneno, wakuifuta legacy inatakiwa aifute kwa vitendo.

Wakuifuta legacy ya JPM ni lazima ajitoe na kusacrafice maisha yake kwaajili ya watanzania kwa kufanya yafuatayo.

1. Kupambana na mafisadi kwa nguvu zote,
2. Kupambana na matajiri yanayokwepa kodi kwa nguvu zote.
3. Kupambana na yanayouza madawa ya kulevya kwa nguvu zote
4. Kupambana kwa nguvu zote na majangiri yanayoua ndovu na kutoroka na pembe zake
5. Kupambana na yanayotorosha madini kwa nguvu zote.
6. Kuvunja mikataba ya kinyonyaji kwenye madini na gesi kwa nguvu zote.
7. Kuondoa wafanyakazi hewa, kuondoa yote yenye vyeti feki na yanayojilipa mishahara hewa ya wafanyakazi waliofariki.
8. Kutatua kesi zote za papo kwa papo za watu wanao kosa haki mahakamani kwa kutoakua na nguvu ya fedha.
9. Kupambana na rushwa kwa nguvu zote bila kuangalia sura, nguvu au cheo cha mtu.
10. Kupambana na vigogo wanaofanya nchi ya Tanzania ni mali ya familia zao na kuanza kutumia rasilimali na mali za nchi kutajirisha familia zao.
11. Kutumbua bila huruma yeyote anayefanya kazi kwa mazoea.

Hapo nimeandika kwa kifupi tu. Yeyote atakayeweza kufanya hivyo ndiye atakayeweza kuivunja legacy ya JPM. Na ukiivunja legacy ya JPM dunia nzima itakufahamu sasa. Lazima utakufa tu maana sio rahisi kuyafanya mambo hayo katika nchi za bara la Afrika. Huwezi pambana na matajiri na vigogo wakwepakodi bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na wazungu wenye mikataba ya kinyonyaji bila kutoa maisha yako. Huwezi pambana na majangiri na wauza madawa ya kulevya bila kutoa maisha yako. Hapo sijazungumzia ndoa za jinsia moja. Ngoja niishie hapa.

Ila nirudie tena legacy iliyotengenezwa kwa vitendo haifutwi kwa maneno bali kwa vitendo.

Hivyo kama wewe ni mwanasiasa au ni mtu wa kawaida jikite kwenye vitendo kama ni jimboni kwako kasimamie kwa bidii zote u hakikishe unamzidi JPM hapo ndio utaweza kuifuta legacy lkn sio kwa kutumia smart phone au mic.

His Legacy will live forever.
Bahati mbaya, hujui hata maana ya legacy.

Activities never make any legacy.
 
Back
Top Bottom