Legacy zinavyopotea haraka, nahisi huruma

Legacy zinavyopotea haraka, nahisi huruma

Nahisi huruma sana jinsi hii kitu inayolazimishwa legacy ya Magufuli kwa sababu, kwanza ni nature ya Mwanamke kuwa na Huruma, pili asili ya mtu na makuzi yake.

Ninapojaribu kuwaza jinsi ambavyo itakuwa ngumu kuenzi mambo ya Mtangulizi wa Samia! Ni kwa hulka za hawa wawili kutofautiana sana. Hivyo watanzania watakuwa ama wakumbuke kuendelea kunzi ukatili katikati ya mtu mwenye huruma, au waenzi ukatili ulio kinyume na mtawala wa sasa ambae kwa hulka ya asili yake na makuzi yake sio mtu KATILI. Ukijaribu kurejea hotuba za mwanzo kabisa za Samia unakutana na maneno 'sitaki fedha ya dhulma'.

Viongozi tuwe kitu kimoja, fungueni vyombo vya habari, na mengine mfano wa hayo utajua kwamba hii kitu inayohimizwa sana na kambi ya D7 (legacy) itakuwa ngumu kudumu kwa sababu Magu atakumbukwa sana kwa ukatili kuliko mambo mengine kwa sababu ya aina MRITHI wake.

Hivyo kambi D7 tuwe wavumilivu
Huyu hafiki hata mwezi wa 7 tumemsahau yeye n wajinga wenzake,alifanya nchi ya mama yake
 
nikadhani aliowachukia wako kanisani wanamuombea.

ujue Mungu si wa maharamia,ndio sababu kwenye hili hawataki kumpa sifa kwa kumtolea sadaka,bali wanalewa pombe ili kumsifu lucifer mkuu wao.
Wanywe bia au watoe sadaka hakuondoi ukweli kwamba malaika anakula vitasa mahali
 
Juhudi ya 16% ya watanzania haiwezi uwa legacy ya JPM

Magufuli ndio kwanza anachipua na kuchanua katika mashina ya watanzania zaidi ya 84%

JPM aliishi, anaishi na ataendelea kuishi...... mnaoumia na kupambana asahaulike mtakufa kwa kihoro

You certainly won’t give up lady. You sure you won’t forget him one of these days? Someone else taking his place?

I’m still wondering about that so potent charm potion that JPM diffused around his subjects. How disarming it still is to his beholders! Really amazing.
 
Kwani Meko alikua ni nani hasa yeye? Mbona mnazuia watu wasiteme nyongo zao za miaka 5? Alikua ni Rais wa hovyo kuwahi kuitawala Tanzania...

Meko ashakufa hivyo tuachane na habari zake, nchi iko mikononi mwa Mama anaiendeleza na kufuta upuuzi wote uliowekwa na mtangulizi wake..
Tuachane we na nani?Jina la JPM litaishi mioyoni mwa mamilioni ya watanzania daima.Mlishindwa kumchafua alipokuwa hai,haitowezekana hivi sasa,endeleeni kuumia roho😅
 
Kwani Meko alikua ni nani hasa yeye? Mbona mnazuia watu wasiteme nyongo zao za miaka 5? Alikua ni Rais wa hovyo kuwahi kuitawala Tanzania...

Meko ashakufa hivyo tuachane na habari zake, nchi iko mikononi mwa Mama anaiendeleza na kufuta upuuzi wote uliowekwa na mtangulizi wake..
Unagombana na nani?
 
Magufuli juu zaidi tunakukumbuka....
mijizi na mikwepa kodi uliyoibinya huku....
inajamba jamba.....tu sio asubuhi sio mchana sio jioni.....
 
Juhudi ya 16% ya watanzania haiwezi uwa legacy ya JPM

Magufuli ndio kwanza anachipua na kuchanua katika mashina ya watanzania zaidi ya 84%

JPM aliishi, anaishi na ataendelea kuishi...... mnaoumia na kupambana asahaulike mtakufa kwa kihoro
Mmh sawa ila mungu akujalie kizazi chako chote kiwe natabia ya mwendazake Inshalllah
 
Magufuli is dead.

Hawezi tena kudhuru mtu au kumnufaisha.

Soon utaona axis of power ikimzunguka mama kikamilifu na hapo kidogokidogo utaona raia wanaachana na mambo ya Magufuli.

Magufuli will be phased out very soon, hasa mama akileta Neema
Mkuu you have spoken well(well said)magu is gone.

Mama Nina imani ataleta neema, Mungu alituleta huku duniani sio tuteswe na kiumbe kingine kilichoumbwa na mungu huyohuyo.

Narudia kusema magu angeishi mpaka 2059.ila amini nawambieni enyi wana Wa Adam mshahara Wa dhambi ni mauti.
 
Juhudi ya 16% ya watanzania haiwezi uwa legacy ya JPM

Magufuli ndio kwanza anachipua na kuchanua katika mashina ya watanzania zaidi ya 84%

JPM aliishi, anaishi na ataendelea kuishi...... mnaoumia na kupambana asahaulike mtakufa kwa kihoro
Legacy yake imebaki kwa keyboard warioirs kama wewe jingalao na wengineo. Huku mtaani hakuna kitu inaitwa legacy, sana sana utasikia shule nzima ina waalimu wawili, hospitali/vituo vya afya havina vitendanishi, ATCL inaleta hasara etc etc.
 
Juhudi ya 16% ya watanzania haiwezi uwa legacy ya JPM

Magufuli ndio kwanza anachipua na kuchanua katika mashina ya watanzania zaidi ya 84%

JPM aliishi, anaishi na ataendelea kuishi...... mnaoumia na kupambana asahaulike mtakufa kwa kihoro
Waambie, hivi wasanii wangapi walimwimbia Magufuli na niwangapi walimwimbia Mkapa!
 
Ashukuriwe mnyaazi Mungu kwa kutuondolea lile dubwana Ikulu, maana kwa nguvu za kawaida za kibinadamu asingetoka yule; Alipanga kufia ikulu, bahati nzuri kafa mapema, miezi 5 tu ya awamu ya 2 chalii
Unajua ulichoandika?
Alipanga kufia ikulu kwani kafia wapi?
 
Back
Top Bottom