Jpm was the most ignorant and pin brained president ever, to have ruled this beutifull blessed countryNahisi huruma sana jinsi hii kitu inayolazimishwa legacy ya Magufuli kwa sababu, kwanza ni nature ya Mwanamke kuwa na Huruma, pili asili ya mtu na makuzi yake.
Ninapojaribu kuwaza jinsi ambavyo itakuwa ngumu kuenzi mambo ya Mtangulizi wa Samia! Ni kwa hulka za hawa wawili kutofautiana sana. Hivyo watanzania watakuwa ama wakumbuke kuendelea kunzi ukatili katikati ya mtu mwenye huruma, au waenzi ukatili ulio kinyume na mtawala wa sasa ambae kwa hulka ya asili yake na makuzi yake sio mtu KATILI. Ukijaribu kurejea hotuba za mwanzo kabisa za Samia unakutana na maneno 'sitaki fedha ya dhulma'.
Viongozi tuwe kitu kimoja, fungueni vyombo vya habari, na mengine mfano wa hayo utajua kwamba hii kitu inayohimizwa sana na kambi ya D7 (legacy) itakuwa ngumu kudumu kwa sababu Magu atakumbukwa sana kwa ukatili kuliko mambo mengine kwa sababu ya aina MRITHI wake.
Hivyo kambi D7 tuwe wavumilivu
Fikiria umekuja ugonjwa wa Covid anatuma Boeing kufuata dawa madagascar, anamwacha Waziri wa Afya anamtuma prof wa Sheria, Wabongo wote tunasubiria hiyo dawa halafu kimyaaaa ?????
Waziri anatishiwa bastola hadharani, kimyaa.
Viongozi wengine wanasema Mungu anatakiwa amshukuru Magufulu blah blah blah kimyaaaa, mbona mwinyi walipoanza kumwita Mtukufu Rais alipiga marufuku haraka sana na Mungu amempa maisha marefu.