barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Asante sana mkuu.chukua hizi kesi zitakusaidia kujua zaidi kuhusu haki za mpangaji na mpangishaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuu.chukua hizi kesi zitakusaidia kujua zaidi kuhusu haki za mpangaji na mpangishaji
Kaka naomba notes za criminal law and procedure, legal method kupitia stephen_katiya@yahoo.comHapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, legislations, law books n.k.
Binafsi nina e-library kubwa sana ya hivi vitu na sitokuwa mchoyo kwa lolote, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo.
Pia mjadala wowote wa kisheria (kwa wanasheria tu) ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa, lakini masuali ya darasani (academic questioins) yawekwe kwenye jukwaa la sheria generally.
Wanasheria karibuni sana
Ndugu ingekuwa vizuri kama ungekuwa specific zaidi, yaani katika topic zipi. Pia ni vizuri ukajizoesha kusoma vitabu, maana mwanasheria hujengeka maktaba. hata hivyo nimekuwekea notisi hizi:Kaka naomba notes za criminal law and procedure, legal method kupitia stephen_katiya@yahoo.com
Mkuu japo hujatoa maelezo ya kutosha lakini kifupi ni kwamba utaratibu uliopo ni kwa warithi halali wa marehemu kumshitaki huyo msimamizi
Mkuu nisaidie notes za negotiable instruments law kama unazo!Ndugu ingekuwa vizuri kama ungekuwa specific zaidi, yaani katika topic zipi. Pia ni vizuri ukajizoesha kusoma vitabu, maana mwanasheria hujengeka maktaba. hata hivyo nimekuwekea notisi hizi:
Materials za Negotiable Instruments hizi hapa chini, Kazi kwako msomi zawadibeatusMkuu nisaidie notes za negotiable instruments law kama unazo!
Mkuu Kassim Rashid Chukua hiki kitabu kinakuhusu sana, ni cha DR. Twaib.Mkuu ninashida na notis au kitab chochot cha Legal Writting&Drafting in Tanzania
Mkuu asante but the document talks much abt tax avoidance and tax evasion!Mkuu hebu jaribu hii, bila shaka itakufaa:
Mh kwanza nikushukuru kwa moyo wa juanzisha kitu hiki. Mimi niomba msaa wa case ya Patman Gamets iindustries Ltd v. Tanzania Manufctures Ltd (1981) 34. Mm ni mwanachuo. PleaseHapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k.
Binafsi nina e-library kubwa sana ya hivi vitu na sitokuwa mchoyo kwa lolote, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo.
Pia mjadala wowote wa kisheria (kwa wanasheria tu) ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa.
Wanasheria karibuni sana
Ipo kwenye [1981] LRT 303, nafanya utaratibu nikukopieKesi hiyo ya Patman Gamets Industries ltd v. Tanzania Manufactures Ltd(1981) 34 ninashida nayo sana , km nitapata facts na held yake. Ni kesi inayohusu Revocation of GRO/ CRO Whether the president can revoke the RO at his WILL. Please ni muhimu sana. Ukigoogle Maringo kashikiria