Chairman Lee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,353
- 1,492
mkuu kazi yako nzuri sana ubarikiwe ila naomba kama utapata High courts digest my email brightonmsia@gmail.com
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HIGH COURT DIGEST hizi hapa...mkuu kazi yako nzuri sana ubarikiwe ila naomba kama utapata High courts digest my email brightonmsia@gmail.com
mkuu siungetupia kwenye public domain..Ninazo nyingi mkuu, nipatie email yako nikutumie!
I have in need without reservation appreciated the efforts made in the forum.
brightonmsia@gmail.com or msiabrighton@yahoo.comipo soft copy yake, nikijaribu ku upload hapa inakataa, nipe email yako
Hongera sana kwa kazi nzuri ya kushea maarifa yako, binafsi sikasoma sheria ila hivi vitu ni muhimu hata kwetu.Mkuu mayenga baadhi ya vitabu vya Land Law hivi hapa, kwa anayetaka kitabu cha 'the Law of Real Property' cha R. Megarry na Wade ani pm nimtumie kwa email
Mkuu Sheria zinazomlinda mpangaji na mpangishaji zipo. ziko katika sheria ya Ardhi Namba 4 ya mwaka 1999. mambo yote yapo sehemu ya tisa ya sheria hii [kama ilivyorekebishwa mwaka 2002], vifungu 77 hadi 110.Mkuu Dragoon, ebu naomba nikuulize kitu, hivi kwa upande wa sheria za Tanzania kuna kifungu chochote ambacho kinamlinda mpangaji/ au mpangishaji wa nyumba/ vyumba? Kama kipo, naomba nipe muongozo au ikiwezekana naomba maelezo na tafsiri yake!
chukua hizi kesi zitakusaidia kujua zaidi kuhusu haki za mpangaji na mpangishajiHongera sana kwa kazi nzuri ya kushea maarifa yako, binafsi sikasoma sheria ila hivi vitu ni muhimu hata kwetu.