Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, legislations, law books n.k.

Binafsi nina e-library kubwa sana ya hivi vitu na sitokuwa mchoyo kwa lolote, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo.

Pia mjadala wowote wa kisheria (kwa wanasheria tu) ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa, lakini masuali ya darasani (academic questioins) yawekwe kwenye jukwaa la sheria generally.

Wanasheria karibuni sana

Mkuu nashukuru kwa usaidizi huu, nianze kwa maswali machache, naomba nijue hizi sheria kama bado zinatumika, nazo ni
Rent Restriction Act
Land Acquisition Act
Land Regulations of 1948.

Naomba kuuliza kama unavyo vitabu hivi please naviomba,

Sarkar on Evidence

Mullar's Code of Civil procedure

Treitel on Contract Law

Schmithoff on International trade and finance.
Natanguliza shukrani.
 
Mkuu nashukuru kwa usaidizi huu, nianze kwa maswali machache, naomba nijue hizi sheria kama bado zinatumika, nazo ni
Rent Restriction Act
Land Acquisition Act
Land Regulations of 1948.

Naomba kuuliza kama unavyo vitabu hivi please naviomba,

Sarkar on Evidence

Mullar's Code of Civil procedure

Treitel on Contract Law

Schmithoff on International trade and finance.
Natanguliza shukrani.

Rent restriction Act imekuwa repealed na the Land Act. Land Acquisition bado inatumika, Land Regulations ya 1948 hazitumiki zipo cureent ones.
Sarkar On Evidence, jamaa yangu anavyo lastly aliniambia anauza. Mengine ntayajibu baadae nikijaariwa
 
Rent restriction Act imekuwa repealed na the Land Act. Land Acquisition bado inatumika, Land Regulations ya 1948 hazitumiki zipo cureent ones.
Sarkar On Evidence, jamaa yangu anavyo lastly aliniambia anauza. Mengine ntayajibu baadae nikijaariwa

Mkuu nashukuru kwa majibu yako, naomba specific Amendment iliyorepeal Rent Resrtiction Act kwani Land Act ilikuwa imerepeal vifungu vingi lakini haikuwa emerepeal sheria yote.
 
Mkuu nashukuru kwa majibu yako, naomba specific Amendment iliyorepeal Rent Resrtiction Act kwani Land Act ilikuwa imerepeal vifungu vingi lakini haikuwa emerepeal sheria yote.

Wait a moment, nachelewaga sana kupita hapa so note hivyo. Nitakuja na specific provision
 
Mkuu, Mi nauliza hivi, kuna sheria za nch yetu zilizotafsiriwa kwa lugha yetu adhimu ya kiswahili..?

kwa heshima yako mkuu naomba unisaidie zifuatzo ,ata link tu itatosha ukiweka hapa
1: Sheria ya ardhi
2: sheria ya madini
3: SHERIA ya fidia...(ili kupisha mgodi wa dhahabu)
4: sheria ya twawala za mikoa serikali za mitaa

Ubarikiwe sana ndugu...unapojiaandaa kushusha nondo hizo ..
 
Mkuu ni vizuri sana vipi unaweza kua na kitabu cha public international law muandishi anaitwa verma soft copy, au chochote kile cha public international law,? tuanzie hapo nataka nijinoe sana kwenye international legal practise
ninacho cha ANTHONY AUST PUBLIC INTERNATIONAL LAW PAMOJA NA MALCOM SHAW PUBLIC INTERNATIONAL LAW. PLUS MANY MORE ON INTERNATIONAL HUMANITARIAN LAW AND INTERNATIONAL TRADE LAW.
 
Mkuu nashukuru kwa majibu yako, naomba specific Amendment iliyorepeal Rent Resrtiction Act kwani Land Act ilikuwa imerepeal vifungu vingi lakini haikuwa emerepeal sheria yote.


Mkuu vipi za majukumu? Naomba usisahau ile Amendment ya land Act kuhusu Rent Restriction Act, pili kuna Amendment iliyofuta Land Division ya High Court ila kukuwa na maamuzi kuwa ile ilikuwa ni subsidiary legislation hivyo isingeweza kufuta hiyo land Division, je una idea yoyote na hiyo kesi? Nashukuru
 
Mkuu vipi za majukumu? Naomba usisahau ile Amendment ya land Act kuhusu Rent Restriction Act, pili kuna Amendment iliyofuta Land Division ya High Court ila kukuwa na maamuzi kuwa ile ilikuwa ni subsidiary legislation hivyo isingeweza kufuta hiyo land Division, je una idea yoyote na hiyo kesi? Nashukuru
kesi hiyo ina detail za kutosha kkuhusu kufutwa kwa divisheni ya ardhi na kuhusu sheria hiyo. isome hapa chini
 

Attachments

Mkuu, Mi nauliza hivi, kuna sheria za nch yetu zilizotafsiriwa kwa lugha yetu adhimu ya kiswahili..?

kwa heshima yako mkuu naomba unisaidie zifuatzo ,ata link tu itatosha ukiweka hapa
1: Sheria ya ardhi
2: sheria ya madini
3: SHERIA ya fidia...(ili kupisha mgodi wa dhahabu)
4: sheria ya twawala za mikoa serikali za mitaa

Ubarikiwe sana ndugu...unapojiaandaa kushusha nondo hizo ..
Sheria zilizotafsiriwa kiswahili ni nyingi tu. kukurahisishia pakua kutoka wavuti ya tume ya kurekebisha sheria. fuata link hii: Kiswahili Translated Laws | Law Reform Commission of Tanzania
 
wakuu naombeni msaada wa kisheria hasa kwa wataalamu wa mambo ya mirathi maana naona kuna mambo nafanyiwa ndivyo sivyo.
kama upo naomba uniPM number yako ya simu.please
 
Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, legislations, law books n.k.

Binafsi nina e-library kubwa sana ya hivi vitu na sitokuwa mchoyo kwa lolote, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo.

Pia mjadala wowote wa kisheria (kwa wanasheria tu) ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa, lakini masuali ya darasani (academic questioins) yawekwe kwenye jukwaa la sheria generally.

Wanasheria karibuni sana
Naona labda hapa kuna msaada ingawa hiyo academic sijaielewa; shida yangu ni hivi, nimepata decree ya partion of immovable property na nataka ku file application for execution, je nawasilisha chamber summons na affidavit au chamber pekee? je waweza kunisaidia sample ya muonekano wa chamber summons yenyewe?
 
Naona labda hapa kuna msaada ingawa hiyo academic sijaielewa; shida yangu ni hivi, nimepata decree ya partion of immovable property na nataka ku file application for execution, je nawasilisha chamber summons na affidavit au chamber pekee? je waweza kunisaidia sample ya muonekano wa chamber summons yenyewe?
Mkuu Chamber Summons bila Affidavit si Chamber Summons tena. ni lazima uatach affidavit
 
Habari, naomba kujua taratibu za kisheria za mtu aliye achiwa jukumu la kusimamia maali za marehemu na kuamua kujimilikisha maali za marehemu na kubadilisha majina ya mali za marehemu bila kushirikisha ndugu wa karibu.
 
Habari, naomba kujua taratibu za kisheria za mtu aliye achiwa jukumu la kusimamia maali za marehemu na kuamua kujimilikisha maali za marehemu na kubadilisha majina ya mali za marehemu bila kushirikisha ndugu wa karibu.
Mkuu japo hujatoa maelezo ya kutosha lakini kifupi ni kwamba utaratibu uliopo ni kwa warithi halali wa marehemu kumshitaki huyo msimamizi
 
Back
Top Bottom