Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu asante sana...mungu akubariki nimekesha leo kupakua vitabu vyote
Sisi tunataka law ya hapa mkuu,tuweekee criminal procedure code,penal code,evidence law,etc
Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, legislations, law books n.k.
Binafsi nina e-library kubwa sana ya hivi vitu na sitokuwa mchoyo kwa lolote, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo.
Pia mjadala wowote wa kisheria (kwa wanasheria tu) ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa, lakini masuali ya darasani (academic questioins) yawekwe kwenye jukwaa la sheria generally.
Wanasheria karibuni sana
issue za criminal hamjatupia jamani. tupieni basi.
res judicata, nolle prosequi na case mbalimbali. tupieni jamani tujifunze.Kama zipi kiongozi....
pamoja mkuu. tusaidiane namna hivyo.Mkuu kesho nitakutumia articles zinazohusu hayo mambo, kaa mkao wa kula
Pakua hizires judicata, nolle prosequi na case mbalimbali. tupieni jamani tujifunze.
ahsantee. heshima kwako mkuu dragoon.Pakua hizi
mkuu Dragoon naomba unisaidie material ambayo yataniwezesha mm as beginer kuanza kujifunza sheria kabla hata ya kusoma hayo mambo makubwa yenu wanasheria plz ili niweze pata basics za sheria jambo ambalo wengi wa watanzania hatulifaham Email yangu mkuu ni farajic235@yahoo.com...pia itanisaidia kwani nakusudia kuanza certificate ya sheria.Pakua hizi