Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

Attachments

Last edited by a moderator:

Attachments

Last edited by a moderator:

Attachments

Last edited by a moderator:
Mkuu talentboy TLR za mwaka 2000 hadi 2006 ni hizi, kazi kwako kupakua

Shukran sana boss,Mungu akubariki kutokana na msaada unaotupa hapa nyumba ya wana fikra pevu esp katika hii noble profession....ila usisite kuzishusha na nyengne kama za 2009 etc kama utakuwa nazo

Shukran!
 
Last edited by a moderator:
Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, legislations, law books n.k.

Binafsi nina e-library kubwa sana ya hivi vitu na sitokuwa mchoyo kwa lolote, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo.

Pia mjadala wowote wa kisheria (kwa wanasheria tu) ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa, lakini masuali ya darasani (academic questioins) yawekwe kwenye jukwaa la sheria generally.

Wanasheria karibuni sana

Ok mkuu ninaomba msaada wa sales of goods acts ya 1979 na hile ya maboresho kama unayo shukrani.
 
Mkuu tusaidie documents hazifunguki au kuna na na ya kuzifungua na hats ku download?
 
mkuu uko vizuri, kama ni kitaka kujifunza sheria mwenyewe kwa kusoma na kufuatilia source zenye tija unanishauri vipi.

maana mimi ninaiangalia sheria kama kitu cha muhimu kujua japo mawakili wanahitajika kutusaidia zaidi.

nishushushie pa kuanzia.
 
Vema kwa kwa kutujuza kuhusu nyaraka hizo kama ulivyoziweka.
Tafadhali nisaidie(draft) namna ya kumuandikia/ kuwaandikia notisi wapangaji ambao nataka kuwatoa katika nyumba yangu, hiyo ikiwa ni pamoja na muda wa kutaka lini watoke. Nataka niifanyie ukarabati nyumba husika ndipo baadae nitafikiria tena juu ya kuweka tena mpangaji. Natanguliza shukrani.
 
Mi nataka kujua link itakoyoweza kunipa unreported cases, please kama munaijua niwekeeni, asanteni
 
Natanguliza Shukurani naweza kupata softcopy ya Kinondoni Municipal Council ( Billboards, Signboard and Advertisement Control) By laws 2010...
 
naomba ufafanuzi wa kisheria.
Mimi kuna bro wangu kakimbia kusikojulikana na fedha za kampuni moja hivi.alikuwa anakaa home kwa baba.kampuni limeanza kumsumbua mzee kumtishia kumshtaki.je mzee anastahili kusumbuliwa kiasi hicho??
 
Jamani bila shukrani nitakuwa natenda dhambi. Mbarikiwe sana maana nimepakua sasa imebaki kazi kwangu
 
Back
Top Bottom