Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

Dragoon

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2013
Posts
7,012
Reaction score
8,139
Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k.

Binafsi nina e-library kubwa sana na napenda kushirikisha wengine kwa hivi vitu, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo.

Pia mjadala wowote wa kisheria ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa.

Wanasheria karibuni sana
 
Mkuu ni vizuri sana vipi unaweza kua na kitabu cha public international law muandishi anaitwa verma soft copy, au chochote kile cha public international law,? tuanzie hapo nataka nijinoe sana kwenye international legal practise
Verma ninacho, sitakiweka hapa kwa sasa. nitakuwekea vingine vizuri tu, sasa hivi
 
Mkuu ni vizuri sana vipi unaweza kua na kitabu cha public international law muandishi anaitwa verma soft copy, au chochote kile cha public international law,? tuanzie hapo nataka nijinoe sana kwenye international legal practise
Mkuu Lyamber na mkuu Mwandwanga vitu vyenu hivi hapa. kazi kwenu kuchambua na kufikia malengo. Hapa nimeweka baadhi ya vitabu vya Company law, Partnership Law, Insurance Law, Employment/Labour Law na Public International law
 

Attachments

Last edited by a moderator:
Vingine hivi hapa
 

Attachments

Attachments

Last edited by a moderator:
Mkuu ni vizuri sana vipi unaweza kua na kitabu cha public international law muandishi anaitwa verma soft copy, au chochote kile cha public international law,? tuanzie hapo nataka nijinoe sana kwenye international legal practise

Kama unataka Instruments za Public International Law, au International Humanitarian Law niPm. The man himself Dr. Chacha Bhoke Murungu ametu~equip sana vijana wake.
 
Mkuu Lyamber na mkuu Mwandwanga vitu vyenu hivi hapa. kazi kwenu kuchambua na kufikia malengo. Hapa nimeweka baadhi ya vitabu vya Company law, Partnership Law, Insurance Law, Employment/Labour Law na Public International law

Ahsante sana Mkuu Dragoon ubarikiwe sana, pia naomba unisadie materials za Probate na Family law.😎
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mayenga na wengine mnaohitaji vitabu vya Civil Procedure hivi hapa
 

Attachments

Last edited by a moderator:
Evidence Law hii hapa
 

Attachments

Mkuu mayenga baadhi ya vitabu vya Land Law hivi hapa, kwa anayetaka kitabu cha 'the Law of Real Property' cha R. Megarry na Wade ani pm nimtumie kwa email
 

Attachments

Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom