Legend Salama Jabir afunguka, " Hajawai tokea msanii wa kike hodari kumzidi Zuchu kwenye bongofleva"

Legend Salama Jabir afunguka, " Hajawai tokea msanii wa kike hodari kumzidi Zuchu kwenye bongofleva"

View attachment 2264455

Huu ni mtazamo wa nguli na gwiji wa entertainment industry hapa bongo Salama Jabir.

Na mimi namuunga mkono toka day one uwa nasema hii kitu nikaishia kupewa majina mabaya na wenye wivu, chuki, roho mbaya, husda na nyeg*.

Tukisema waliotangulia hawamfikii Zuchu kwenye idara zote hatumvunjii dada yoyote heshima.
Kitu ambacho Salama amekisahau ni kwamba Zuchu amebebwa na brand ya wasafi. Hakusimama mwenyewe kama wengine kina V money and the like
 
Tofautisha kati ya kubebwa na brand maarufu na brand coco ama bila brand kabisa. Alafu sisi ni watu wazima nani wakutudanganya!!
Ukishaona msanii umemfahamu basi ujue kuna watu wanambeba. WCB wamembeba Queen Darlin lakini ameshindwa kutoboa kama unafikiri Zuchu kuwa WCB ndio sababu pekee ya yeye kuwa mkali.
 
Ila wee shost una tabu mnooo, Salama kasema Zuhura n muandishi bora wa kike, na sio mwanamuziki, uwage unaelewa kwan, sio kukurupuka na kuleta threads hapa, ulivyo jinga sasa ukaleta na Ref ambayo inakupinga na unachokusudia kutujulisha,

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], poleeeeeeh sanaaaaa.
 
Usisahau huyo unae mwita gwiji na kumsifia anajua mziki ndie alie mwambia harmonize hajui kuimba
Halafu alivyoona Cheed ameanza kuu-shine akaanza kumsifia.

In short, Kina Salama nyakati zimeshawatupa ila katika mazingira harakati za kufit in ili kupata SHIBE wamegeuka watu wa wa hovyooo
 
Bro kasema muandishi wa nyimbo sio msanii bora wa kike wa muda wote..

Zuchu anatunga na sio kitu cha kushangaza maana ipo kwenye DNA plus team inayomzunguka hawezi kutoa boko kirahisi

Ila Kuwa msanii wa kike mwenye mafanikio kuliko wote inawezekana sana Ila kuwa msanii bora wa kike wa wakati wote.. bado sanaa

Hajafika hata levels za Vanessa na hajagusa kabisa za Lady jay dee ama Ray C..

Kwangu mimi itachukua miaka mingi Bongo flava kuzalisha Ray C mwingine, yaani package ya sexiness, fashion, influence, vocals, dance moves, drama na scandals, star Power etc

I love jide but Ray C was a real deal
Nitajie hit song 5 za ray c
 
Bro kasema muandishi wa nyimbo sio msanii bora wa kike wa muda wote..

Zuchu anatunga na sio kitu cha kushangaza maana ipo kwenye DNA plus team inayomzunguka hawezi kutoa boko kirahisi

Ila Kuwa msanii wa kike mwenye mafanikio kuliko wote inawezekana sana Ila kuwa msanii bora wa kike wa wakati wote.. bado sanaa

Hajafika hata levels za Vanessa na hajagusa kabisa za Lady jay dee ama Ray C..

Kwangu mimi itachukua miaka mingi Bongo flava kuzalisha Ray C mwingine, yaani package ya sexiness, fashion, influence, vocals, dance moves, drama na scandals, star Power etc

I love jide but Ray C was a real deal
Damn jide na rayc nyimbo zao were [emoji91]

Hizi nyimbo za sasa ngono tupu
 
Siku nyingine msiwe mnakurupuka, kwenye sanaa kuna uandishi na kuimba. Unaweza kuwa mzuri upande mmoja au ukawa mzuri kote. Ray C anaweza kuwa mwimbaji mzuri lakini sio mwandishi mzuri, mfano halisi; Christian Bella huwa anasema wazi kuwa yeye si mwandishi mzuri ila kwa kuimba hakuna mtu anamuweza bongo. Salama amesema Zuchu ni mwandishi bora na sio mwimbaji bora au mwanamuziki bora. Mmenielewa watoto wadogo?
Umeniwahi na hii comment mkuu. Wengi wameamua kusoma na kuelewa walichotaka kuelewa na sio kilchodhamiriwa na salama.

Point ya Salama ni uandishi/utunzi lakini mashabiki maandazi wakaamua kutotofautisha uandishi na uimbaji.
 
Back
Top Bottom